Tunamsakizia Mbowe na kumlaumu kalamba asali. Tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran

Tunamsakizia Mbowe na kumlaumu kalamba asali. Tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran

Jibu umepata
kumbe bado kuna wapumbavu wanaamin aliomba msamaha, baada ya kesi kubuma hahahaaaaaa ccm ni mapumbavu kabisa
Screenshot_20221212-191140.jpg
 
Taifa la watu waoga sana
Kuna mtu alipandikiza uzuzu kwa Watanzania, uoga wa mpaka kuogopa vivuli vyao ndio maana katatizo kidogo ni kukimbulia JF kulalama, hakuna hata push back [emoji774] yeyote
 
Tunamsakizia Mbowe na Chadema, na kumlaumu Mbowe eti kalamba asali. Hapana nasi tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran. Tunataka Lissu na Mbowe wafe peke yao.

Toka hadharani tupigwe risasi 16. Sisi, mimi na wewe tu maJioga tunajificha kwenye ID fake hapa JF, tunamsakizia Mbowe!

Eti kalamba asali, mara hajasema lolote kuhusu tozo, umeme, maji na madhira tunayopitia. Ingia barabarani mimi na wewe na si Mbowe na Chadema wakati sisi majioga tupo hapa JF na fake ID

Mbowe kafungwa almost mwaka mzima kwa uonevu (wakaona aibu wakamtoa na kumuita Ikulu), kafilisiwa biashara zake, kanyimwa ubunge wa wazi a Magufuli/ Basiruand many many more atrocities he has suffered kutetea demokrasia, leo eti analamba sali!

Kwani akilamba asali kuna shida ,mbona yeye mwenyewe hana usemi
 
Watanzania domo kaya, hatuna ujasiri wowote. Mbowe kama kiongozi wa chama kafungwa karibia mwaka mzima, hakufurukuta wala kuandamana atolewe, sote tuliufyata, Lissu kadhalika alipigwa risasi 16, lipi tulifanya. Tuna maneno mengi, kutukana ovyo na kuwashushia lawama wengine
Viongozi lazima wawe front kuongoza kwa mfano ,nini maana ya kuwachagua viongozo ni lazima watuwakilishe nyakati zote wakati mbaya na mzuri...wewe ilaumu serikali yako kumtia mbowe ndani na sio kutulaumu raia kutoandamana barabarani
 
Tunamsakizia Mbowe na Chadema, na kumlaumu Mbowe eti kalamba asali. Hapana nasi tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran. Tunataka Lissu na Mbowe wafe peke yao.
Hatoki mtu hapa. Wao wameficha familia zao ughaibuni halafu unataka sisi tutoke kwenda kufa? Tunamfia nani? Waje wao na familia zao ili tufe wote. Mimi niendo kwa rodi nikafe, familia yangu ibaki ikihangaika wakati wao wako mafichoni, na familia zao ziko marekani?Hakuna mtu wa kukubali ujinga wa hivyo, kama ni maisha wote tunayapenda.
 
Viongozi lazima wawe front kuongoza kwa mfano ,nini maana ya kuwachagua viongozo ni lazima watuwakilishe nyakati zote wakati mbaya na mzuri...wewe ilaumu serikali yako kumtia mbowe ndani na sio kutulaumu raia kutoandamana barabarani
Mbona huko Bungeni wanaenda peke yao na ma V8 yao,na posho Wana sign kimyakimya, Ila kwenye kuaandamana ndiyo wanataka msaada wetu wa kwenda front! Tumesanuka wao ndiyo waingie road na Kisha watuletee feedback ya maandamano yao! Upinzani Tanzania ni waoga sana, ndiyo maana Sasa nao wameaamua kuwa walamba Asali tu!!
 
Tunamsakizia Mbowe na Chadema, na kumlaumu Mbowe eti kalamba asali. Hapana nasi tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran. Tunataka Lissu na Mbowe wafe peke yao.

Toka hadharani tupigwe risasi 16. Sisi, mimi na wewe tu maJioga tunajificha kwenye ID fake hapa JF, tunamsakizia Mbowe!

Eti kalamba asali, mara hajasema lolote kuhusu tozo, umeme, maji na madhira tunayopitia. Ingia barabarani mimi na wewe na si Mbowe na Chadema wakati sisi majioga tupo hapa JF na fake ID

Mbowe kafungwa almost mwaka mzima kwa uonevu (wakaona aibu wakamtoa na kumuita Ikulu), kafilisiwa biashara zake, kanyimwa ubunge wa wazi a Magufuli/ Basiruand many many more atrocities he has suffered kutetea demokrasia, leo eti analamba sali!
Mkuu
Mimi nitabaki nyuma ya keyboard hadi kisomeke. Mbowe ana kinga ya kimataifa na wanaogopa kumgusa. Walijaribu wakaisoma wakamuachia.....

Sisi wanatuona nzi tena wale wa kwao huko chooni. Wamenunua mitambo ya kutudukua na wanatamba hadharani kuwa tukiendelea kuwasema viongozi watatusaka hadi uvunguni.

Wwmejimilikisha nchi, unataka tutoke tukalimwe shaba? Muulize Ulimboka anayelipia gharama za kusimama mstari wa mbele
 
Mbona huko Bungeni wanaenda peke yao na ma V8 yao,na posho Wana sign kimyakimya, Ila kwenye kuaandamana ndiyo wanataka msaada wetu wa kwenda front! Tumesanuka wao ndiyo waingie road na Kisha watuletee feedback ya maandamano yao! Upinzani Tanzania ni waoga sana, ndiyo maana Sasa nao wameaamua kuwa walamba Asali tu!!
Sikuwahi kugundua mkongwe mwenzangu kwako kilichoongezeka ni umri tu na hakuna kingine
 
Kwanza hao kina Mbowe na Lissu Wana roho ngumu asee!!, Kupigania wajinga ni laana, watu wasiozijua haki zao unawezaje kuwapigania ukashinda??.
Endelea kujidanganya wakati wenzako wanapiga hela
 
Tunamsakizia Mbowe na Chadema, na kumlaumu Mbowe eti kalamba asali. Hapana nasi tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran. Tunataka Lissu na Mbowe wafe peke yao.

Toka hadharani tupigwe risasi 16. Sisi, mimi na wewe tu maJioga tunajificha kwenye ID fake hapa JF, tunamsakizia Mbowe!

Eti kalamba asali, mara hajasema lolote kuhusu tozo, umeme, maji na madhira tunayopitia. Ingia barabarani mimi na wewe na si Mbowe na Chadema wakati sisi majioga tupo hapa JF na fake ID

Mbowe kafungwa almost mwaka mzima kwa uonevu (wakaona aibu wakamtoa na kumuita Ikulu), kafilisiwa biashara zake, kanyimwa ubunge wa wazi a Magufuli/ Basiruand many many more atrocities he has suffered kutetea demokrasia, leo eti analamba sali!
Huko Ni mbali mkuu,ajitokeze mmja akasotee jela Kama Mbowe ili atoe mfano maana kutaja mifano ya kina Mandela afu umejificha kwenye key board Ni upumbavu..

Katiba mpya na mageuzi yataletwa na wakati na Wananchi na sio shinikizo la maeslahi ya Vyama vya siasa.

RC wakipata reforms bila Kutaka hivyo hivyo na Nchi Nyingi nk
 
Watanzania domo kaya, hatuna ujasiri wowote. Mbowe kama kiongozi wa chama kafungwa karibia mwaka mzima, hakufurukuta wala kuandamana atolewe, sote tuliufyata, Lissu kadhalika alipigwa risasi 16, lipi tulifanya. Tuna maneno mengi, kutukana ovyo na kuwashushia lawama wengine
Wakati ukifika yote yatafanyika
 
CCM imewajaza Watanzania uoga kama watu wa North Korea. Hata maisha yawe magumu kiasi gani, watanung'unika lakini watavumilia. Enzi za Nyerere watu walivaa viraka, walilala njaa, walipanga foleni kununua sukari, vitu vingi viliadimika lakini watu walivumilia tu. CCM inajua fika inatawala taifa la waoga.
Back from History Hadi tunapata Uhuru plus ujamaa..

Mtanzania Ni pamoja na wewe
 
Mbona huko Bungeni wanaenda peke yao na ma V8 yao,na posho Wana sign kimyakimya, Ila kwenye kuaandamana ndiyo wanataka msaada wetu wa kwenda front! Tumesanuka wao ndiyo waingie road na Kisha watuletee feedback ya maandamano yao! Upinzani Tanzania ni waoga sana, ndiyo maana Sasa nao wameaamua kuwa walamba Asali tu!!

last time mbowe na wenzie kaonekana bungeni ni lini? Posho amesign lini? V8 la serikali bado analo?

Na even though wangekuwepo, masuala ya posho , V8 mliwawekea wenyewe. Tena bunge limepitisha sheria wananchi mkushangilia. Halaf mnalalamika nyuma ya keyboard .. pathetic
 
Hatoki mtu hapa. Wao wameficha familia zao ughaibuni halafu unataka sisi tutoke kwenda kufa? Tunamfia nani? Waje wao na familia zao ili tufe wote. Mimi niendo kwa rodi nikafe, familia yangu ibaki ikihangaika wakati wao wako mafichoni, na familia zao ziko marekani?Hakuna mtu wa kukubali ujinga wa hivyo, kama ni maisha wote tunayapenda.

Familia zao zikija hapa italeta mabadiliko yoyote?
 
Back
Top Bottom