Hizo destination zote tajwa hapo juu ATC tayari wanazo labda kuongeza zaidi utilization hasa wa hizo B 787 ulizotaja.umeongea kitalaam kabisa,sijajua kwann ATC wanashindwa kuwa na international destn. Hizi 787 hawazitendei haki kabisa,wanafeli wapi sijui!!
Nafikiri tunashare some commonsSurely kusafiri ni hobby yangu sema tu uchumi hauruhusu ila kusafiri kuna kujifunza mengi katika hii dunia, mfano unakutana na watu wapya, tamaduni, mpya ,vyakula vya kigeni n.k.
Hata kama ulikuwa una mawazo hasi dhidi ya jamii fulani popote pale duniani , ukitembea ndio unajifunza na ku respect cultural diversity ..
Wewe umenishangaza sana. Umeweza kutafuta data za Malawian Air lakini umeshindwa kuzitafuta za ATCL.Wanyasa kwa ufadhili wa Ethiopian airlines Wana ndege 2 wanafanya maajabu international destinations (DAR, NBO, LSK, JNB & HRE) . Sisi ndege 11 international destinations za kuhesabu kwann bado hatukamati destinations za maana? Tumirogwa?
Hii COVID ilipaswa kukamata alipofeli South Africa Airways ( DAR-JNB-CPT-DUR)
View attachment 2019984
Punguza vijembe Dada. Tulia soma tena ukiwa umetulia.Wewe umenishangaza sana. Umeweza kutafuta data za Malawian Air lakini umeshindwa kuzitafuta za ATCL.
MAJUNGU katika ubora wake.
ATCL kwa sasa inaenda Comoro, Lusaka, Zimbabwe, Mumbai, Guanzhou, Entebbe, Bujumbura na mwezi huu wanaanza kwenda Nairobi.
Kwa siku ATC inapiga flights si chini ya 30 ndani na nje ya nchi. Hao Malawian Air wataweza kufika idadi hiyo kwa huto tundege tuwili!?
Malawi hamna maajabuMalawi wamekosa "maua" aisee. Ukishuka Lilongwe hamna wezere kabisa kitaa.
Unajua ukiwa muongo elewa na uelewa .wa wenzako. Route za ATCL nje ninanvyofahamu ni Mumbai, Lubumbashi, HRE, LSK, Comoro, Ndola, Bujumbura, Entebbe, Nairobi kuanzia kesho, Guangzhou ipo na hata Joburg ipo! Ungeweka na 8dadi ya abiria wa Malawi ingesaidiaWanyasa kwa ufadhili wa Ethiopian airlines Wana ndege 2 wanafanya maajabu international destinations (DAR, NBO, LSK, JNB & HRE) . Sisi ndege 11 international destinations za kuhesabu kwann bado hatukamati destinations za maana? Tumirogwa?
Hii COVID ilipaswa kukamata alipofeli South Africa Airways ( DAR-JNB-CPT-DUR)
View attachment 2019984
Twiga miles kwa kiingereza ndio loyalty programme !ATC ni Zaid ya ilivyo Sasa. Wapunguze matumizi. Ule mjengo pale Mjini wote wa nn? Wakodishe sehemu, wapunguze wafanyakazi baadhi ya service ya wa"out source". Wafikirie kufanya CODE SHARING na leading airlines, loyalty programs etc.
HahahahahaNimeshindwa kumjibu maana amesema wapumbavu tupo wengi!!
Ila nikunong'oneze tu, ukishakuwa na fleets za dreamliner 787 the only way to make profit is to go international. Wataalam wanasema angalau uruke masaa 13 kwa siku ,mfano Quantas dreamliber 787 ina route ya masaa 19 angani non stop.
Kama ni kweli tumenunua dreamliner kwa sababu ya local routes, ni sawa kabisa ma mtu anunue basi la yutong kwa safari za ubungo posta.
Uko sahihiZanzibar tupewe mgao wetu kwenye hizo ndege. Kila mtu akapambane kivyake. Mambo ya kuja kulaumiana baadae hatutaki kwenye hizo ndege 11 sisi tupeni zetu 5 tutapambania Watalii waje Unguja
Kwa hiyo dreamliner Inaweza kuzunguka hapa ndani ikatengeneza profit?Kiwango chetu cha upumbavu kimeenda juu ghafla, watu wanakuja na hoja za kitoto. Unafikiri kwenda International ndio kutengeneza profit? See how big is our country, compare it with Malawi halafu tafakari upumbavu wako.
Ndio zile CAG kasema tumenunua ndege bila ya business plan ama?hizo international flight hatuendi tu huwa kuna taratibu zake.....
Unajuwa ni ukweli hatuna business plan lakini haina maana basi tukae kimya tuweke hili sawa. Biashara ya ndege ngumu sana na hasa ukijuwa kuwa mashirika makubwa kama EK,Qatar, Fly Dubai na hata Ethiopia ukiacha mashirika kama Kenya na Rwanda ushindani mkubwa. Kushindana na hawa ngumu ila unaweza kuwa feeder wa hizi kampuni kwa kuingia share code kufanya route nchi ambazo mashirika haya hayafanyi biashara kwenda kwa maana mtu anakata ticket toka comoro to Dubai kama ticket moja air Tanzania na Emirates au Fly Dubai au Qatar hili moja lingine kama unataka kushindana kivyako basi bei zako ziwe chini kiasi mtu anaona ndio EK shirika kubwa lakini AIr Tanzania hapa na save dola 200 washinde kwa bei zako ila best way kuungana nao sisi kuwa feeder wao kuwaletea wateja Dar kutoka mfano Lubumbashi, Bujumbura sijui Comoro na miji ambayo hawana huduma hizo na flight time schedule ivutie kwa maana transit muda mchache. Maarifa tu ya kupanga ratiba za ndege kama feeder.Wanyasa kwa ufadhili wa Ethiopian airlines Wana ndege 2 wanafanya maajabu international destinations (DAR, NBO, LSK, JNB & HRE) . Sisi ndege 11 international destinations za kuhesabu kwann bado hatukamati destinations za maana? Tumirogwa?
Hii COVID ilipaswa kukamata alipofeli South Africa Airways ( DAR-JNB-CPT-DUR)
View attachment 2019984
Zikomo wa mmbili!Zikomo
Huko sahihi, sisi wadanganyika malofa!Zanzibar tupewe mgao wetu kwenye hizo ndege. Kila mtu akapambane kivyake. Mambo ya kuja kulaumiana baadae hatutaki kwenye hizo ndege 11 sisi tupeni zetu 5 tutapambania Watalii waje Unguja
Sawa mama yangu. Ila majungu hayakupendezeiPunguza vijembe Dada. Tulia soma tena ukiwa umetulia.