Pre GE2025 Tunamsihi Lissu akubali matokeo yoyote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bado ni ulemavu mtu mmoja kukibeba Chama. Ruzuku onaenda wapi, na ruzuku haitokani na Mbunge, inatokana na kura za mgombea urais kwenye uchaguzi mkuu na Lissu aligombea na Magu2020 na kupata asilimia zinazoingiza ruzuku monthly.
 
Kuelekea uchaguzi Mkuu CHADEMA tunamsihi Mgombea Lissu akubali matokeo yoyote yajayo ili Tujenge chama kwa pamoja.

**Pia apunguze kelele, Wajumbe Wana bills za kulipa
Hawezi. Wameisha mwaga sumu itakuwa vigumu kubadilisha kauli. Hizi ni aina za kampeni zilimfaa sana Trump. Kwa upande heri ashindwe ili Mbowe aanze tena kazi ya kukijenga chama. Akishinda Lissu ataendekeza visasi na kuzidisha mpasuko ulio kuwepo.

Amandla...
 
Pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…