Pre GE2025 Tunamsihi Lissu akubali matokeo yoyote

Pre GE2025 Tunamsihi Lissu akubali matokeo yoyote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Haiwezekani akubali matokeo ya kushindwa, ikitokea ameshindwa ni bora kugawana mbao 🐼
 
‘Bora lawama, kuliko fedheha’

Hili ni somo kwa Mbowe miaka mitano ijayo ni ya kuandaa viongozi (warithi).

Lakini piga ua Lissu na kundi lake la ropo-ropo hawana sifa ya kuongoza chama.

For god sake, hawajui atagharama ya kuandaa mikutano ya kitaifa.

CCM inanunua mpaka mibasi ya kuleta wajumbe wao.

Lissu hajui hata gharama za kukodisha ukumbi kwa masaa matano ni tsh 20 million. Achana na gharama za ma-T-shirt ya chama na vitenge vya BAWACHA.

Huo ni mkutano mkuu tu, kuna everyday OP costs za kuendesha taasisi. Ukimsikiliza Lissu unaona kabisa huyu hajui financial burdens za kuendesha shirika.

WakułSumowa ni Mbowe, he was a bad parent apparently.

Sasa waachie chama watoto kama kina Lissu wajifunze kazi kwenye usimamizi; hakuna CDM kwenye management ya taasisi tu. Achilia mbali huo uelewa wao mdogo wa maswala ya siasa.

Kwa ustawi wa CDM piga ua, Mbowe hatakiwi kushindwa.
 
Akubali asikubali Mbowe anakuwa mwenyekiti wa CHADEMA
Hujui dunia, kura zitoshe ,uchaguzi uwe huru na haki sio Dana Dana, mnaleta maneno ya kiccm hapa ,ati apende asipende wewe nani , yani kura lissu zitoshe alafu mlete maneno ya kipuuzi ,subutu
 
‘Bora lawama, kuliko fedheha’

Hili ni somo kwa Mbowe miaka mitano ijayo ni ya kuandaa viongozi (warithi).

Lakini piga ua Lissu na kundi lake la ropo-ropo hawana sifa ya kuongoza chama.

For god sake, hawajui atagharama ya kuandaa mikutano ya kitaifa.

CCM inanunua mpaka mibasi ya kuleta wajumbe wao.

Lissu hajui hata gharama za kukodisha ukumbi kwa masaa matano ni tsh 20 million. Achana na gharama za ma-T-shirt ya chama na vitenge vya BAWACHA.

Huo ni mkutano mkuu tu, kuna everyday OP costs za kuendesha taasisi. Ukimsikiliza Lissu unaona kabisa huyu hajui financial burdens za kuendesha shirika.

WakułSumowa ni Mbowe, he was a bad parent apparently.

Sasa waachie chama watoto kama kina Lissu wajifunze kazi kwenye usimamizi; hakuna CDM kwenye management ya taasisi tu. Achilia mbali huo uelewa wao mdogo wa maswala ya siasa.

Kwa ustawi wa CDM piga ua, Mbowe hatakiwi kushindwa.
Ndo mwenyekiti wako sasa
 
Haiwezekani akubali matokeo ya kushindwa, ikitokea ameshindwa ni bora kugawana mbao 🐼
Kama alishindwa Slaa kugawana mbao akiwa na dola ataweza huyo mhuni? Nyie wahuni mnamponza sana huyo mbeleji.
 
Ndo mwenyekiti wako sasa
Mwenyekiti atakuwa FAM baada ya kura, nadhani pamoja na mapungufu yake wanachadema mpaka sasa washaona risks za huyo mbadala mwenyewe.

Sidhani kama kuna mwanasiasa duniani anaeropoka hovyo kama Lissu,.

Ukiniuliza mimi kwa sasa, pengine ule ushambenga wake wa makanikia sio yeye ni mtambo (mild autism).

Its illogical mwanasiasa hawezi kuropoka na kuwakaanga washirika wake wa miaka mingi hadharani kama anachofanya Lissu (jamaa ni mtambo), mental-mental (cray-cray)

Hakuna mwanasiasa mwenye akili timamu anaweza behave kama anavyofanya Lissu.

Lissu (mental-mental) huo ndio uhalisia kwa tabia zake kwa sasa.
 
Kuelekea uchaguzi Mkuu CHADEMA tunamsihi Mgombea Lissu akubali matokeo yoyote yajayo ili Tujenge chama kwa pamoja.

**Pia apunguze kelele, Wajumbe Wana bills za kulipa
 
Huo ni mkutano mkuu tu, kuna everyday OP costs za kuendesha taasisi. Ukimsikiliza Lissu unaona kabisa huyu hajui financial burdens za kuendesha shirika.
Kazi ya katibu mkuu ni nini? Kwamba hakuna secretariat wala CC ya kufanya hizo tathmini na kuleta mapendekezo?
Lissu amekua minority whip kwamba hakujua gharama za kitaasisi? Amekua Rais TLS hakujua namna ya kumobilise funds? Alikua LEAT multi-billion project kwamba hakujua masuala ya gharama za kuendesha taasisi?.

Punguza dharau na ujuaji, Mwabukusi ulikua unamsema kwa haya haya ila he proved you wrong so far.
 
WakułSumowa ni Mbowe, he was a bad parent apparently.
Ndio madhaifu ya Mbowe haya kwamba makamu wake hajamfundisha kuendesha chama? Au kutafuta fedha? basi ni poor chairman kwamba kila kitu amekihodhi yeye mwenyewe utadhani ni duka la familia.

Hata mgombea Urais wa oktoba unadhani Mbowe amemuandaa nani in case Lissu akitoka? Hakuna kabisa utashangaa anasubiri Mpina au January atoke CCM aje kugombea huku.


Mbowe has proved to be failure
 
Kazi ya katibu mkuu ni nini? Kwamba hakuna secretariat wala CC ya kufanya hizo tathmini na kuleta mapendekezo?
Lissu amekua minority whip kwamba hakujua gharama za kitaasisi? Amekua Rais TLS hakujua namna ya kumobilise funds? Alikua LEAT multi-billion project kwamba hakujua masuala ya gharama za kuendesha taasisi?.

Punguza dharau na ujuaji, Mwabukusi ulikua unamsema kwa haya haya ila he proved you wrong so far.
Unaishi dunia gani?

Ungekuja na hoja za gharama za mkutano wa uchaguzi na kama income ya CDM inaweza mudu. Ungeeleweka.

CDM imeweka wazi kuandaa hii mikutano inawagharibu karibu tsh 1 billion; ruzuku yao ni kama tsh 107 million ambayo inatosha ku-cover monthly expenses tu,

Huu mkutano ili democracy process ifanyike inabidi viongozi wajiongeze.

Sasa ungekuja na maelezo how they funded these meetings from internal sources ungeeleweka.

Kama ulimsikiliza Lissu alipotua kutoka ubelgiji alipoulizwa kuhusu kuombwa kutafuta walau million 30 kutoka kwa marafiki zake na kujibu yeye hawezi Iła ana expect mikutano ifanyike.

Huyo mtu yuko sawa kwako?
 
Ndio madhaifu ya Mbowe haya kwamba makamu wake hajamfundisha kuendesha chama? Au kutafuta fedha? basi ni poor chairman kwamba kila kitu amekihodhi yeye mwenyewe utadhani ni duka la familia.

Hata mgombea Urais wa oktoba unadhani Mbowe amemuandaa nani in case Lissu akitoka? Hakuna kabisa utashangaa anasubiri Mpina au January atoke CCM aje kugombea huku.


Mbowe has proved to be failure
I agree, Mbowe aja andaa viongozi makini
 
CDM imeweka wazi kuandaa hii mikutano inawagharibu karibu tsh 1 billion; ruzuku yao ni kama tsh 107 million ambayo inatosha ku-cover monthly expenses tu,
Kwamba toka mwaka juzi hawakujua uchaguzi ni 2025? Unaambiwa ruzuku yote inaishia HQ!! wangeweka crowd funding tokea 2024 mwanzoni mbona wangeshapata fedha kufikia January hii.

Tuliwahi kukusanya 21 B za ruzuku na michango ya wabunge 2015-20 hivi tulishindwa hata kuwa na properties au assets za kuendesha program za chama. Let alone kuunda sustainability components mfano kujenga ukumbi mkubwa wa mikutano au apartments?

Alafu humu mnamsifia Mbowe sijui anajua management kumbe fisadi tu. Una wanachama na mashabiki million 3 plus unashindwa pata fedha ya mikutano kwa miaka 5?
 
Back
Top Bottom