The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Kwanza hujajibu hoja hapo juu,Suala la biashara kufa ilo lipo kila mwaka na endelea kulitarajia ila jana nilisikia kwenye Power Breakfast kuna kampuni zimefungwa na kila mmoja hapo anasanabu zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfumo mbovu wa CCMJamani mnajuwa tunaweza kufunga macho nakuwa watu tunapenda kutukuza viongozi nakudharau uhalisia wa uku chini kwa kuwa na agenda binafsi ambayo mwisho wake waweza kuwa mbaya kwa chama na taifa kuliko kifo cha hayati Joseph Pombe Magufuli.
Watanzania huku chini wenyewe kwa wenyewe kwenye vikundi pasipo chakachua report ya siri ya usala wa Taifa kuhusu siasa yani Mh Rais watu hawapo na yeye yani watanzania wachache sana wana amini anapo tupeleka ndiko.
Nahili linasababishwa na hali ya maisha imekuwa ngumu kutokana na kupanda kwa bei ya vitu na hili lina wagusa maraia wa chini kuliko raia wa juu hii imesababishwa na ubadilikaji wa ghafla wa physical and monetary policy ilio kuwa kipindi cha hayati JPM.
Ukiangalia kwa haraka hizi sera za sasa utaona zina wa saidia matajiri kuwa matajiri na masikini kuwa masikini.
Nitaendelea
Goodmimi najiona kama nipo jela ingawa nipo huru nahesabu siku lini atachaguliwa mwingine na bora awe majaliwa . ila samiha hapana kabisa hata akipewa kazi mwenyekiti wa mtaa hafai
JPM anakubalika na watu kitaani SSH anakubalika mitandaoni ndio tofauti kubwa .Nitajie fiscal na monetary policies zilizobadilika ?
Unauliza kama Rais yupo kwenye mioyo ya watu?? How is it possible Rais awe kwenye moyo wako?
Wewe na kijiwe chako hamridhiki na Rais anavyoendesha nchi, fine. Ila hautapata Rais anayemridhisha kila mtu.
Mnadai JPM alikuwa anakubalika!! Mimi nakuuliza swali; Kama alikuwa anakubalika kwa nini aliiba Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vitongoji wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wa 2020?
You can be foolish but you can't fool us!!
Hakya Mungu!Haaaa jamani?????
Umesoma post nzima kweli?Yaan mi nikishaona mtu akisema mfumuko wa bei ni kutokana na vita ya ukraine naacha kumsikiliza naona kama hana akili sawa sawa!!..
Tanzania ni miongoni mwa nchi 10 za africa ambapo mafuta n ghari zaid na ziko nchi 54
hyo vita inapiganiwa tz?
Soma post nzima utaelewa hoja yangu tatizo mkifika kwenye vita ya Ukraine mnaishia hapo.Sawa naheshimu pia maoni yako base ya ushabiki wako. Ina maana hiyo vita imeathiri Tz tu? Let fear God tutalipiteza hili Taifa kwa aina hiibya siasa.
Hapana mfumo wa hivi duniani, wakiona hafai si watamuandaa mwingine for 2025 huwezi ruhusu Marais wawili wafie madarakani ndani ya miaka 3.Mkuu
Duru na ramli za humu jamvini
Zinaonyesha eti hafiki!
Eti namba Moja anapofariki madarakani!
Namba mbili anarithi lakini anakuwa chini ya uangalizi wa mabaka mabaka KWA miaka miwili
Kama anatosha anaendelea
Kama hatoshi unapewa hata wewe ujaribu Bahati yako
Ni kwa mujibu wa katiba Hii hii eti!
TUSUBIRI
Ilitokea Marekani itatokea na huku!by jamaaa yetu wa mafumbo magumu!!!
''Kuwa na AGENDA binafsi ambayo MWISHO wake waweza kuwa mbaya Kwa CHAMA na TAIFA kuliko kifo Cha Hayati John Joseph Pombe Magufuli''.Jamani mnajuwa tunaweza kufunga macho nakuwa watu tunapenda kutukuza viongozi nakudharau uhalisia wa uku chini kwa kuwa na agenda binafsi ambayo mwisho wake waweza kuwa mbaya kwa chama na taifa kuliko kifo cha hayati Joseph Pombe Magufuli.
Watanzania huku chini wenyewe kwa wenyewe kwenye vikundi pasipo chakachua report ya siri ya usala wa Taifa kuhusu siasa yani Mh Rais watu hawapo na yeye yani watanzania wachache sana wana amini anapo tupeleka ndiko.
Nahili linasababishwa na hali ya maisha imekuwa ngumu kutokana na kupanda kwa bei ya vitu na hili lina wagusa maraia wa chini kuliko raia wa juu hii imesababishwa na ubadilikaji wa ghafla wa physical and monetary policy ilio kuwa kipindi cha hayati JPM.
Ukiangalia kwa haraka hizi sera za sasa utaona zina wa saidia matajiri kuwa matajiri na masikini kuwa masikini.
Nitaendelea
Kwamba ww ni Mr Satoh Hirosh!!! Hapo ONGEZEKO Kutoka 25000 Hadi 84000 ni 250% Kwa wenye kujua hesabu.Jana rafiki yangu wa kijijini kaniambia nimuazime elfu 80 akanunue mbolea aweke kwenye mivhe yake ya nyanya
Kilichonifany niandike inshu siyo mbolea Bali ni Jinsi alivyokuwa anaongea
Namnukuu baada ya kupokea simu yake:
Mr satoh Hirosh naomba uniazime elfu 80 ndugu yangu. Hali imekuwa mbaya sn Kwa Sisi wakulima kwakweli.Magufuli amekufa aliacha bei ya mfuko elfu 25 lkn hapa ninapokupigia bei ya mfuko ni TSH elfu 84. Mambo yanazifi kuwa magumu siku baada ya siku na hapa ninapoongea na wewe kuna uwezekano tuta zingine za nyanya nlitabidi niziache maaana gharsma ya kuhudumia imenishinda..mwisho wa kumnukuu
Kuna kitu nimekinote ninapopiga storia na watu mbalimbali wa chini kabisa kule vijijini,wengi wao linapokuja swala la maisha na ugumu tunaopitia wanapenda kufanya comparison Kati ya mama na magufuli na mara zote magufuli anashinda. Hapa Haijalishi mitandaoni hasa jf na Twitter ambako kuna watu wengi waliosoma na wenye uelewa wa juu na mambo ya siasa wanaongea mabaya mangapi ya magufuli..
Kule chini mtu hawezi kukuelewa kbs ukimwambia mama anaupiga mwingi Hadi anachana nyavu
Fiscal sio physicalJamani mnajuwa tunaweza kufunga macho nakuwa watu tunapenda kutukuza viongozi nakudharau uhalisia wa uku chini kwa kuwa na agenda binafsi ambayo mwisho wake waweza kuwa mbaya kwa chama na taifa kuliko kifo cha hayati Joseph Pombe Magufuli.
Watanzania huku chini wenyewe kwa wenyewe kwenye vikundi pasipo chakachua report ya siri ya usala wa Taifa kuhusu siasa yani Mh Rais watu hawapo na yeye yani watanzania wachache sana wana amini anapo tupeleka ndiko.
Nahili linasababishwa na hali ya maisha imekuwa ngumu kutokana na kupanda kwa bei ya vitu na hili lina wagusa maraia wa chini kuliko raia wa juu hii imesababishwa na ubadilikaji wa ghafla wa physical and monetary policy ilio kuwa kipindi cha hayati JPM.
Ukiangalia kwa haraka hizi sera za sasa utaona zina wa saidia matajiri kuwa matajiri na masikini kuwa masikini.
Nitaendelea
Yaan mi nikishaona mtu akisema mfumuko wa bei ni kutokana na vita ya ukraine naacha kumsikiliza naona kama hana akili sawa sawa!!..
Tanzania ni miongoni mwa nchi 10 za africa ambapo mafuta n ghari zaid na ziko nchi 54
hyo vita inapiganiwa tz?
Katiba hii inasema Rais anaweza kupokea ushauri au akaupuuza, tunaona hoja za CAG hazifanyiwi KAZI, wabunge wanalia hawasikilizwi.Hivi ukiwa na wabunge wenye mambo ya kitoto kama wale pale Dodoma unawezaje kumlaumu Rais ambaye amewakuta na ikamlazimu kuwaangalia wanavyodmka na kuruka sarakasi kwenye maiki Bungeni.
Bunge la hovyo haliwezi kumshauri Rais unless awe dikteta ambaye bunge halina umuhimu wowote.
Kwa Katiba tuliyonayo na wabunge tulionao huyu Rais hatafanikiwa kirahisi kwani katiba tuliyonayo ni ya Kidikteta na inasimamiwa Kidikteta na maamuzi ya Kidikteta.
Ili Mama yetu SSH afanikiwe ni lazima akubaliane na wazalendo waliokua wamepambana na majizi tangu awamu ya pili na wanaomshauri alete katiba mpya inayoruhusu mifumo kujiendesha yenyewe na wapiga DILI kuchujwa na kukaa pembeni. Wateule wake wengi hawana usafi Kwa historia Hali inayowafanya watu wote kutafuta namna ya kula hata Kwa kukata kamba. Wanaona kama vile Kuna fursa ya kula Mali za umma imeruhusiwa.
Hii sio katiba ya kidemokrasia hivyo kuitumia katiba hii Kistarabu ni sawa na kumwekea pumba Nguruwe na Kondoo kwenye zizi Moja. Tahadhari ya kumfuga NGURUWE haiwezi kuwa sawa na Kondoo.
Bunge limeonyesha wazi kuwa lipo pale Kwa lengo la kupata pesa tuu. Ndio maana Kuna Wabunge 19 waliokua wameshindwa kwenye majimbo yao na wakaamua kujipeleka Bungeni na kushirikiana na Ndugai Kwa kumpa zile walizokuwa wanatoa kwa wakubwa zao.
Hawana Chama lakini wapo Kwa lengo Moja tu la Kupiga pesa za umma na wapigaji wenzao.
Kama Bunge linaruhisu wabunge HARAMU kulipwa mamilioni ya pesa iweje serikali ilaumiwe na wakati ule ni mihimili.? Kama mahakama nayo inatumiwa na wapigaji kuendelea Kupiga pesa za Bunge bila kuwa na Chama huoni kuwa hii nchi INAPASWA kuongozwa kidikteta full ili iwe kama Rwanda chini ya Kagame .
Ujinga wa kuchezea Mali za umma ndio unaoturudisha nyuma na kusingizia Vita. Mpaka asali nayo Nyuki wamegoma kutengeneza Kwa sababu ya Vita. Ajabu kabisa. Watu wanazuia watu kumwagilia mashamba yao eti maji yaende kwenye mabwawa ya umeme Karne hii. ,,
Nenda chato basi kawasalimieJamani mnajuwa tunaweza kufunga macho nakuwa watu tunapenda kutukuza viongozi nakudharau uhalisia wa uku chini kwa kuwa na agenda binafsi ambayo mwisho wake waweza kuwa mbaya kwa chama na taifa kuliko kifo cha hayati Joseph Pombe Magufuli.
Watanzania huku chini wenyewe kwa wenyewe kwenye vikundi pasipo chakachua report ya siri ya usala wa Taifa kuhusu siasa yani Mh Rais watu hawapo na yeye yani watanzania wachache sana wana amini anapo tupeleka ndiko.
Nahili linasababishwa na hali ya maisha imekuwa ngumu kutokana na kupanda kwa bei ya vitu na hili lina wagusa maraia wa chini kuliko raia wa juu hii imesababishwa na ubadilikaji wa ghafla wa physical and monetary policy ilio kuwa kipindi cha hayati JPM.
Ukiangalia kwa haraka hizi sera za sasa utaona zina wa saidia matajiri kuwa matajiri na masikini kuwa masikini.
Nitaendelea
Unachukia madarasa kujengwa? We mbinafsi sana.Huyu mama yupo moyoni mwa mafisadi na wapiga dili nchini!!!
Nilimdharau alipotumia fedha za covid 19 kujenga madarasa nchini halafu wakati huo tozo JUU!
Tusubiri hatma!!
Wewe ndio hujielewi kabisaujielewi ww
Shule kata zimeleta balaaYaan mi nikishaona mtu akisema mfumuko wa bei ni kutokana na vita ya ukraine naacha kumsikiliza naona kama hana akili sawa sawa!!..
Tanzania ni miongoni mwa nchi 10 za africa ambapo mafuta n ghari zaid na ziko nchi 54
hyo vita inapiganiwa tz?