Tunamuimba Rais kila kona, Je, yupo kwenye mioyo ya Watanzania Au mtaamua kufumba macho?

Tunamuimba Rais kila kona, Je, yupo kwenye mioyo ya Watanzania Au mtaamua kufumba macho?

JPM alifanikiwa kwa propaganda zake za kiwaita watu wanyonge huku akinuonga kila aliyejaribu kwenda kinyume naye. SSH anapiga propaganda za kurudisha hali kuwa shwari huku akiwaaahidi wafanyabiashara na matajiri hali nzuri ya uchumi. Ukiangalia kiundani wote hawa hakuna zaidi ya wanachofanya zaidi ya kutengeneza matatizo kisha wao wenyewe wanajifanya kutoa suluhu.

Lakini pia usisahau aina ya wabunge waliopitishwa Kwa nguvu 2020 chini ya JPM.

Angalia wale waliopita kwa mbinde kama Bashe wako smart sana na hata uwaziri wanautendea haki. Wengine hata uteuzi wa Mawaziri unampa kazi sana Mama SSH. Yaani kupata Mawaziri na MANAIBU WAZIRI ni ngumu sana mana wabunge waliopo ni tatizo sana.

Ndio Sasa tutaona umuhimu wa kuwa na katiba inayotenganisha Ubunge na uwaziri. Nje ya wabunge wapo watu wengi sana wenye uwezo na ubunifu kuliko wale wabunge waliopata Ubunge Kwa kuruka sarakasi na kutumia wasanii wa miziki kutangaza sera za kukata viuno majukwaani badala ya sera. Wote walikuwa hawawezi kuweka mdahala hata sekunde Moja na kupambanishwa na magwiji wa siasa kama akina Rwaitama , Shivji , Ulimwengu na wengine . Tukapata wabunge wa ajabu na Mawaziri wengi wakawa hawana uwezo zaidi ya kujikuta wameogelea kwenye pesa za tozo na Uvico.
Ulimuondoa Bashe na Nape, Mawaziri wengine ni wakutafuta na tochi.
 
JPM alifanikiwa kwa propaganda zake za kiwaita watu wanyonge huku akinuonga kila aliyejaribu kwenda kinyume naye. SSH anapiga propaganda za kurudisha hali kuwa shwari huku akiwaaahidi wafanyabiashara na matajiri hali nzuri ya uchumi. Ukiangalia kiundani wote hawa hakuna zaidi ya wanachofanya zaidi ya kutengeneza matatizo kisha wao wenyewe wanajifanya kutoa suluhu.
Kwako wewe yupi ana unafuu?

Mimi JPM maana kipindi cha uomgozi wake ndy nilitoboa maisha na sasa hivi ndy natembelea rim.. mwalimu kashasha hapa,vp kwako Jesse John?
 
Huyu mama yupo moyoni mwa mafisadi na wapiga dili nchini!!!
Nilimdharau alipotumia fedha za covid 19 kujenga madarasa nchini halafu wakati huo tozo JUU!
Tusubiri hatma!!
Huwa kuna kauli zinanichekesha sana; ninapomuona choka mbaya akimtamkia, 'ninamdharau sana', mtu aliyemzidi kila kitu tangu kitambo sana huwa nacheka sana!
 
Hakuna kitu kama hicho.
Rais akishaapishwa ni amiri Jeshi mkuu muda huo huo. Kila mtu anatii mamlaka hiyo mpaka hapo itakavyokuwa Vinginevyo kwenye uchaguzi unaofuata.

Samia ataendelea mpaka 2025 na akitaka ataendelea mpaka 2030 labda akubali kungatuka Mwenyewe na washauri wake waridhie.

Tabu anayoioata ni kuendesha nchi kidemokrasia wakati katiba yetu ni ya Kidikteta.
Nchi hii Ina wezi wengi sana mana majority ya waliopo kwenye mifumo na idara mbalimbali ni zao la udanganyifu na wizi. Yaani wengi wa walioko kwenye mifumo na idara ama waliiba mitihani miaka hiyo ya 2010 kurudi nyuma au walipata madaraka Kwa rushwa au wizi wa kura n.k. Hivyo kundi Hilo ndilo linalohujumu maendeleo ya nchi . Hao hawana huruma na maisha ya Watanzania. Mama SSH anahangaika sana kutafuta fedha za Maendeleo lakini amazungukwa na watu wa bara ambao wengi wao ni wezi Kwa asili kwani wafugaji wanaasili ya wizi wa kuiba mifugo na kujilimbikizia wao na familia zao. Bara wengi Wana hulka ya wafugaji. Pwani wengi ni wavuvi ambao hawana hulka ya kuibiana samaki.
Haaaahaaa sasa mkuu samaki utaibaje?, Ila huko ziwani au Bahraini wavuvi huwa wanaibiana taa au betri mkuu.
 
JPM alifanikiwa kwa propaganda zake za kiwaita watu wanyonge huku akinuonga kila aliyejaribu kwenda kinyume naye. SSH anapiga propaganda za kurudisha hali kuwa shwari huku akiwaaahidi wafanyabiashara na matajiri hali nzuri ya uchumi. Ukiangalia kiundani wote hawa hakuna zaidi ya wanachofanya zaidi ya kutengeneza matatizo kisha wao wenyewe wanajifanya kutoa suluhu.
Mitandaoni MNA 7 Kwa 0

Nje ya mitandao mno 0 Kwa 100!

Endeleeni!!

Unasema JPM Alifanikiwa kuwahadaa watu wakati wana macho ya kuona na masikio ya kusikia....?

Mnamdanganya sana kiongozi wetu, Hakubaliki Kwa 90% ila anaomuda wa kurekebisha!!

Vijini ile sabuni ya mche kipande kilikuwa kinauzwa mia mbili, Kwa sasa ni 700 halafu unataka akubalike??

Jinga kabisa
 
Hivi unajua hadi vikongwe wa huko vijijini hawaitaki ccm na hasa Rais aliyepo???

Hawataki kusikia jina lake hata kidogo, na limenishangaza hilo Kwa sabb vikongwe wengi wa nchi hii ilikuwa ukiwaambia vyama vingine ilikuwa ni rahisi Kwa wao kusema eti tunataka kuleta vita kuondoa amani iliyoachwa na Mwalim Nyerere!!

Nenda sasa vijini uwaulize hilo mdo utapata majibu yao!!
 
nimegundua mda huu humu JF kuna watu mnalipwa kuzungumzia vibaya utawala wa awamu ya 6 maana ni uzi juu ya uzi kumparura bimkubwa tu bila point!! imekuwa too much mnaboa sasa!!

hamna stori zingine wakuu? hata Mayele kuifunga Simba jumamosi na wananchi kutetema hamzungumzi? au Miwani Makengeza bin Mmbowe kupagawa na Joyce hadi kuanguka na kupasuka kule Dodoma nayo imeekaaje?
 
Jamani mnajuwa tunaweza kufunga macho nakuwa watu tunapenda kutukuza viongozi nakudharau uhalisia wa uku chini kwa kuwa na agenda binafsi ambayo mwisho wake waweza kuwa mbaya kwa chama na taifa kuliko kifo cha hayati Joseph Pombe Magufuli.

Watanzania huku chini wenyewe kwa wenyewe kwenye vikundi pasipo chakachua report ya siri ya usala wa Taifa kuhusu siasa yani Mh Rais watu hawapo na yeye yani watanzania wachache sana wana amini anapo tupeleka ndiko.

Nahili linasababishwa na hali ya maisha imekuwa ngumu kutokana na kupanda kwa bei ya vitu na hili lina wagusa maraia wa chini kuliko raia wa juu hii imesababishwa na ubadilikaji wa ghafla wa physical and monetary policy ilio kuwa kipindi cha hayati JPM.

Ukiangalia kwa haraka hizi sera za sasa utaona zina wa saidia matajiri kuwa matajiri na masikini kuwa masikini.
Nitaendelea
Sera zipi ziliwasaidia hao maskini kuepukana na umaskini wao?

Taja sera zilizobadilishwa.. Hao maskini hawana mchango wowote kwenye uchumi zaidi ya ulalamishi usio na msingi..

Jiwe aliwapeleka wapi hadi waseme hivyo? Walipata ahueni kwa kuwa served na nature zaidi kuliko Utawala kufanya mambo ya kuwasaidia..

Hakuna anaeweza eleza bayana maskini walivyosaidiwa awamu ya 5.
 
Wenyewe wanasema ni miongoni mwa watu 100 duniani wenye ushawishi. Ngoja tusubiri 2025 kama atagombea tuone atatushawishi nini.
Magufuli alishapanda mbegu ya kunajisi box la kura. Hivyo hakuna kiongozi mwingine yoyote wa CCM atategemea tena kushawishiwa wapiga kura, zaidi ya kupendelea vyombo vya dola ili vimlindie uchaguzi wa wizi.
Jana rafiki yangu wa kijijini kaniambia nimuazime elfu 80 akanunue mbolea aweke kwenye mivhe yake ya nyanya

Kilichonifany niandike inshu siyo mbolea Bali ni Jinsi alivyokuwa anaongea

Namnukuu baada ya kupokea simu yake:

Mr satoh Hirosh naomba uniazime elfu 80 ndugu yangu. Hali imekuwa mbaya sn Kwa Sisi wakulima kwakweli.Magufuli amekufa aliacha bei ya mfuko elfu 25 lkn hapa ninapokupigia bei ya mfuko ni TSH elfu 84. Mambo yanazifi kuwa magumu siku baada ya siku na hapa ninapoongea na wewe kuna uwezekano tuta zingine za nyanya nlitabidi niziache maaana gharsma ya kuhudumia imenishinda..mwisho wa kumnukuu

Kuna kitu nimekinote ninapopiga storia na watu mbalimbali wa chini kabisa kule vijijini,wengi wao linapokuja swala la maisha na ugumu tunaopitia wanapenda kufanya comparison Kati ya mama na magufuli na mara zote magufuli anashinda. Hapa Haijalishi mitandaoni hasa jf na Twitter ambako kuna watu wengi waliosoma na wenye uelewa wa juu na mambo ya siasa wanaongea mabaya mangapi ya magufuli..

Kule chini mtu hawezi kukuelewa kbs ukimwambia mama anaupiga mwingi Hadi anachana nyavu
 
Hivi unajua hadi vikongwe wa huko vijijini hawaitaki ccm na hasa Rais aliyepo???

Hawataki kusikia jina lake hata kidogo, na limenishangaza hilo Kwa sabb vikongwe wengi wa nchi hii ilikuwa ukiwaambia vyama vingine ilikuwa ni rahisi Kwa wao kusema eti tunataka kuleta vita kuondoa amani iliyoachwa na Mwalim Nyerere!!

Nenda sasa vijini uwaulize hilo mdo utapata majibu yao!!
Wakaswma wanataka chama gani au wanamtaka nani? Weka jibu maana na mimi ninalo jibu .
 
Yaan mi nikishaona mtu akisema mfumuko wa bei ni kutokana na vita ya ukraine naacha kumsikiliza naona kama hana akili sawa sawa!!..
Tanzania ni miongoni mwa nchi 10 za africa ambapo mafuta n ghari zaid na ziko nchi 54
hyo vita inapiganiwa tz?
Itakuwa vita vya Ukraine na Russia vinapiganiwa Dodoma
 
Jana rafiki yangu wa kijijini kaniambia nimuazime elfu 80 akanunue mbolea aweke kwenye mivhe yake ya nyanya

Kilichonifany niandike inshu siyo mbolea Bali ni Jinsi alivyokuwa anaongea

Namnukuu baada ya kupokea simu yake:

Mr satoh Hirosh naomba uniazime elfu 80 ndugu yangu. Hali imekuwa mbaya sn Kwa Sisi wakulima kwakweli.Magufuli amekufa aliacha bei ya mfuko elfu 25 lkn hapa ninapokupigia bei ya mfuko ni TSH elfu 84. Mambo yanazifi kuwa magumu siku baada ya siku na hapa ninapoongea na wewe kuna uwezekano tuta zingine za nyanya nlitabidi niziache maaana gharsma ya kuhudumia imenishinda..mwisho wa kumnukuu

Kuna kitu nimekinote ninapopiga storia na watu mbalimbali wa chini kabisa kule vijijini,wengi wao linapokuja swala la maisha na ugumu tunaopitia wanapenda kufanya comparison Kati ya mama na magufuli na mara zote magufuli anashinda. Hapa Haijalishi mitandaoni hasa jf na Twitter ambako kuna watu wengi waliosoma na wenye uelewa wa juu na mambo ya siasa wanaongea mabaya mangapi ya magufuli..

Kule chini mtu hawezi kukuelewa kbs ukimwambia mama anaupiga mwingi Hadi anachana nyavu
Nimewahi kushuhudia asubuhi asubuhi akina mama wakimshusha kwenye bajaji mwanaume mmoja aliyejifanya anamsifia Mama. Kisha wakamwambia dereva, aendeshe watamlimpia waliyemshusha!
 
Ni sukuma gang hao wako busy kutafuta justification ya kupachika jizi lao jingine.
Ni lini utaacha ujinga huu wa kudhani kila asiyekubaliana na mpakwa mafuta wako ni sukuma gang?

Kama wote wasiokubaliana na Sera zake ni sukuma gang, basi ni hatari mno, maana ni wengi mno, na kama wewe ni mshauri wa mama, ni miongoni mwa washauri wabovu kuwahi kutokea, au mmeamua kumdanganya mama
 
Hivi unajua hadi vikongwe wa huko vijijini hawaitaki ccm na hasa Rais aliyepo???

Hawataki kusikia jina lake hata kidogo, na limenishangaza hilo Kwa sabb vikongwe wengi wa nchi hii ilikuwa ukiwaambia vyama vingine ilikuwa ni rahisi Kwa wao kusema eti tunataka kuleta vita kuondoa amani iliyoachwa na Mwalim Nyerere!!

Nenda sasa vijini uwaulize hilo mdo utapata majibu yao!!
Nilikuta kijiwe kimoja kina Mama wauza vitafunwa daa wanavyolalamika mmm niiashangaa mpaka huku ,nikauliza mbona nijinsia yenu kwanini asipewe ushirikiano wee walipinga haswa, sisiemu ni wale wale wanajuana kwa vilemba, mwingine eti tuongeze lugha nyingine, mwingine wanawake tukae kwenye bodaboda upande utazani hizo barabara kaziwekea lami wakati zimejaa mashimo
 
Nitajie fiscal na monetary policies zilizobadilika ?

Unauliza kama Rais yupo kwenye mioyo ya watu?? How is it possible Rais awe kwenye moyo wako?

Wewe na kijiwe chako hamridhiki na Rais anavyoendesha nchi, fine. Ila hautapata Rais anayemridhisha kila mtu.

Mnadai JPM alikuwa anakubalika!! Mimi nakuuliza swali; Kama alikuwa anakubalika kwa nini aliiba Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vitongoji wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wa 2020?

You can be foolish but you can't fool us!!
You can be a fool but you can't fool us.
 
Kwakweli mimi SSH yupo moyoni mwangu kabisaa, kuroho safi. Namwombea afanikiwe maana mafanikio yake ndio mafanikio ya nchi.

JPM alikuwa na mazuri yake lakini dah... Ile ilikuwa noma.
Unamwelewa kwa lip? Na je mafanikio gani ambayo we umeyaona machinga walio wengi kuondolewa na mkafurahishwa wachache wenye vyeti feki
 
Hapendwi huyo mama!! Elewa tuu hivyo, sasa kazi ni kwako kuita watu sukuma gang
Kuwa Rais haihitaji kupendwa ila kinachotakiwa ni ku deliver..

Nyerere aliwahi waambia wajinga kama wewe kwamba kama unampenda mtu nenda kanywe nae chai sebuleni kwako..

Na mimi nakwambia wewe kama unapendwa nenda katege buttocks kwa unaempenda ..

Mwisho mbona humtaji anaependwa?
 
Back
Top Bottom