Tunamsakizia Mbowe na kumlaumu kalamba asali. Tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran

Tunamsakizia Mbowe na kumlaumu kalamba asali. Tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran

Mh. Mbowe kaamua kuwa mzalendo wa kweli kwa nchi yake.
kaachana na unafiki.
 
Anapokea ruzuku? Kwa hiyo akipokea(kama kweli)ndiyo akuwakilishe hadi kufa?
Sasa Kama Mbowe hawezi kazi ya Upinzani aachie hiyo ruzuku kwa Watu ambao wako tayari kufanya kazi ya Upinzani kutoka moyoni na si kuifanya kwa mitego yako ya kibiashara!!
 
Ona akii za watanzania! Chadema and Mbowe wametimiza wajibu wao wa kuongoza. Huyu kafungwa mwaka mzima kwa kuonewa, kafilisiwa biashara zake etc etc, Uoga wetu tukubali tunyanyaswe na CCM mpaka hapo Yesu atakaporudi.

Tuweke kumbukumbu sawa, Chadema haina ruzuku!
Wwe ndiyo huna Ruzuku, lakini Chadema ina ruzuku!!!!
 
asante sana kwa kumjibu! eti anapokea ruzuku (by the way chadema walikataa ruzuku). Unaona akili za watanzania? mtu kafungwa mwaka mzima kwa kutetea demokrsia, halafu mtu na akili zake anajibu eti anapokea ruzuku. Anapokea ruzuku ili afe/akufie wewe?
Sasa si njaa yake ya ruzuku ndiyo imemsabibishia hayo yote ya kufungwa!? Au tumsaidieje wakati mwenyewe analamba Asali saa hizii!!??
 
Hahahaha hivi kwenye lile bomu alilolipua gaidi kule Arusha enzi za JK alikuwepo au alilitega tu akasepa? Hivi watoto wa mbowe huwa wanakuwepo kwenye maandamano.

Sasa hivi Mbowei yuko majuu kaenda kulamba asali ya wazungu hahahaha, naona kalamba ya bongo ya nyuki wadogo basi kaona aifuate na watasha.
Nimemuona Mbowe anatambulishwa Roma mkatoliki huko USA! Picha ninayo, wanalamba Asali na Diaspora wa Marekani!!!!
 
Kuna watu kuliko kuishi nao bora kufuga mbuzi ili zitokeapo sikukuu muhimu kama Noeli au Iddi basi unachinja na watu wanakula nyama na kunywa supu huku wakikushukuru kwa ufugaji.
Watu kama jkipaji , Etwege , mjingamimi nk ni hasara na upotevu wa resources kuwa nao

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Sasa Kama Mbowe hawezi kazi ya Upinzani aachie hiyo ruzuku kwa Watu ambao wako tayari kufanya kazi ya Upinzani kutoka moyoni na si kuifanya kwa mitego yako ya kibiashara!!
Alikukatalia kuanzisha chama?Anzisha upokee ruzuku tukuone.
 
Tunamsakizia Mbowe na Chadema, na kumlaumu Mbowe eti kalamba asali. Hapana nasi tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran. Tunataka Lissu na Mbowe wafe peke yao.

Toka hadharani tupigwe risasi 16. Sisi, mimi na wewe tu maJioga tunajificha kwenye ID fake hapa JF, tunamsakizia Mbowe!

Eti kalamba asali, mara hajasema lolote kuhusu tozo, umeme, maji na madhira tunayopitia. Ingia barabarani mimi na wewe na si Mbowe na Chadema wakati sisi majioga tupo hapa JF na fake ID

Mbowe kafungwa almost mwaka mzima kwa uonevu (wakaona aibu wakamtoa na kumuita Ikulu), kafilisiwa biashara zake, kanyimwa ubunge wa wazi na Magufuli/ Bashiru in 2020, and many many more atrocities he has suffered kutetea demokrasia, leo eti analamba sali!
Wewe unatowa wito watanzania watoke mitaani, hivi kweli unawajua watanzania wewe? Hakuna watu waoga duniani kama watanzania. Watanzania sisi ni domu reeefu vitendo ni zero. Ndio maana wajanja wanatumia sana neno serikali kwa sababu watanzania wanaiogopa sana serikali. Mtu anaweza kuja, kwa mfano, na akachukua ardhi ya kijiji na akasema serikali imeamrisha ichukuliwe ardhi hii basi ataichukuwa tu na hakuna atakaebisha.

Unakumbuka yule dada anaeishi marekani kwa sasa alietowa wito wakati wa Magu watu watoke mitaani tarehe fulani, watanzania walitoka? Hawakutoka ng'o! Sio waliopo huko nyumbani au sie tuliokuwepo huku nchi za nje. Usiwafananishe wa Iran na wa Tanzania. Wa Iran wana uchungu na nchi yao na wakotayari kujitolea muhanga ili kupata haki zao, watanzania sie mahodari wa kuhudhuria mikutano ya hadhari na kuitia oyeee kwa wingi!!!!
 
Wewe unatowa wito watanzania watoke mitaani, hivi kweli unawajua watanzania wewe? Hakuna watu waoga duniani kama watanzania. Watanzania sisi ni domu reeefu vitendo ni zero. Ndio maana wajanja wanatumia sana neno serikali kwa sababu watanzania wanaiogopa sana serikali. Mtu anaweza kuja, kwa mfano, na akachukua ardhi ya kijiji na akasema serikali imeamrisha ichukuliwe ardhi hii basi ataichukuwa tu na hakuna atakaebisha.

Unakumbuka yule dada anaeishi marekani kwa sasa alietowa wito wakati wa Magu watu watoke mitaani tarehe fulani, watanzania walitoka? Hawakutoka ng'o! Sio waliopo huko nyumbani au sie tuliokuwepo huku nchi za nje. Usiwafananishe wa Iran na wa Tanzania. Wa Iran wana uchungu na nchi yao na wakotayari kujitolea muhanga ili kupata haki zao, watanzania sie mahodari wa kuhudhuria mikutano ya hadhari na kuitia oyeee kwa wingi!!!!
Nimeonge kama ulivyoongea. waoga, majioga sisi! tusimsakizie Mbowe, hapana! Tutoke tupigwe risasi tufe watawala watajiuliza maswali. Mwacheni Mbowe, ametimiza wajibu wake kuwaamsha hatutaki kuamka!
 
Kupanga ni kuchagua,sisi tumemuona mboe na wezie wameamua kutafuta ugari wao kupitia kuuza maneno kwenye majukwaa kwaiyo sisi wengine ni kutia moyo tuu ili watoboe wakaendeshwe kwenye v-8,ndio maana tunachofanya ni kuwapa moyo wanaoamini kupata kupitia maneno ya jukwaani.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Tunamsakizia Mbowe na Chadema, na kumlaumu Mbowe eti kalamba asali. Hapana nasi tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran. Tunataka Lissu na Mbowe wafe peke yao.

Toka hadharani tupigwe risasi 16. Sisi, mimi na wewe tu maJioga tunajificha kwenye ID fake hapa JF, tunamsakizia Mbowe!

Eti kalamba asali, mara hajasema lolote kuhusu tozo, umeme, maji na madhira tunayopitia. Ingia barabarani mimi na wewe na si Mbowe na Chadema wakati sisi majioga tupo hapa JF na fake ID

Mbowe kafungwa almost mwaka mzima kwa uonevu (wakaona aibu wakamtoa na kumuita Ikulu), kafilisiwa biashara zake, kanyimwa ubunge wa wazi na Magufuli/ Bashiru in 2020, and many many more atrocities he has suffered kutetea demokrasia, leo eti analamba sali!
Hakika umenena vyema mkuu ni kweli tupu
 
Mnamsakizia Mbowe,akiitisha maandamano wewe na mkeo mnabaki ndani mnakulana halafu yeye anaenda selo.
 
Back
Top Bottom