MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Mbona 80kg ni uzito wa kawaida? una urefu gani?Uko sahihi asilimia zote na point vyakula ndo Kila kitu,Mimi nilikua na 80 na kitu hukooo watu wananishangaa nikaanza kujitune kwenye vyakula Tena vile vile vyakula vyangu ninavokula ila nilipunguza kiasi kikubwa nilifika mpk 65kgs sometimes nilikua usiku nakunywa maji mengi na nanasi ,au embe au tunda lolote la sukari lile!
Sikuwahi kukimbia Wala kwenda gym yoyote Wala mazoezi ni mlo TU Baasi mwili unapungua wenyewe
Nimeanza pungua....
Nilikua na 89
...jana nimepima Nina 84
Mi ni mrefu sana kiwango Cha odemba....kama unamjua...Hongera sana kwa kupungua ,ila ulikuwa na weight kubwa sana 89kg? Kwa Mwanamke inabidi uende max 65kg na Me 75kg.
Dah napunguza kiwango ila njaa inauma haswa wakati huu WA baridi dahKama huwezi kufuata formula ya chakula basi jiandae kuwa kibonge mwepesi, kupungua au kuongezeka kwa mwili inaangaliwa ratio ya chakula na mazoezi yako na si mazoezi pekee. Mlo ndiyo utakaoamua wewe uwe mnene au mwembamba
Zoea kwanza ulaji wa kawaida ndiyo uje ufanye mazoezi, najua itakuwa ni mateso makubwa ila vumilia kwanza hilo. Vita kuu ya kupungua mwili ni vyakula kwanza na hili ndiyo linawashinda wengi wanakimbilia kuweka maputo tumboniDah napunguza kiwango ila njaa inauma haswa wakati huu WA baridi dah
Mi ni mrefu sana kiwango Cha odemba....kama unamjua...
So ni mifupa TU hapo nyama kidogo
Ukiweza kukimbia km 10 kila siku ,utakula chochote na uongezekiMimi sipendi mazoezi ila nimefikia Ile steji ya no way out. Chakula kama chakula kufanya diet au kula michemsho siwezi wenzangu.
Maana kunywa sinywi, club sipendi, starehe yangu ni masotojo tu. Sasa mwili unapoelekea Kwa kweli sio pazuri.
Hii ni wiki ya tatu mfululizo ila napiga ya nyumbani mbio kuzunguka uwanja.
Sit-up sijui ya kukata tumbo. Binafsi naona mwili umeanza kuwa mwepesi.
Naomba kwa wanaofanya mazoezi tupeane ABC please. Vyakula vya kula. Mazoezi ya kufanya na pia tutiane moyo. Binafsi nataka niwe na mwili kama wa Gabu union au tiwa savage nikifikisha 40 bila surgery maana najiona kabisa siwezi kuoitolerate hiyo surgery.
Najilainisha kwanza kabla sijaanza kwenda gym wasije wakanitoa roho bure ma treinaaaa[emoji23][emoji23]
10m ni sawa na kutoka wap had wapUkiweza kukimbia km 10 kila siku ,utakula chochote na uongezeki
Posta to Mwenge ,inaweza kuchukua mwaka kukimbia hizo km,download app ya strava anza taratibu10m ni sawa na kutoka wap had wap
🤣 🤣 🤣 🤣Labda kutia udambwi udambwi..
Hivi unaijua mishikaki ya nundu?
Usije ukamkula dada wa kimasaiMazoezi yanaendana na chakula ila kama unataka kupungua ni swala la kupunguza kula
Trainer nipo hapa.
With time tumbo litazoea. Unaanza mdogo mdogo. Niliwahi kukutana na Bi. Mkubwa mmoja ana miaka 58 kama ana miaka 35. Siti yake kalimiyi macuta na chumvi kwenye diet yake na matunda na mboga mboga.Pole Kwa kuibiwa..
Aiseee matunda yanakwangua tumbo usiku asiwambi mtu....
Mbwa unataka kufuga WA kuzungu?
Aisee ukikosa fuga WA kiswahili ata watatu au wawili kelele zao usiku zinasaidianwatu kuogopa kuruka
Inadaidia?Acheni niwe nakula kidogo maana mazoezi sipendi na unene sipendi
Basi nakunywa na mdalasini
Bila kapicha uzi huu ujautendea haki!Mimi sipendi mazoezi ila nimefikia Ile steji ya no way out. Chakula kama chakula kufanya diet au kula michemsho siwezi wenzangu.
Maana kunywa sinywi, club sipendi, starehe yangu ni masotojo tu. Sasa mwili unapoelekea Kwa kweli sio pazuri.
Hii ni wiki ya tatu mfululizo ila napiga ya nyumbani mbio kuzunguka uwanja.
Sit-up sijui ya kukata tumbo. Binafsi naona mwili umeanza kuwa mwepesi.
Naomba kwa wanaofanya mazoezi tupeane ABC please. Vyakula vya kula. Mazoezi ya kufanya na pia tutiane moyo. Binafsi nataka niwe na mwili kama wa Gabu union au tiwa savage nikifikisha 40 bila surgery maana najiona kabisa siwezi kuoitolerate hiyo surgery.
Najilainisha kwanza kabla sijaanza kwenda gym wasije wakanitoa roho bure ma treinaaaa[emoji23][emoji23]
Nitashushiwa mabango hapa weeeeBila kapicha uzi huu ujautendea haki!
Sentens ya mwisho sijaelewaWith time tumbo litazoea. Unaanza mdogo mdogo. Niliwahi kukutana na Bi. Mkubwa mmoja ana miaka 58 kama ana miaka 35. Siti yake kalimiyi macuta na chumvi kwenye diet yake na matunda na mboga mboga.
Soda unakunywa?Nafanya mazoezi since 2018,
asubuhi tu, nikiamka,
natembea almost 20 minutes,
naruka kamba 50,
pushups 25
na mazoezi mengine pia. Hii nafanya siku 6 weekly.
situmii pombe, soda, sukari, mafuta na chumvi nimepunguza sana.
Hii ndio formula ya maisha yangu kwa sasa.