Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hukutumia zile njia kurevenge???
Niliona ushamba sikumfwatilia tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukutumia zile njia kurevenge???
Mimi nilichapiwa mke wangu na charismatic fella niliumia sana nikataka kujinyonga makamba akanishauri wazuri hawafi nikajiuzulu kujiua
Na mke wako au demu wako kuna wahuni pia wanamkula shubamitiDadeki wake zao sisi wengine tunawafukunyua tu. Sie wengine yetu macho tu
Hahaha kwanini unasema hivyo mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jf milele na milele hata mbinguni tukikutana naona mambo yakatakuwa kama hivi
Kula kulana ndio Peresu PeresuNa mke wako au demu wako kuna wahuni pia wanamkula shubamiti
Hahaha kwanini unasema hivyo mkuu
[emoji23] sawa juma natureAlipigwa denda mpaka gari likagoma kwenda...walijiona wapo new york city starehe kugeana milenda..inaniuma sana demu amepima amekutwa ana ngoma
Kabla ya kwenda uliniomba pesa kula ukasema nisiwe na hofu nipo pekeyangu ulipotoka ulipokwenda mshikaji wangu mmoja akalopoka Sinto na yule mwenye gari walinyonyana ndimi njenje Hadi kupata ajali safarini [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Alipigwa denda mpaka gari likagoma kwenda...walijiona wapo new york city starehe kugeana milenda..inaniuma sana demu amepima amekutwa ana ngoma
HahahahaAf hata sijui jimejikut nimelopoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nani akae na mtu hana hela asked 😒😒😒 baki na PhD yako na ERoni mtae vumiliana kwa shida na rahaKwendaaaa 😂😂😂
Watu wengi Ni marafiki nje ya jf na urafiki wao ulianzia hapa jf mkuu.Hii nayo ni changamsha genge tu.....
Hakuna ukweli wa ina yoyote ile hapa.....
Hivi kweli kuna watu huwa wanaanzisha mahusiano/urafiki hapa JF hadi kupeana mawasiliano yao ya huko nje ???.....
Watu wengi Ni marafiki nje ya jf na urafiki wao ulianzia hapa jf mkuu.
Na ukongwe na umaarufu wako mkuu unataka kusema hauna rafiki ambae mlianzia jf?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Usiikosee heshima kahawa, humu ni chai.. kungekuwa na kahawa ingekuwa nafuu 😀😀😀Hapana mkuu, sina na sitegemei kuwa naye. JF huwa naichukulia kama kijiwe cha kupiga soga tu..
Kweli chai aisee. Nashangaa kuoana watu wanayatilia sana mkazo maisha ya humu ndani. Navyosikia malalamiko kama haya huwa sielewi kabisa..Usiikosee heshima kahawa, humu ni chai.. kungekuwa na kahawa ingekuwa nafuu [emoji3][emoji3][emoji3]
Power of deception inafanya kazi kweli kweli humu ndani. Umri flani ukifika hakuna tena marafiki, kuna umri wa hela tu na deal.. urafiki una number ( limit ).. nishabaki na rafiki mmoja tu mke wangu na ndie business partner wangu na kila kitu changu .. wengine ni rai tuKweli chai aisee. Nashangaa kuoana watu wanayatilia sana mkazo maisha ya humu ndani. Navyosikia malalamiko kama haya huwa sielewi kabisa..