Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Lissu naturally ni talkative ila walichomfanyia kimemfanya kuwa mtu mwenye hasira sana. Matokeo yake hachagui maneno wala tone ya kuyaongelea.CCM ni wanyama ila kuna wakati hata upinzani kuna mambo unashangaa imekuaje anasema huyu ....Lissu anaongea mno mno na kibaya zaidi anajua kila kitu.
Hajakosea popote kwa anayoyasema, hatukani mtu, yeye anashusha nondo tuLissu naturally ni talkative ila walichomfanyia kimemfanya kuwa mtu mwenye hasira sana. Matokeo yake hachagui maneno wala tone ya kuyaongelea.
Mimi sijasema ufanye kitu anachotaia Rais.Niko kwenye ajenda yako uliyosema rais akisema basi inatakiwa kufanywa. Ndio nikakuuliza akikuambia ufanye yale ambayo ni kinyume na msimamo wako utafanya kwa sababu rais kasema? Hii sio nchi ya kifalme kaka yangu.
Wewe sio Britanicca; mwandiko wa Britanicca unafahamika humu JF.Pamoja na kwamba Chadema walikuwa wamesha surrender kwa Magufuli ambaye katangulia mbele ya haki sasa , ndani ya Serikali na CCM Kuna watu bado wana mawazo chanya waliona itakuwa si vema kuongoza nchi bila maridhiano,
Unajichanganya mwenyewe.Wito wangu , Tunatakiwa Kupata Taasisi zilizo imara ambazo hazitegemei Rais anaamua nini bali sheria na KATIBA inasema nini, Kwakuwa scenario nzima inaonesha kuwa Kesi zimekuwa drafted kwa tamko la Magufuli Kwa sababu kadhaa bila ushahidi, alafu wanaotaka zifutwe bado wanaweka matumaini zifutwe na Samia bila kufuata Sheria inasema nini!!!!
KATIBA MPYA NDO DAWA!!
Akili huna Kama huhitaji katiba mpya wewNdugu Tundu Lissu ni "bwakubwaku".....
"Too much know" asiye na ulimi wa nidhamu wala heshima.....
Si kila MTANZANIA anaihitaji katiba mpya.....
Dogo akili za kitumwa hizoHow you dare to speak that our commander-in- chief is incapable....how how?!!!!
This is an utter non-sense.....
EeeenHeeee!How you dare to speak that our commander-in- chief is incapable....how how?!!!!
This is an utter non-sense.....
Nakubaliana na wewe kwa 100% yule bwana ana dharau sana halafu ni mfitini kwelikweli nakumbuka katika kampeni zake za uraisi badala ya kunadi sera anaishia kum attack Magufuli personal..Ndugu Tundu Lissu ni "bwakubwaku".....
"Too much know" asiye na ulimi wa nidhamu wala heshima.....
Si kila MTANZANIA anaihitaji katiba mpya.....
HUELEWI NGUVU ZA RAISKeshanyooka mwenyewe. Sasa hivi ameamua kuegemea uzanzibari wake ili angalau apate faraja toka kwa nduguze.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbowe huwa anajifanya anaongea kwa busara kwasababu za kibiashara na maslahi. Ndio maana baada ya kuona dalili za kupoteza mwaka 2020 aliwakusanya kundi lake lote kwenda Mwanza kwenye sherehe za Uhuru kumbembeleza Magu wapate maridhiano ila hawakufanikiwa.
Baada ya Magu kufa, ilibidi Mbowe atafute kwa nguvu kile alichokipoteza na mwisho wa siku ndio yuko mahabusu.
Lissu yeye huwa ni mihemko tu. Kwanza alishatangaza kwamba kiongozi yeyote wa CDM akikamatwa wamekubaliana hakuna kumwekea mawakili wala dhamana na kama ni polisi wakae nae tu.
Lakini sasa hivi wako busy na mawakili na kuchangisha michango ya pesa za wajinga.
Ilikuwa Tarehe 13/4/2021 Lissu alikutana na Joseph na kuomba Connection ya Kuongea na Katibu mkuu apate kuwasiliana na Rais kwakuwa kulikuwa na nia ya Samia kuongea na Vyama vya Upinzani, na bado niwe wazi Leo ntafunguka bila kuegemea upande, Samia naye aliona si vema kukutana na vyama vya Upinzani vya Akina Cheyo bali aliilenga Chadema kwakuwa alitambua kabisa uchaguzi wa mwaka 2020 kulifanyika maigizo ya hali ya hatari sana kuyatangaza matokeo,
Pamoja na kwamba Chadema walikuwa wamesha surrender kwa Magufuli ambaye katangulia mbele ya haki sasa , ndani ya Serikali na CCM Kuna watu bado wana mawazo chanya waliona itakuwa si vema kuongoza nchi bila maridhiano,
Mzee Warioba, akiwa na wenzake wanne walikutana na wazee wa CCM na kuomba kwamba hawafurahii kuona watanzania wenzao wako nje ya nchi Kama wakimbizi hivyo Kesi zote zifutwe za uhaini na uchochezi warejee nchini mara moja! Maana orodha inaonesha wanaopaswa kufungwa ni 22 na waliwekewa mitego Mpakani na viwanja vyote vya ndege!!
Samia alisikiliza ushauri wa wazee na kukubali juu ya Suala la kukutana na Upinzani, bwana LISSU alivyo jua hayo kutoka Kwa Rwehumbiza Acting reprentative akawa ame omba sasa kuongea na Samia Kwanza yeye Kama yeye, Samia akakubali kabisa, kilichofuata Lissu akatumiwa mwakilishi kukutana naye akamkwepa (Rutabanzibwa) .
Akapigiwa Simu na Rais mwenyewe akasema anipigie Kwa kufuata Utaratibu Mungeniandaa Mapema juu ya kuongea naye sikurupuki kuongea naye! Wakamuuliza lini akasema, akapigiwa tena hakupokea Simu.
Huku akiendelea na Mazungumzo na wenzake kuwa Samia Hana Uwezo wa Kuongoza nchi, She is not in capacity of being a President of Tz na Wanaojadiliana naye wanavujisha Siri na Sauti Pia,
Ndipo Sasa hawa Kina SIRRO, na Mchengerwa wakamwambia Samia kuwa hawa wanakuchezea kwakuwa wewe ni mwanamke! Kwa Magufuli wasingefanya haya!! Hivyo basi acha kesi ziendelee kawaida kama ambavyo zimeshakuwa drafted awali, waende wenyewe Kujitetea wakikutwa na hatia wawajibike, wakikutwa hawana hatia basi waendelee na shughuli zao!!
Ndo yakaendelea ya Mbowe kuwekwa ndani,
Kwanza Samia angeongea nao ingeleta picha Tofauti sana!!
Wito wangu , Tunatakiwa Kupata Taasisi zilizo imara ambazo hazitegemei Rais anaamua nini bali sheria na KATIBA inasema nini, Kwakuwa scenario nzima inaonesha kuwa Kesi zimekuwa drafted kwa tamko la Magufuli Kwa sababu kadhaa bila ushahidi, alafu wanaotaka zifutwe bado wanaweka matumaini zifutwe na Samia bila kufuata Sheria inasema nini!!!!
KATIBA MPYA NDO DAWA!!
BBritanic
Ilikuwa Tarehe 13/4/2021 Lissu alikutana na Joseph na kuomba Connection ya Kuongea na Katibu mkuu apate kuwasiliana na Rais kwakuwa kulikuwa na nia ya Samia kuongea na Vyama vya Upinzani, na bado niwe wazi Leo ntafunguka bila kuegemea upande, Samia naye aliona si vema kukutana na vyama vya Upinzani vya Akina Cheyo bali aliilenga Chadema kwakuwa alitambua kabisa uchaguzi wa mwaka 2020 kulifanyika maigizo ya hali ya hatari sana kuyatangaza matokeo,
Pamoja na kwamba Chadema walikuwa wamesha surrender kwa Magufuli ambaye katangulia mbele ya haki sasa , ndani ya Serikali na CCM Kuna watu bado wana mawazo chanya waliona itakuwa si vema kuongoza nchi bila maridhiano,
Mzee Warioba, akiwa na wenzake wanne walikutana na wazee wa CCM na kuomba kwamba hawafurahii kuona watanzania wenzao wako nje ya nchi Kama wakimbizi hivyo Kesi zote zifutwe za uhaini na uchochezi warejee nchini mara moja! Maana orodha inaonesha wanaopaswa kufungwa ni 22 na waliwekewa mitego Mpakani na viwanja vyote vya ndege!!
Samia alisikiliza ushauri wa wazee na kukubali juu ya Suala la kukutana na Upinzani, bwana LISSU alivyo jua hayo kutoka Kwa Rwehumbiza Acting reprentative akawa ame omba sasa kuongea na Samia Kwanza yeye Kama yeye, Samia akakubali kabisa, kilichofuata Lissu akatumiwa mwakilishi kukutana naye akamkwepa (Rutabanzibwa) .
Akapigiwa Simu na Rais mwenyewe akasema anipigie Kwa kufuata Utaratibu Mungeniandaa Mapema juu ya kuongea naye sikurupuki kuongea naye! Wakamuuliza lini akasema, akapigiwa tena hakupokea Simu.
Huku akiendelea na Mazungumzo na wenzake kuwa Samia Hana Uwezo wa Kuongoza nchi, She is not in capacity of being a President of Tz na Wanaojadiliana naye wanavujisha Siri na Sauti Pia,
Ndipo Sasa hawa Kina SIRRO, na Mchengerwa wakamwambia Samia kuwa hawa wanakuchezea kwakuwa wewe ni mwanamke! Kwa Magufuli wasingefanya haya!! Hivyo basi acha kesi ziendelee kawaida kama ambavyo zimeshakuwa drafted awali, waende wenyewe Kujitetea wakikutwa na hatia wawajibike, wakikutwa hawana hatia basi waendelee na shughuli zao!!
Ndo yakaendelea ya Mbowe kuwekwa ndani,
Kwanza Samia angeongea nao ingeleta picha Tofauti sana!!
Wito wangu , Tunatakiwa Kupata Taasisi zilizo imara ambazo hazitegemei Rais anaamua nini bali sheria na KATIBA inasema nini, Kwakuwa scenario nzima inaonesha kuwa Kesi zimekuwa drafted kwa tamko la Magufuli Kwa sababu kadhaa bila ushahidi, alafu wanaotaka zifutwe bado wanaweka matumaini zifutwe na Samia bila kufuata Sheria inasema nini!!!!
KATIBA MPYA NDO DAWA!!
Britanicca
Ndugu Tundu Lissu ni "bwakubwaku".....
"Too much know" asiye na ulimi wa nidhamu wala heshima.....
Si kila MTANZANIA anaihitaji kat
Kama TL nihivyo unavyofikiri je wewe utakua brain ipi bac sawaMkiambiwa Lissu ni ziro brain mnabisha
Juzi Ushetu kulikuwa na mgombea wa Chadema?Nakubaliana na wewe kwa 100% yule bwana ana dharau sana halafu ni mfitini kwelikweli nakumbuka katika kampeni zake za uraisi badala ya kunadi sera anaishia kum attack Magufuli personal..
Wakati mwingine vizuri kujipa faraja ili upate japo lepe la usingizi. Lakini ukiamka ukweli unakusubiri kwamba hii nchi siyo yenu pekeenu. Nyie hamna nguvu kubwa kuliko waliyokuwa nayo makaburu. Ndio maana mmebaki kuvizia akina mama wanaokwenda jogging kwa afya zao.Tunasubiri maandamano ya CDM kwa hamu kubwa, hakuna cha maridhiano wala nini, Mama mwenyewe tunamnyoa kwa wembe, CDM ndiyo chama kikuu cha Upinzani na ukombozi TZ, nguvu ya umma ipo nyuma yetu, tukiitisha maandamano leo watu mil 7 wanaingia barabarani, kwanza huyo Mbowe tukiamua hata leo hii tunamtoa Segerea!! Alisikika mlevi mmoja kutoka Ufipa!! Makamanda gani wakiona polisi hadi wanajikojolea