Newyork Sydney, ila record holder ni swiss carrier comlux wao walirusha 787 Buenos Aires to Seoul masaa 20 dk 19 non stop, ingawa hii ni ndege ya kukodi.Sorry bro naomba nikuulize ... Qantas wanaruka destination zipi ambazo ni 19hours nonstop ? Maana nilisoma kwenye mtandao wa simpleflying.com na samchui.com kwamba walikuwa wanafanyia jaribio project yao moja inaitwa project sunrise ambapo walirusha ndege aina ya dremliner787 kutoka newyork hadi Australia kupitia London ambapo unashuhudia jua linachomoza mara 2 ukiwa angani.sasa sijajua kama ndio hiyo au ni ipi mdau nijuze
Hiyo ni world record aisee. Mi nikawa najua longest route ni Dubai to SingaporeNewyork Sydney, ila record holder ni swiss carrier comlux wao walirusha 787 Buenos Aires to Seoul masaa 20 dk 19 non stop, ingawa hii ni ndege ya kukodi.
Sure. Hata Emirates wanatumia ndege kubwa Airbus 350-900 kwa safari za 45 mins (Dubai-Manama, Bahrain x3 daily) na inajaa. Sisi wabantu Sasa!Hapo sasa wanapata faida mara mbili! Boeing 737 ni ndege iliyoukuwa desined ikiwa na landing cylces nyingi za kutosha, wenzetu wanapoitumia ndege ya aina hii kwa safari ndefu maana yake ni kuwa wanaipa pia maisha marefu ya airworthiness , sisi ni kinyume chake sasa Boeing 787 ni heavy plane( wide body) , ndege hizi huwa kwa kawaida hazina landing cyles nyingi kutokana na uzito wake , ili upate faida kwa dream liner inatakiwa mizunguko ya kutua na kupaa iwe michache ili uweze kutumia mdege hii kwa muda mrefu na kupata faida.
Sehemu pekee hizi ndege kubwa zinapata faida kwa short routes ni Asia , Routes zao fupi zina guarantee ya kujaza ndege hata kama ni kubwa. Jappanesse carriers, JAL na ANA wamekuwa wanatumia madege makubwa kwa safari fupi fupi, imagine 2hours flight, walikuwa wanatumia boeing 747, !! ,
Sheikh! Huku visiwan msitusahau kwenye gawio!Wanyasa kwa ufadhili wa Ethiopian airlines Wana ndege 2 wanafanya maajabu international destinations (DAR, NBO, LSK, JNB & HRE) . Sisi ndege 11 international destinations za kuhesabu kwann bado hatukamati destinations za maana? Tumirogwa?
Hii COVID ilipaswa kukamata alipofeli South Africa Airways ( DAR-JNB-CPT-DUR)
View attachment 2019984
Ngumbaru tumejaa ghilbaHazina vibali,hazina wateja,hazina ubora
Nani mjinga apande bombardier imdondokee afe.
Ushasafiri iyo route au umesimiliwa tu?Hiyo ni world record aisee. Mi nikawa najua longest route ni Dubai to Singapore
Aa niliangalia kwenye tv za maboksiUshasafiri iyo route au umesimiliwa tu?
Hivi unadhani routes za ndege unaamja na kuruka zina process yake kwa sasa tuna zambia,kongo,burundi,india na kenya,tuna route ya china na london ambazo hazijaanzaWanyasa kwa ufadhili wa Ethiopian airlines Wana ndege 2 wanafanya maajabu international destinations (DAR, NBO, LSK, JNB & HRE) . Sisi ndege 11 international destinations za kuhesabu kwann bado hatukamati destinations za maana? Tumirogwa?
Hii COVID ilipaswa kukamata alipofeli South Africa Airways ( DAR-JNB-CPT-DUR)
View attachment 2019984
Unavituko Sana weweeAa niliangalia kwenye tv za maboksi
See how big our country is and xxSee how big is our country
Nyie hamuwezi business competition na kenya airway, Ethiopia airway,rwanda airwayNgumbaru tumejaa ghilba
Bora kukaa kimya. Umepewa mfano wa hiyo Malawian Airlines hawana maajabu Ila wanatoboa International sembuse sisi?Nyie hamuwezi business competition na kenya airway, Ethiopia airway,rwanda airway
Yaani passenger aache kupanda makampuni ya kueleweka apande bajaji za magufuli!
Zanzibar ni nchi, siyo tena Tanzania visiwani. Anzisheni la kwenu.Zanzibar tupewe mgao wetu kwenye hizo ndege. Kila mtu akapambane kivyake. Mambo ya kuja kulaumiana baadae hatutaki kwenye hizo ndege 11 sisi tupeni zetu 5 tutapambania Watalii waje Unguja
Na nyie kama kweli mnauwezo toboeni na hizo bajaj za magufuliBora kukaa kimya. Umepewa mfano wa hiyo Malawian Airlines hawana maajabu Ila wanatoboa International sembuse sisi?
umeongea kitalaam kabisa,sijajua kwann ATC wanashindwa kuwa na international destn. Hizi 787 hawazitendei haki kabisa,wanafeli wapi sijui!!Hapo sasa wanapata faida mara mbili! Boeing 737 ni ndege iliyoukuwa desined ikiwa na landing cylces nyingi za kutosha, wenzetu wanapoitumia ndege ya aina hii kwa safari ndefu maana yake ni kuwa wanaipa pia maisha marefu ya airworthiness , sisi ni kinyume chake sasa Boeing 787 ni heavy plane( wide body) , ndege hizi huwa kwa kawaida hazina landing cyles nyingi kutokana na uzito wake , ili upate faida kwa dream liner inatakiwa mizunguko ya kutua na kupaa iwe michache ili uweze kutumia mdege hii kwa muda mrefu na kupata faida.
Sehemu pekee hizi ndege kubwa zinapata faida kwa short routes ni Asia , Routes zao fupi zina guarantee ya kujaza ndege hata kama ni kubwa. Jappanesse carriers, JAL na ANA wamekuwa wanatumia madege makubwa kwa safari fupi fupi, imagine 2hours flight, walikuwa wanatumia boeing 747, !! ,