Tunaitakia Yanga kipigo kizito toka kwa USM Alger

Tunaitakia Yanga kipigo kizito toka kwa USM Alger

View attachment 2641090

Mimi na wenzangu tunaitakia USM Alger ushindi mzito wa kuanzia goli 3. Hawa Utopolo wakipigwa hata 6 tutafurahi zaidi. Wapigwe mpaka wasahau kama wamefika fainali. Kiwe ni kipigo cha aibu kuu itakayodumu miaka mitano.

Wapigwe magoli ya chenga za maudhi kama ya Chama au mishuti mama mkanye mwanao kama Kibu Denga.

Hata USM Alger wana Mungu, acheni kujimilikisha Mungu. Mungu ibariki USM Alger
Ulivyo na gundu kila kitu hua kina kukataa
 
View attachment 2641090

Mimi na wenzangu tunaitakia USM Alger ushindi mzito wa kuanzia goli 3. Hawa Utopolo wakipigwa hata 6 tutafurahi zaidi. Wapigwe mpaka wasahau kama wamefika fainali. Kiwe ni kipigo cha aibu kuu itakayodumu miaka mitano.

Wapigwe magoli ya chenga za maudhi kama ya Chama au mishuti mama mkanye mwanao kama Kibu Denga.

Hata USM Alger wana Mungu, acheni kujimilikisha Mungu. Mungu ibariki USM Alger
Makolo kweli mmefilisika,kimpira,kiuzalendo,kimataifa,kitaifa na hata kimataifa.Kilichosalia ni kutupwa jalalani sasa🤔
 
Yangaa Afrikaaaaaaaa ni timu ya miracle sana.

Na viongozi wetu wana hulka ya kuwaduwaza kama sio kuwashangaza watu hususani haters na wachaMBUZI.

Refer mechi ya River, Mazembe na Club Africain.

Amini nakuambia,,Yanga anaenda kumgonga USM pale pale sebuleni kwake kama sio chumbani..
 
Yangaa Afrikaaaaaaaa ni timu ya miracle sana.

Na viongozi wetu wana hulka ya kuwaduwaza kama sio kuwashangaza watu hususani haters na wachaMBUZI.

Refer mechi ya River, Mazembe na Club Africain.

Amini nakuambia,,Yanga anaenda kumgonga USM pale pale sebuleni kwake kama sio chumbani..
huo mjadala ulishafungwa tarehe 28, kule ni kukamilisha tu ratiba kwa yanga
 
Yangaa Afrikaaaaaaaa ni timu ya miracle sana.

Na viongozi wetu wana hulka ya kuwaduwaza kama sio kuwashangaza watu hususani haters na wachaMBUZI.

Refer mechi ya River, Mazembe na Club Africain.

Amini nakuambia,,Yanga anaenda kumgonga USM pale pale sebuleni kwake kama sio chumbani..
Chumbani kwako umegongwaa, ndo uwezee chumbani kwa mwenziooo??
 
huo mjadala ulishafungwa tarehe 28, kule ni kukamilisha tu ratiba kwa yanga
Screenshot_20230528-211631.png

Upo sawa,mjadala ulishaisha
 
View attachment 2641090

Mimi na wenzangu tunaitakia USM Alger ushindi mzito wa kuanzia goli 3. Hawa Utopolo wakipigwa hata 6 tutafurahi zaidi. Wapigwe mpaka wasahau kama wamefika fainali. Kiwe ni kipigo cha aibu kuu itakayodumu miaka mitano.

Wapigwe magoli ya chenga za maudhi kama ya Chama au mishuti mama mkanye mwanao kama Kibu Denga.

Hata USM Alger wana Mungu, acheni kujimilikisha Mungu. Mungu ibariki USM Alger
Amen ! Watafumuliwa kizenji
 
Back
Top Bottom