Tunajua Mengi tunanyamaza, Lissu kudharau Mamlaka ya Ikulu kumefanya kufifisha juhudi zilizopangwa na Rais Samia kuleta maridhiano

Tunajua Mengi tunanyamaza, Lissu kudharau Mamlaka ya Ikulu kumefanya kufifisha juhudi zilizopangwa na Rais Samia kuleta maridhiano

Upuuzi mtupu

Kwa hiyo ndiyo maana Mbowe akabambikiwa kesi?

Msemaji wa Chadema ni Mwenyekiti, kwa nini Ikulu haikumtafuta Mwenyekiti ikamtafute Lissu?

Hata kama Ikulu iliamua kumtafuta Lissu, Lissu still yuko sahihi, lazima ujipange kabla ya kuongea na raisi, ushauriane na wenzio kitu cha kupresent, uandae nondo, evidence na points, siyo kukurupuka
 
Hivi kwa kauli ile ya Samia pale BBC kuwa wenzake Mbowe walishahukumiwa na wanatumikia kifungo sasa bado mnamsema Magufuli ndiyo alidraft ile kesi? Mbona mnasingizia sana Marehemu! Upinzani hapa nchini hawajui wanataka nini, wenyewe wapowapo tu upepo ukivuma hivi nao wanaenda hivi basi tu ila acheni kumsingizia marehemu kwani gajaingia kinywa cha mtu pale.
 
CCM ni wanyama ila kuna wakati hata upinzani kuna mambo unashangaa imekuaje anasema huyu ....Lissu anaongea mno mno na kibaya zaidi anajua kila kitu.
Lissu naturally ni talkative ila walichomfanyia kimemfanya kuwa mtu mwenye hasira sana. Matokeo yake hachagui maneno wala tone ya kuyaongelea.
 
Niko kwenye ajenda yako uliyosema rais akisema basi inatakiwa kufanywa. Ndio nikakuuliza akikuambia ufanye yale ambayo ni kinyume na msimamo wako utafanya kwa sababu rais kasema? Hii sio nchi ya kifalme kaka yangu.
Mimi sijasema ufanye kitu anachotaia Rais.

Ninachopinga hapa ni kujili,jaliza kama mbwa koko baada ya kupigwa kwenye vita uliyojiingiza mwenyewe.

Kama huwezi battle, kaa pembeni.
 
Habari hii ina uongo mwingi sana.... hivi kama watu wote hao walibambikiwa case zote hizo na wengine wanakimbia... kwanini Rais asizifute na afanye juhudi warudi? kwanini tumtee Samia kwa kumsingizia Lissu na chadema? Hivi kweli Lissu na Chadema ndio wamezuia Rais kufuta hizo case zinazo itwa za kubambikwa? Hivi kwa hiyo Rais asipo kutana na Lissu ndio case ya Mbowe itaendelea? Kwani lazima akutane na Lissu kwanini asikutane na chadema? nini kinamzuia? halafu hiyo case ya Mbowe Rais si alisema wengine wameshakiri makosa na kuhukumiwa na sasa wanatumikia vifungo?
Hivi kwanini watu wasiseme Rais hajui cha kusimamia? anaogopa nini? kwanini matendo yake yasihakisi maneno? kwanini ana jaribu kuonesha yeye ni mwema? anaogopa nini kuwa moto au baridi?
 
Pamoja na kwamba Chadema walikuwa wamesha surrender kwa Magufuli ambaye katangulia mbele ya haki sasa , ndani ya Serikali na CCM Kuna watu bado wana mawazo chanya waliona itakuwa si vema kuongoza nchi bila maridhiano,
Wewe sio Britanicca; mwandiko wa Britanicca unafahamika humu JF.
Kama kawaida yake ya kuuza jina, kakuuzia wewe ulete uchafu hapa, bila shaka bila ya yeye kujali.

Sasa tueleze, nimechukua tu hicho kipande kimoja tu hapo juu kama mfano wa mtindio wa akili yako ulivyo. Tueleze ni jinsi gani CHADEMA walikuwa wamejisalimisha kwa Magufuli?

Britanicca, huu u-mercenary wa kuuza jina unakuvunjia heshima uliyokwishajijengea hapa. Unaporuhusu hata takataka ziletwe kwa jina lako, sijui wewe mwenyewe unajisikia vipi unapozisoma.
 
Wito wangu , Tunatakiwa Kupata Taasisi zilizo imara ambazo hazitegemei Rais anaamua nini bali sheria na KATIBA inasema nini, Kwakuwa scenario nzima inaonesha kuwa Kesi zimekuwa drafted kwa tamko la Magufuli Kwa sababu kadhaa bila ushahidi, alafu wanaotaka zifutwe bado wanaweka matumaini zifutwe na Samia bila kufuata Sheria inasema nini!!!!

KATIBA MPYA NDO DAWA!!
Unajichanganya mwenyewe.
Samia kakwambia anaitaka katiba mpya, au nalo ni moja ya mazingaombwe mengine utakayoleta hapa siku nyingine kuchezea akili za watu!
 
Huwezi kuongeza nchi bila ya kuwaumiza watu kwa maslahi ya nchi na watu
 
Ndugu Tundu Lissu ni "bwakubwaku".....

"Too much know" asiye na ulimi wa nidhamu wala heshima.....

Si kila MTANZANIA anaihitaji katiba mpya.....
Nakubaliana na wewe kwa 100% yule bwana ana dharau sana halafu ni mfitini kwelikweli nakumbuka katika kampeni zake za uraisi badala ya kunadi sera anaishia kum attack Magufuli personal..
 
Mbowe huwa anajifanya anaongea kwa busara kwasababu za kibiashara na maslahi. Ndio maana baada ya kuona dalili za kupoteza mwaka 2020 aliwakusanya kundi lake lote kwenda Mwanza kwenye sherehe za Uhuru kumbembeleza Magu wapate maridhiano ila hawakufanikiwa.

Baada ya Magu kufa, ilibidi Mbowe atafute kwa nguvu kile alichokipoteza na mwisho wa siku ndio yuko mahabusu.

Lissu yeye huwa ni mihemko tu. Kwanza alishatangaza kwamba kiongozi yeyote wa CDM akikamatwa wamekubaliana hakuna kumwekea mawakili wala dhamana na kama ni polisi wakae nae tu.

Lakini sasa hivi wako busy na mawakili na kuchangisha michango ya pesa za wajinga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ilikuwa Tarehe 13/4/2021 Lissu alikutana na Joseph na kuomba Connection ya Kuongea na Katibu mkuu apate kuwasiliana na Rais kwakuwa kulikuwa na nia ya Samia kuongea na Vyama vya Upinzani, na bado niwe wazi Leo ntafunguka bila kuegemea upande, Samia naye aliona si vema kukutana na vyama vya Upinzani vya Akina Cheyo bali aliilenga Chadema kwakuwa alitambua kabisa uchaguzi wa mwaka 2020 kulifanyika maigizo ya hali ya hatari sana kuyatangaza matokeo,

Pamoja na kwamba Chadema walikuwa wamesha surrender kwa Magufuli ambaye katangulia mbele ya haki sasa , ndani ya Serikali na CCM Kuna watu bado wana mawazo chanya waliona itakuwa si vema kuongoza nchi bila maridhiano,

Mzee Warioba, akiwa na wenzake wanne walikutana na wazee wa CCM na kuomba kwamba hawafurahii kuona watanzania wenzao wako nje ya nchi Kama wakimbizi hivyo Kesi zote zifutwe za uhaini na uchochezi warejee nchini mara moja! Maana orodha inaonesha wanaopaswa kufungwa ni 22 na waliwekewa mitego Mpakani na viwanja vyote vya ndege!!

Samia alisikiliza ushauri wa wazee na kukubali juu ya Suala la kukutana na Upinzani, bwana LISSU alivyo jua hayo kutoka Kwa Rwehumbiza Acting reprentative akawa ame omba sasa kuongea na Samia Kwanza yeye Kama yeye, Samia akakubali kabisa, kilichofuata Lissu akatumiwa mwakilishi kukutana naye akamkwepa (Rutabanzibwa) .

Akapigiwa Simu na Rais mwenyewe akasema anipigie Kwa kufuata Utaratibu Mungeniandaa Mapema juu ya kuongea naye sikurupuki kuongea naye! Wakamuuliza lini akasema, akapigiwa tena hakupokea Simu.

Huku akiendelea na Mazungumzo na wenzake kuwa Samia Hana Uwezo wa Kuongoza nchi, She is not in capacity of being a President of Tz na Wanaojadiliana naye wanavujisha Siri na Sauti Pia,

Ndipo Sasa hawa Kina SIRRO, na Mchengerwa wakamwambia Samia kuwa hawa wanakuchezea kwakuwa wewe ni mwanamke! Kwa Magufuli wasingefanya haya!! Hivyo basi acha kesi ziendelee kawaida kama ambavyo zimeshakuwa drafted awali, waende wenyewe Kujitetea wakikutwa na hatia wawajibike, wakikutwa hawana hatia basi waendelee na shughuli zao!!

Ndo yakaendelea ya Mbowe kuwekwa ndani,

Kwanza Samia angeongea nao ingeleta picha Tofauti sana!!

Wito wangu , Tunatakiwa Kupata Taasisi zilizo imara ambazo hazitegemei Rais anaamua nini bali sheria na KATIBA inasema nini, Kwakuwa scenario nzima inaonesha kuwa Kesi zimekuwa drafted kwa tamko la Magufuli Kwa sababu kadhaa bila ushahidi, alafu wanaotaka zifutwe bado wanaweka matumaini zifutwe na Samia bila kufuata Sheria inasema nini!!!!

KATIBA MPYA NDO DAWA!!

BBritanic

Ilikuwa Tarehe 13/4/2021 Lissu alikutana na Joseph na kuomba Connection ya Kuongea na Katibu mkuu apate kuwasiliana na Rais kwakuwa kulikuwa na nia ya Samia kuongea na Vyama vya Upinzani, na bado niwe wazi Leo ntafunguka bila kuegemea upande, Samia naye aliona si vema kukutana na vyama vya Upinzani vya Akina Cheyo bali aliilenga Chadema kwakuwa alitambua kabisa uchaguzi wa mwaka 2020 kulifanyika maigizo ya hali ya hatari sana kuyatangaza matokeo,

Pamoja na kwamba Chadema walikuwa wamesha surrender kwa Magufuli ambaye katangulia mbele ya haki sasa , ndani ya Serikali na CCM Kuna watu bado wana mawazo chanya waliona itakuwa si vema kuongoza nchi bila maridhiano,

Mzee Warioba, akiwa na wenzake wanne walikutana na wazee wa CCM na kuomba kwamba hawafurahii kuona watanzania wenzao wako nje ya nchi Kama wakimbizi hivyo Kesi zote zifutwe za uhaini na uchochezi warejee nchini mara moja! Maana orodha inaonesha wanaopaswa kufungwa ni 22 na waliwekewa mitego Mpakani na viwanja vyote vya ndege!!

Samia alisikiliza ushauri wa wazee na kukubali juu ya Suala la kukutana na Upinzani, bwana LISSU alivyo jua hayo kutoka Kwa Rwehumbiza Acting reprentative akawa ame omba sasa kuongea na Samia Kwanza yeye Kama yeye, Samia akakubali kabisa, kilichofuata Lissu akatumiwa mwakilishi kukutana naye akamkwepa (Rutabanzibwa) .

Akapigiwa Simu na Rais mwenyewe akasema anipigie Kwa kufuata Utaratibu Mungeniandaa Mapema juu ya kuongea naye sikurupuki kuongea naye! Wakamuuliza lini akasema, akapigiwa tena hakupokea Simu.

Huku akiendelea na Mazungumzo na wenzake kuwa Samia Hana Uwezo wa Kuongoza nchi, She is not in capacity of being a President of Tz na Wanaojadiliana naye wanavujisha Siri na Sauti Pia,

Ndipo Sasa hawa Kina SIRRO, na Mchengerwa wakamwambia Samia kuwa hawa wanakuchezea kwakuwa wewe ni mwanamke! Kwa Magufuli wasingefanya haya!! Hivyo basi acha kesi ziendelee kawaida kama ambavyo zimeshakuwa drafted awali, waende wenyewe Kujitetea wakikutwa na hatia wawajibike, wakikutwa hawana hatia basi waendelee na shughuli zao!!

Ndo yakaendelea ya Mbowe kuwekwa ndani,

Kwanza Samia angeongea nao ingeleta picha Tofauti sana!!

Wito wangu , Tunatakiwa Kupata Taasisi zilizo imara ambazo hazitegemei Rais anaamua nini bali sheria na KATIBA inasema nini, Kwakuwa scenario nzima inaonesha kuwa Kesi zimekuwa drafted kwa tamko la Magufuli Kwa sababu kadhaa bila ushahidi, alafu wanaotaka zifutwe bado wanaweka matumaini zifutwe na Samia bila kufuata Sheria inasema nini!!!!

KATIBA MPYA NDO DAWA!!

Britanicca

Rais Samia kitendo cha kutaka kukutana au kuongea na Lisu kilikuwa ni kitendo cha kiungwana Sana. Kama kweli Lisu aligoma si Jambo la kistaarabu kabisa. Kwsbb ata Kama ni mwanamke lakin tayari ni raisi wa nchi. Lisu angemsikiliza....

Lisu Kuna vitu vingine anafanya lakin ukweli kwa watu walio soma Saikolojia watagundua anaweza kuwa kwenye group la abnormal psychology.

Founder of abnormal psychology , Mr Sigmund Freud (1886), watu Kama Lisu anawaweka kwenye group la Psychotic disorders that cause abnormal thinking and perceptions.

Unakuta mtu ana mental disorder ambayo hamzuii kufanya shughuri zake Kama kawaida, Ila hizo shughuri zake ukizichunguza kwa undani zinakuwa na sintofaham nyingi...

Kwa maoni yangu, naona Lisu angeiga mfano wa kama mbowe mwenyekiti wake, pamoja na mambo mengine, mbowe ana Hekima sana ata ya maneno!!

Sasa Kama alimdharau Mama, na Hawa wenzetu ukisha wadharau tayari unawaletea inferiority comp. Wana Anza kuwaza why thz or becouse I am.......

Ila kama mtoa mada umesema kweli, Mama yetu Rais Samia, tunaomba usichape wapimzani wote kwsbb ya mental disorder ya mmoja.

Mchape huyo tu... Busara itumike. Wee mtu Kama Siro anaweza kushaur raisi nn? Mtu ambaye Hamza alikosea yeye akashambulia uzao wa wazaz utafikiri yeye hazai!!!
 
Samia amekuja naye atapita tuu kama wengine, anaweza kuwa kikwazo cha muda mfupi kwa katiba mpya, lakini at the end of the day wananchi ndio wataamua na sio CCM hiyo siku inakuja, CCM mnapoteza muda tuu kupigana na hii issue ya katiba na wahenga walisema haki ya mtu haipotei bure, ile tume ya wizi wa kura,polisiCCM na misheria kibao ya ovyo mliyojiwekea kuendelea kutawala yatakwisha, aliondoka mkoloni itakuwa CCM
 
Nakubaliana na wewe kwa 100% yule bwana ana dharau sana halafu ni mfitini kwelikweli nakumbuka katika kampeni zake za uraisi badala ya kunadi sera anaishia kum attack Magufuli personal..
Juzi Ushetu kulikuwa na mgombea wa Chadema?
Lissu alikuwa anasema madhaifu ya mgombea mpinzani mlitaka amsifie?
 
Tunasubiri maandamano ya CDM kwa hamu kubwa, hakuna cha maridhiano wala nini, Mama mwenyewe tunamnyoa kwa wembe, CDM ndiyo chama kikuu cha Upinzani na ukombozi TZ, nguvu ya umma ipo nyuma yetu, tukiitisha maandamano leo watu mil 7 wanaingia barabarani, kwanza huyo Mbowe tukiamua hata leo hii tunamtoa Segerea!! Alisikika mlevi mmoja kutoka Ufipa!! Makamanda gani wakiona polisi hadi wanajikojolea
Wakati mwingine vizuri kujipa faraja ili upate japo lepe la usingizi. Lakini ukiamka ukweli unakusubiri kwamba hii nchi siyo yenu pekeenu. Nyie hamna nguvu kubwa kuliko waliyokuwa nayo makaburu. Ndio maana mmebaki kuvizia akina mama wanaokwenda jogging kwa afya zao.
 
Back
Top Bottom