M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Unakubalije matokeo ya aliyetoa rushwa?Kuelekea uchaguzi Mkuu CHADEMA tunamsihi Mgombea Lissu akubali matokeo yoyote yajayo. Tujenge chama
majira ya mtu ya kuinuka yakifika hakuna wa kuweza kuzuia, na haya ni majira ya Tundu lisu yanavyosoma. ushindi wake hauzuiliki na chochote wala yeyote.kila mtu atamtaka na ukimuuliza atakwambia hakuna kama yeye.Kuelekea uchaguzi Mkuu CHADEMA tunamsihi Mgombea Lissu akubali matokeo yoyote yajayo. Tujenge chama
Haha hawezi kubali…. Atawaambia nini wanaharakati wenzie walioko club house na maria space?Kuelekea uchaguzi Mkuu CHADEMA tunamsihi Mgombea Lissu akubali matokeo yoyote yajayo. Tujenge chama
Jiandaeni kisaikolojiaSiku zinayoyoma
Basi akaombe Kura huko Club house awe Mwenyekiti waoHaha hawezi kubali…. Atawaambia nini wanaharakati wenzie walioko club house na maria space?
Kiongozi wao Slaa ananyea ndoo sijawasikia kuungana kwenda kumchomoa!!Basi akaombe Kura huko Club house awe Mwenyekiti wao
So what. Atalimwaga akiwa Mwanachama wa kawaida. Mheshimiwa Mbowe atakua busyLile jambo alilolisema kwenye kikao cha kamati kuu na likarekodiwa ndiyo Lisu atalimwaga hadharani.
Akishalimwaga makengeza atabakia na mbao tuSo what. Atalimwaga akiwa Mwanachama wa kawaida
Who cares?Akishalimwaga makengeza atabakia na mbao tu
You should care, because the very only source of income for the family (saccos), will be destroyedWho cares?
Hata yale ya kipuuzi?,lakin pia Mbowe ajiandae kuachia kitiKuelekea uchaguzi Mkuu CHADEMA tunamsihi Mgombea Lissu akubali matokeo yoyote yajayo ili Tujenge chama kwa pamoja
Mkuu hizo Kura kwa Lissu hazipo. AsanteWajumbe lissu anatakiwa pata kura zisizopungua kura 700-800, zinazobaki mbowe zinamtosha
Akubali asikubali Mbowe anakuwa mwenyekiti wa CHADEMAKuelekea uchaguzi Mkuu CHADEMA tunamsihi Mgombea Lissu akubali matokeo yoyote yajayo ili Tujenge chama kwa pamoja
Naam SheikhAkubali asikubali Mbowe anakuwa mwenyekiti wa CHADEMA
Anashinda na njaaUchaguzi ukiwa huru na haki Lissu anashinda mapema sana.