OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #21
Toka mwanzo wa uzi tumekuwa tukijadili kwa staha na utani. Lakini umekuja kutuita wapumbavu. Unaonaje tukikuitia mama yako mpumbavu?tunawakimbiaje wakati tumewazidi kila kitu kimafanikio msimu huu,ni shabiki mpumbavu atakaayemkimbia SHABIKI WA KOLO FC
Ulivyo na gundu kila kitu hua kina kukataaView attachment 2641090
Mimi na wenzangu tunaitakia USM Alger ushindi mzito wa kuanzia goli 3. Hawa Utopolo wakipigwa hata 6 tutafurahi zaidi. Wapigwe mpaka wasahau kama wamefika fainali. Kiwe ni kipigo cha aibu kuu itakayodumu miaka mitano.
Wapigwe magoli ya chenga za maudhi kama ya Chama au mishuti mama mkanye mwanao kama Kibu Denga.
Hata USM Alger wana Mungu, acheni kujimilikisha Mungu. Mungu ibariki USM Alger
Makolo kweli mmefilisika,kimpira,kiuzalendo,kimataifa,kitaifa na hata kimataifa.Kilichosalia ni kutupwa jalalani sasa🤔View attachment 2641090
Mimi na wenzangu tunaitakia USM Alger ushindi mzito wa kuanzia goli 3. Hawa Utopolo wakipigwa hata 6 tutafurahi zaidi. Wapigwe mpaka wasahau kama wamefika fainali. Kiwe ni kipigo cha aibu kuu itakayodumu miaka mitano.
Wapigwe magoli ya chenga za maudhi kama ya Chama au mishuti mama mkanye mwanao kama Kibu Denga.
Hata USM Alger wana Mungu, acheni kujimilikisha Mungu. Mungu ibariki USM Alger
Kutokana na hali ya familia kuwa duni wana ungaunga na vijisenti vya mama wazike tu huko, ila maombolezo darMaiti mtasafirisha au mtazika hukohuko?
huo mjadala ulishafungwa tarehe 28, kule ni kukamilisha tu ratiba kwa yangaYangaa Afrikaaaaaaaa ni timu ya miracle sana.
Na viongozi wetu wana hulka ya kuwaduwaza kama sio kuwashangaza watu hususani haters na wachaMBUZI.
Refer mechi ya River, Mazembe na Club Africain.
Amini nakuambia,,Yanga anaenda kumgonga USM pale pale sebuleni kwake kama sio chumbani..
Thubutuuuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli CAF wamefuta goli la US ALGER kwa juwa ni la off side?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapigwe Tu, Tumechoka
Nami Nasema Wapigwe
By Mizengo Pinda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kutokana na hali ya familia kuwa duni wana ungaunga na vijisenti vya mama wazike tu huko, ila maombolezo dar
Chumbani kwako umegongwaa, ndo uwezee chumbani kwa mwenziooo??Yangaa Afrikaaaaaaaa ni timu ya miracle sana.
Na viongozi wetu wana hulka ya kuwaduwaza kama sio kuwashangaza watu hususani haters na wachaMBUZI.
Refer mechi ya River, Mazembe na Club Africain.
Amini nakuambia,,Yanga anaenda kumgonga USM pale pale sebuleni kwake kama sio chumbani..
huo mjadala ulishafungwa tarehe 28, kule ni kukamilisha tu ratiba kwa yanga
Hata mechi na club Africain si mlisema hivi hivi mkiongozwa na yule rais wenu anayejiita rais wa wapanda daladala.huo mjadala ulishafungwa tarehe 28, kule ni kukamilisha tu ratiba kwa yanga
Amen ! Watafumuliwa kizenjiView attachment 2641090
Mimi na wenzangu tunaitakia USM Alger ushindi mzito wa kuanzia goli 3. Hawa Utopolo wakipigwa hata 6 tutafurahi zaidi. Wapigwe mpaka wasahau kama wamefika fainali. Kiwe ni kipigo cha aibu kuu itakayodumu miaka mitano.
Wapigwe magoli ya chenga za maudhi kama ya Chama au mishuti mama mkanye mwanao kama Kibu Denga.
Hata USM Alger wana Mungu, acheni kujimilikisha Mungu. Mungu ibariki USM Alger
Uzuri wa chumbani mtu yoyote anagongwa tu[emoji28], Haijalishi wewe ndio mwenye chumba au Lah!!Chumbani kwako umegongwaa, ndo uwezee chumbani kwa mwenziooo??