Tunaochapiwa, waliowahi kuchapiwa wake, wapenzi, wachumba zao na Member (s) wenzetu wa JF tujuane

Tatizo muda mazee. Tatizo muda nao unakaba. Kuna umri hata wana huwezi kuonana nao kirahisi, kila mtu ametingwa...
 
Kwa inavyoonekana hawo ni walikuwaga wapenzi kipind fulan sema huyo msela aliwahiwa hakukata tamaa ndo maana alivyopata gari na visent akaamua kukirudia chuma chake apeleke moto hio ipo kwenye mazingira yetu mwanamke sio wa kufatlia sana akikuamlia unaweza kukaa nae ukimbana sana kuna zile siku anaweza sema anaenda kwao huko kwao kuna watu walikuwa pamoja nae kipind cha nyuma watakupgia had atarudi ametosheka hasa hawa unaoa mke unavuka mikoa 3 na kuendelea wanaliwa sana wakienda kwao ni kuomba tu
 
Mke wako ni demu wangu, na demu wake ni mke wangu.

Ukielewa hii fomula basi huwezi angaika na mambo ya kuchapiwa

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…