Tunamuimba Rais kila kona, Je, yupo kwenye mioyo ya Watanzania Au mtaamua kufumba macho?

Tunamuimba Rais kila kona, Je, yupo kwenye mioyo ya Watanzania Au mtaamua kufumba macho?

Tofauti ya Samia na magufuri ni,Samia anaumiza wengi ananufaisha wachache,magufuri kiuchumi wengi wa chini walinufaika wachache waliumi hasa majizi,alijitaidi kudhibiti mifuko ya Bei hata kipindi Cha covid 19
Sio kweli.
 
Sisi tumekubali kwenda na Rais Samia. Hao Raia wa Hali ya chini na wao waende na rais wanayeona anafaa. Full stop tuache kupigiana makelele
Hahaa, kauli tata hii, ninyi ni 10% wa kipato Cha chini ni 90%.
Atatoboaje sasa!! Kama Bado mnawaza goli la mkono TUMESTUKA. Tunataka KATIBA mpya kabla ya uchaguzi wowote.
 
JPM anakubalika na watu kitaani SSH anakubalika mitandaoni ndio tofauti kubwa .
Sema anakubalika na wanaharakati wa mtandaoni lakini sio watu wa kawaida wanaotumia mitandao
 
Hahaa, kauli tata hii, ninyi ni 10% wa kipato Cha chini ni 90%.
Atatoboaje sasa!! Kama Bado mnawaza goli la mkono TUMESTUKA. Tunataka KATIBA mpya kabla ya uchaguzi wowote.
Wakati wa Magufuli bado hiyo 10% ndio ilitawala na itaendelea kutawala.

Ule wizi wa uchaguzi ulikuwa wa nini kama ana sapoti ya 90%?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyo ujue ni wale team samia wanajaribu kuficha mazaifu ya mama yao..... lakini ukweli ni kwamba mama kashafeli na sioni anawezaje kushusha bei na garama ya maisha kuwa chini!!!! Alijisemea hayati JPM mtanikumbuka.....
Gharama za maisha mbona kitu cha kawaida tu. Fanya kwzinuweze kuzimudu acha kulalamika.
 
Soma post nzima utaelewa hoja yangu tatizo mkifika kwenye vita ya Ukraine mnaishia hapo.

Ni hivi Kila nchi imeathirika na hii vita ukiangalia Al Jazeera au BBC utaona nchi watu wanaadamana kupinga kupanda bei hata Kenya ni worse kuliko Tz.

Ila wao Kenya wameingiza Mabilion kwenye Ruzuku Ili bei zishuke. So Kila nchi imeathirika tofauti ni kwamba kwa kiasi Gani serikali zao zimekua wabunifu ndio tunapotofautiana ila kusema eti Vita ya Ukraine haichangii kitu then inaonyesha haufahamu uchumi.

Tanzania ni importing country tunategemea mahitaji mengi kuagiza kutoka nje so Bei za vitu zikipanda kwenye soko la dunia obviously na huku zitapanda.
Ila kuhusu kupanda bei, vitu vimepanda kabla ya Vita. Labda tuseme sababu ya corona
 
Makasiriko ya Chief Hangaya pale alipogundua kuwa Watanzania wengi hawampendi wala hawako nae😁😁😁
16528051820300.jpg
 
Wakati wa Magufuli bado hiyo 10% ndio ilitawala na itaendelea kutawala.

Ule wizi wa uchaguzi ulikuwa wa nini kama ana sapoti ya 90%?
Unanikumbusha Ile kauli ya bibi Eti ''CCM ITASHINDA HATA KAMA HAITAPIGIWA KURA!""

Hoja ingine ni kuwa mnakiri kuwa JPM aliingia Kwa kuiba uchaguzi, Alieiba uchaguzi ameondoka bt alioingia nao ktk WIZI huo wapo, Kila kosa wanamtupia asieweza kujitetea.

Kama kiongozi atashindwa kuwin trust ya watu wa kipato Cha chini ambao ni 90% bas asitegemee uchaguzi huru na HAKI lazime awaze kuiba tu. TUMESTUKA, SANDUKU LA KURA limetiwa najisi.

KATIBA mpya tunaitaka kabla ya UCHAGUZI wowote. AMEN
 
Unachukia madarasa kujengwa? We mbinafsi sana.
Mkuu
Sichukii madarasa kujengwa

Wabunge walipitisha Tozo zitumike kujenga vituo vya afya na madarasa

LAKINI fedha za uviko zikatumika kule kule tena!!
Ndugai akauliza ikala kwake

Hatuambiwi tena tozo ni sh. Zimekusanywa na zinafanya Nini!!!

Bora tozo zingepelekwa KWENYE mafuta kuliko kukopa tena KWA ajili ya mafuta ingewasaidia Sana watu na vitu kupanda bei!!!
 
Mkuu usiingize Siasa kwenye uchumi, monetary policy ipi imebadilika ghafla? Kipindi Cha 2020-21 JPM ndio alitoa mkopo wa Trillion 1 kwa mabenki yaani Trillion nzima iliingizwa kwenye mzunguko..... Funny enough ndio alishusha bank rate, reserve requirement na masharti ya agency banking, M Pesa Ili kuongeza mzunguko wa pesa. So linapokuja suala la monetary policy Wala hazikubadilika mwaka 2021-22!!

Kingine Mfumuko wa bei ni kutokana na vita ya Ukraine kiufupi mfumuko ni dunia nzima lakini vile vile kukosekana ubunifu serikalini wao wanajua tozo tu na makodi wanashindwa kubuni vyanzo vipya.

Ilipaswa wakate matumizi yasiyo ya lazima ikiwezekana kususpend Miradi isiyo na priority Ili hiyo pesa iwekwe kwenye kusubsidize Bei za vyakula Ili gharama ya maisha ishuke.

All in all wakulaumu sio Samia tu ni CCM nzima kuanzia bunge linalopitisha matozo na baraza la mawaziri linalofanya kazi kwa mazoea tu. Kuna wakati unatamani hata baraza la mawaziri ukodishe nchi za wenzetu wafanye consultancy ya miezi 6 pengine tunaweza ona matokeo chanya!!
Akisitisha hiyo miradi Pro JPM watamnanga mpk basi.. wacha aimalizie tu ingawa ni kweli hiyo miradi ni mzigo kulinganisha na hali ya uchumi ya sasa dunian
 
Magufuli alishapanda mbegu ya kunajisi box la kura. Hivyo hakuna kiongozi mwingine yoyote wa CCM atategemea tena kushawishiwa wapiga kura, zaidi ya kupendelea vyombo vya dola ili vimlindie uchaguzi wa wizi.
Kabla ya Magufuli mlikuwa mnshindwa kihalali eti ee?
 
Hahaa, kauli tata hii, ninyi ni 10% wa kipato Cha chini ni 90%.
Atatoboaje sasa!! Kama Bado mnawaza goli la mkono TUMESTUKA. Tunataka KATIBA mpya kabla ya uchaguzi wowote.
10% Vs 90% kazi kweli kweli !!!
 
Jamani mnajuwa tunaweza kufunga macho nakuwa watu tunapenda kutukuza viongozi nakudharau uhalisia wa uku chini kwa kuwa na agenda binafsi ambayo mwisho wake waweza kuwa mbaya kwa chama na taifa kuliko kifo cha hayati Joseph Pombe Magufuli.

Watanzania huku chini wenyewe kwa wenyewe kwenye vikundi pasipo chakachua report ya siri ya usala wa Taifa kuhusu siasa yani Mh Rais watu hawapo na yeye yani watanzania wachache sana wana amini anapo tupeleka ndiko.

Nahili linasababishwa na hali ya maisha imekuwa ngumu kutokana na kupanda kwa bei ya vitu na hili lina wagusa maraia wa chini kuliko raia wa juu hii imesababishwa na ubadilikaji wa ghafla wa physical and monetary policy ilio kuwa kipindi cha hayati JPM.

Ukiangalia kwa haraka hizi sera za sasa utaona zina wa saidia matajiri kuwa matajiri na masikini kuwa masikini.
Nitaendelea
Matajiri ndo kila kitu dogo. Ukikumbatia maskini na nchi unakuwa maskini mwisho wake unakuwa rais kupinduliwa kwa sababu hataweza kulipa mishahara wanajeshi kama ambavyo tulikuwa tunaelekea kipindi kilichopita Cha jpm.
 
Kama ulikuwa kwenye lile kundi lake la watu wasiojulikana ilikuwa lazima utoboe. Kwa sasa kundi lenu bibi mkojani kalipotezea.
Ni ujinga kufikiri kila rangi inayong'aa ni nyeupe ukiwa kwa mbali kisha ukaishia kuridhika na na vile unavyodhani..ni busara kusogea karibu ili kujiridhisha na kuwa na uhakika usio na mawaa!!

Upo mbali na vile unavyodhani..asante
 
Aliyeongeza mshahara kwa 23.3% huyo ndo yuko moyoni mwangu. Samia Suluhu Hassan atosha
Kuongeza mishahara ni jambo zuri. Watumishi wote walioajiriwa na Serikali wanaonufaika na ONGEZEKO Hilo Kwa Takwimu hawafiki Lak 5, au 500,000.

Wakulima na wachuuzi Kwa Takwimu Nchi hii ni zaidi ya 80% katika idadi ya wananchi zaidi ya 50milioni.

Mbolea imeongezeka Bei Kwa zaidi ya 250%, Bei za mafuta ONGEZEKO lake ni zaidi ya 300% ukilinganisha na Bei za march 2021. Impact ya INFLATION hiyo Kwa Bei ya vitu mtambuka ni mbaya sana ktk UCHUMI.

Kwanini Serikali haiwazi kupunguza MATUMIZI yake inawaza KUKOPA kutatua matatizo halafu nani alipe??

Bado tunasikia Kuna WIZI wa fedha katika miradi mbalimbali ya serikali ktk wakati ambao kuko kwenye tatizo la kifedha kama Nchi. Kwann Viongozi Si wakali Kwa waizi?? Ripoti ya CAG why imetupwa kapuni?

Mnatoka KUSIFIA wakati tatizo KUBWA halijatatuliwa, tunaokosoa ndio tunaosaidia Nchi kuliko ninyi wenye VISION finyu, kiongozi wetu Bado anayo KAZI KUBWA ya kufanya Bado, msimpotoshe.
 
Tofauti ya Samia na magufuri ni,Samia anaumiza wengi ananufaisha wachache,magufuri kiuchumi wengi wa chini walinufaika wachache waliumi hasa majizi,alijitaidi kudhibiti mifuko ya Bei hata kipindi Cha covid 19
Magufuli alinufaisha wengi akina nani? Aliwanufaisha kwa lipi? Lipi jipya alikua anafanya viongozi waliopita hata wakoloni hawakufanya?
 
Magufuli alinufaisha wengi akina nani? Aliwanufaisha kwa lipi? Lipi jipya alikua anafanya viongozi waliopita hata wakoloni hawakufanya?
Hukunufaika wewe sisi wafanyabiashara alitusikiliza na kufanya Kaz ushauri wetu
 
Back
Top Bottom