Pre GE2025 Tunamsihi Lissu akubali matokeo yoyote

Pre GE2025 Tunamsihi Lissu akubali matokeo yoyote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuelekea uchaguzi Mkuu CHADEMA tunamsihi Mgombea Lissu akubali matokeo yoyote yajayo ili Tujenge chama kwa pamoja.

**Pia apunguze kelele, Wajumbe Wana bills za kulipa
Wajumbe gani hapo!? Wajumbe wanatoa matamko ya kumuunga mkono Lissu kila siku, nyie endeleeni kumjaza Sultan huku mkijiamdaa kuiba kura
 
Kasheshe (hili ni tatizo) kama warithi wenyewe ndio hakina Lissu.
Ndio inaonyesha Mbowe is weak, succession management imemshinda kabisa.
Unamjua Zubelda? Alikua mbunge wa viti maalum na muandika hotuba wa Mbowe huko chadema ila leo kahamia CCM kawa CEO wa Simba!! Kama binti mdogo kaaminiwa kuongoza club kubwa kama simba na inasimama financially ndio sembuse powerhouse kama Lissu na Heche.

Ni vizuri kuaminiana na kupeana fursa
 
Kiongozi wao Slaa ananyea ndoo sijawasikia kuungana kwenda kumchomoa!!
Kuungana kumchomoa unamaanisha nini? Wakavamie gereza? Kwani mawakili wanaomtetea unajua wanachangiwa au wanatoka wapi!? Mmekuwa wajinga mno machawa wa Sultan na CCM B
 
Kwamba toka mwaka juzi hawakujua uchaguzi ni 2025? Unaambiwa ruzuku yote inaishia HQ!! wangeweka crowd funding tokea 2024 mwanzoni mbona wangeshapata fedha kufikia January hii.

Tuliwahi kukusanya 21 B za ruzuku na michango ya wabunge 2015-20 hivi tulishindwa hata kuwa na properties au assets za kuendesha program za chama. Let alone kuunda sustainability components mfano kujenga ukumbi mkubwa wa mikutano au apartments?

Alafu humu mnamsifia Mbowe sijui anajua management kumbe fisadi tu. Una wanachama na mashabiki million 3 plus unashindwa pata fedha ya mikutano kwa miaka 5?
Kiongozi usiongee possibilities, ongea uhalisia.

CDM ina mbunge mmoja tu, ambae wanamtambua.

Hao viongozi wengine ni magoi-goi ata kuchangia hawataki na wala hawajui gharama za mkutano.

Kinachotendeka leo (mikutano kufanyika) ni pilika za Mbowe kutafuta hela.

Hizo mbinu kama zina tija mbona Lissu, Heche, Lema, Mwabukusi (ambae kila siku anawachangisha) diaspora.

Wajumbe walipewa wa kamati kuu walipewa option wafanye wanavyoweza kuchangia viwango walivyopewa si wangefanya kama rahisi.

Sana sana Lissu akiulizwa kuhusu michango anasema yeye hana uwezo, Iła T-Shirt mpya ya chama alivaa sasa anadhani labda imeshuka tu kutoka mbinguni kama manna.

Mbowe anakibeba chama na wala alalamiki
 
Ndio inaonyesha Mbowe is weak, succession management imemshinda kabisa.
Unamjua Zubelda? Alikua mbunge wa viti maalum na muandika hotuba wa Mbowe huko chadema ila leo kahamia CCM kawa CEO wa Simba!! Kama binti mdogo kaaminiwa kuongoza club kubwa kama simba na inasimama financially ndio sembuse powerhouse kama Lissu na Heche.

Ni vizuri kuaminiana na kupeana fursa
Naweza kukubali kupoteza hiyo asset ambayo leo ipo Simba.

Iła Lissu na Heche kwa hizi tabia zao za leo ni watu wa hovyo (shame kwa sababu Heche personal kama kiongozi nilikuwa namkubali sana kwa siasa za Tanzania) ndio mtu pekee ambae kama angekuwa anagombea ubunge kwenye jimbo langu angenitoa kwenda kumpigia kura.

Heche ndio disappointment kwangu, kwa sasa ni useless tu kama Lissu.

CCM inatakiwa imchukue Heche, sio kwa kuwakomoa (CDM) ila kwa faida ya nchi, jamaa anajali maslahi ya wengi sema hayupo chama sahihi.
 
Mmeibuka kwa wingi na id mpya kipindi hiki ila nawaambia kuleni haraka hela za Sultan maana kitachomtokea atawatafuta mmoja mmoja mtapike hela zake.
Wanaharakati uchwara wa mtandaoni
 
Kuungana kumchomoa unamaanisha nini? Wakavamie gereza? Kwani mawakili wanaomtetea unajua wanachangiwa au wanatoka wapi!? Mmekuwa wajinga mno machawa wa Sultan na CCM B
Utakuwa bado mtoto sana.
 
Mwenyekiti atakuwa FAM baada ya kura, nadhani pamoja na mapungufu yake wanachadema mpaka sasa washaona risks za huyo mbadala mwenyewe.

Sidhani kama kuna mwanasiasa duniani anaeropoka hovyo kama Lissu,.

Ukiniuliza mimi kwa sasa, pengine ule ushambenga wake wa makanikia sio yeye ni mtambo (mild autism).

Its illogical mwanasiasa hawezi kuropoka na kuwakaanga washirika wake wa miaka mingi hadharani kama anachofanya Lissu (jamaa ni mtambo), mental-mental (cray-cray)

Hakuna mwanasiasa mwenye akili timamu anaweza behave kama anavyofanya Lissu.

Lissu (mental-mental) huo ndio uhalisia kwa tabia zake kwa sasa.
Kwisha ,wanachama ndo wanamtaka uyo unayemwita mropokaji, sio wale mchana mpo wote ,usiku yupo kulamba asali, mfano ile picha kwenye Bango la juzi ccm linatafakarisha sana, mwamba kakunja nne kabisa ,
 
Kwisha ,wanachama ndo wanamtaka uyo unayemwita mropokaji, sio wale mchana mpo wote ,usiku yupo kulamba asali, mfano ile picha kwenye Bango la juzi ccm linatafakarisha sana, mwamba kakunja nne kabisa ,
CCM kwa unafiki wameshindikana (ule unachonganishi tu).
 
Kinachotendeka leo (mikutano kufanyika) ni pilika za Mbowe kutafuta hela.
Ndio tatizo linaanzia hapa, tulikua na 21 B nje ya michango na wafadhili plus lowassa funds ila tulishindwa kuwa na vitega uchumi ndio leo tuje kusifiana akitoa million 200? Kwamba ni ya kwake? Ikifikia mahali chama kinaendeshwa kwa pesa za mtu mmoja mtahoji vipi accountability yake? Ndio haya haya tumeyapinga CCM kuwa ni chama cha matajiri wachache ndio maana wanalindana kwenye ufisadi.

Jamani kutegemea fundraising kufanya mkutano kwa chama kilichokua kinapata ruzuku ya 350 Million kwa mwezi mmoja tu ni aibu sana.
 
Wajumbe walipewa wa kamati kuu walipewa option wafanye wanavyoweza kuchangia viwango walivyopewa si wangefanya kama rahisi.
Million 50 uwape mafisadi? Ni kuhalalisha ujinga. Tulikua na miaka 5 ya kujiandaa tukashindwa alafu ndio mzigo apewe mtu mmoja!! Hapana sio sahihi. Lissu akitoa hayo mamilioni alafu uchaguzi uwe na rafu unategemea nini. Yaani mnatengeneza mazingira ya rushwa no wonder Mbowe anajiamini kushinda maana kama atalipia ukumbi na posho za wajumbe anatangazwaje mwingine kuwa mshindi? Si anaweza kudai arudishiwe fedha yake!
 
Ndio tatizo linaanzia hapa, tulikua na 21 B nje ya michango na wafadhili plus lowassa funds ila tulishindwa kuwa na vitega uchumi ndio leo tuje kusifiana akitoa million 200? Kwamba ni ya kwake? Ikifikia mahali chama kinaendeshwa kwa pesa za mtu mmoja mtahoji vipi accountability yake? Ndio haya haya tumeyapinga CCM kuwa ni chama cha matajiri wachache ndio maana wanalindana kwenye ufisadi.

Jamani kutegemea fundraising kufanya mkutano kwa chama kilichokua kinapata ruzuku ya 350 Million kwa mwezi mmoja tu ni aibu sana.
Mambo mengine tuwaachie makinda wa JF.

Kamatu kuu ya chama chochote makini lazima inakutana na kufanya vikao vya mipango ya future events zao. Lazima wajue na budget ya event nzima.

Sidhani kama Lissu alipigiwa simu tu, mjomba changia walau tsh 30 million. Lazima walikaa, wakapiga hesabu za gharama za mkutano, Wakaangalia income zao za wakati huo, bank reserve yao, kuangalia source mpya za funding: hadi kuambizana kila mtu achangie nini kutokana na mahitaji.

Kuleta story za kale ni utoto na kutaja sources ambazo sio sustainable 2015 or whatever sio 2024, especially kama sources zenyewe of funding sio sustainable.

Mmpaka wapeane amounts za kuchangia walishafikiria kila kitu what was possible and what not.

Embu acheni kumtetea huyo goalkeeper Lissu, mpenda dezo, hela anazopewa na wazungu anakula peke yake (mchoyo).
 
Million 50 uwape mafisadi? Ni kuhalalisha ujinga. Tulikua na miaka 5 ya kujiandaa tukashindwa alafu ndio mzigo apewe mtu mmoja!! Hapana sio sahihi. Lissu akitoa hayo mamilioni alafu uchaguzi uwe na rafu unategemea nini. Yaani mnatengeneza mazingira ya rushwa no wonder Mbowe anajiamini kushinda maana kama atalipia ukumbi na posho za wajumbe anatangazwaje mwingine kuwa mshindi? Si anaweza kudai arudishiwe fedha yake!
Kwetu kumekucha (nitakurudia).

👋
 
Kuelekea uchaguzi Mkuu CHADEMA tunamsihi Mgombea Lissu akubali matokeo yoyote yajayo ili Tujenge chama kwa pamoja.

**Pia apunguze kelele, Wajumbe Wana bills za kulipa
Lissu akubali asikubali matokeo yatabaki hinsi kura zilivyopigwa.

Lissu anaenda kuzimishwa kama kibatari
 
Kiongozi usiongee possibilities, ongea uhalisia.

CDM ina mbunge mmoja tu, ambae wanamtambua.

Hao viongozi wengine ni magoi-goi ata kuchangia hawataki na wala hawajui gharama za mkutano.

Kinachotendeka leo (mikutano kufanyika) ni pilika za Mbowe kutafuta hela.

Hizo mbinu kama zina tija mbona Lissu, Heche, Lema, Mwabukusi (ambae kila siku anawachangisha) diaspora.

Wajumbe walipewa wa kamati kuu walipewa option wafanye wanavyoweza kuchangia viwango walivyopewa si wangefanya kama rahisi.

Sana sana Lissu akiulizwa kuhusu michango anasema yeye hana uwezo, Iła T-Shirt mpya ya chama alivaa sasa anadhani labda imeshuka tu kutoka mbinguni kama manna.

Mbowe anakibeba chama na wala alalamiki
Hakika. Siasa za upinzani nchi hii bila kuwa na akili ya kupata vyanzo vya pesa utaumbuka. Pole Lissu
 
Mambo mengine tuwaachie makinda wa JF.

Kamatu kuu ya chama chochote makini lazima inakutana na kufanya vikao vya mipango ya future events zao. Lazima wajue na budget ya event nzima.

Sidhani kama Lissu alipigiwa simu tu, mjomba changia walau tsh 30 million. Lazima walikaa, wakapiga hesabu za gharama za mkutano, Wakaangalia income zao za wakati huo, bank reserve yao, kuangalia source mpya za funding: hadi kuambizana kila mtu achangie nini kutokana na mahitaji.

Kuleta story za kale ni utoto na kutaja sources ambazo sio sustainable 2015 or whatever sio 2024, especially kama sources zenyewe of funding sio sustainable.

Mmpaka wapeane amounts za kuchangia walishafikiria kila kitu what was possible and what not.

Embu acheni kumtetea huyo goalkeeper Lissu, mpenda dezo, hela anazopewa na wazungu anakula peke yake (mchoyo).
Kwahiyo Lissu na Mbowe kuchangia ni sustainable? Kubali tu Mbowe amefeli kwenye financial management ya chadema yaani hata Engineer Hersi na Zubeilda Sakuru wanamzidi mbali kabisa kumanage taasisi. Yaani mkutano wa mara moja kwa miaka 5 unashindwa kuundia savings account unakuja kusubiri kuchangisha watu mwezi mmoja kabla?
 
Kuelekea uchaguzi Mkuu CHADEMA tunamsihi Mgombea Lissu akubali matokeo yoyote yajayo ili Tujenge chama kwa pamoja.

**Pia apunguze kelele, Wajumbe Wana bills za kulipa
Nimesikia kwa mbali,, wajumbe wa Lissu hawanunuliki. Pesa wanakula na votes hawakupi. Wanasema team Mbowe anapoteza vyote pesa na kura kwa pamoja. Tusubiri tuone.
 
Akubali asikubali Mbowe anakuwa mwenyekiti wa CHADEMA
Kwa kuwa chama dola kina mkono kwenye uchaguzi huo, hii inawezekana. Wanaweza kuingia na mitutu na kumlazimisha msimamizi wa uchaguzi kumtangaza Mwamba kwa nguvu, au ?
 
Back
Top Bottom