Tunamsakizia Mbowe na kumlaumu kalamba asali. Tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran

Tunamsakizia Mbowe na kumlaumu kalamba asali. Tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran

Usiongelee lile bomu la Arusha. Hata CDM sasa weshafahamu kuwa lile bomu walijilipua wenyewe ili serikali iwe unpopular na watu wawe na sympathy kwa CDM. Usishangae matukio mengi wanaanzisha hao hao CDM ili ionekane wanaonewa na serikali. Siku zote hawatoi ushirikiano kwenye uchunguzi wa matukio hayo. Wakati wa Bomu Mbowd alisema ana ushahidi ila atautoa kwa kamati ya majaji. Kushambuliwa kwa Lissu hao hao CDM wanatumia gharama kubwa kumficha dereva wa Lissu huko Ulaya. Kwa mujibu wa Polisi huyo dereva ni shahidi (au suspect) namba wani
You’ve said it well mkuu. NGO ya mzee mtei inaongozwa na majambazi makubwa. Can you imagine mbowe anapanga mikakati ya kuua viongozi.
 
Huwezi nilinganisha na msaliti mbowe, gaidi kabisa lililodakwa likasamehewa na DPP tena siku akija rais mwingine lazima lifungwe maisha au kunyongwa kabisa gaidi kubwa. Sasa limelamba asali domo limezibwa kabisa utamu utamu tu wa asali hahahaha.
Kua mjinga sio sifa.
 
Viongozi wa chadema ni wapumbavu sana ,wanahamasisha maandamano Tanzania huku watoto wao wamewaficha Marekani.
 
Watanzania domo kaya, hatuna ujasiri wowote. Mbowe kama kiongozi wa chama kafungwa karibia mwaka mzima, hakufurukuta wala kuandamana atolewe, sote tuliufyata, Lissu kadhalika alipigwa risasi 16, lipi tulifanya. Tuna maneno mengi, kutukana ovyo na kuwashushia lawama wengine
Sisi ni mahodari wa kupiga mikwala mitandaoni [emoji1]

Ova
 
Usiongelee lile bomu la Arusha. Hata CDM sasa weshafahamu kuwa lile bomu walijilipua wenyewe ili serikali iwe unpopular na watu wawe na sympathy kwa CDM. Usishangae matukio mengi wanaanzisha hao hao CDM ili ionekane wanaonewa na serikali. Siku zote hawatoi ushirikiano kwenye uchunguzi wa matukio hayo. Wakati wa Bomu Mbowd alisema ana ushahidi ila atautoa kwa kamati ya majaji. Kushambuliwa kwa Lissu hao hao CDM wanatumia gharama kubwa kumficha dereva wa Lissu huko Ulaya. Kwa mujibu wa Polisi huyo dereva ni shahidi (au suspect) namba wani

Sorry nimesoma nimeishia hapo kuwa walijilipua wenyewe. Question serikal iko wapi au serikal haina uwezo wa kujua na kuwafungulia mashtaka? Ww ulishawafungulia mashtaka?
 
Hahahaha hivi kwenye lile bomu alilolipua gaidi kule Arusha enzi za JK alikuwepo au alilitega tu akasepa? Hivi watoto wa mbowe huwa wanakuwepo kwenye maandamano.

Sasa hivi Mbowei yuko majuu kaenda kulamba asali ya wazungu hahahaha, naona kalamba ya bongo ya nyuki wadogo basi kaona aifuate na watasha.
Hopeless creature.
 
Kwanza hao kina Mbowe na Lissu Wana roho ngumu asee!!, Kupigania wajinga ni laana, watu wasiozijua haki zao unawezaje kuwapigania ukashinda??.
Na wwe kweli bado hujakomaa akili,toka lini hao kina Mbowe wakipigania watu zaidi ya kupigania matumbo yao pamoja na familia zao huko Ulaya!!?
 
mamako alishawahi kufungwa hata mwez akipigania watu, mbowe kaa kimya usihangaikie mapumbavu yenye id fake mitandaon
Mbona una hasira wakati anae lamba Asali ni Mbowe na Lissu! Wanajifanya wanakaa vikao vya maridhiano kumbe wanapenyeza shida zao Rais awapige tuff kwenye Malipo yao ya kimchongo!!
 
mbowe kaa kimya na tena shikilia hapohapo ili haya mashoga na masagaji ya ccm yapate akili ili siku ukiyambia yaandamane yatoke kuandamana. Yanasema umelamba asali yenyewe mbona yameshindwa kulamba hio asali shikilia hapohapo maana kupambania mapumbavu kama haya yenye id fake ni ujinga yaache yapigike mpaka yatie adabu kama yalivyotia adabu kwenye kesi fake yakaikimbia.
Mpinzani wa kweli ni Bashiru,Mbowe ni mfanyabiashara tu, stuka wwe Kolongwe unapigwa mchana kweupe!!
 
Back
Top Bottom