Tunaojihisi kuchoka na kitu fulani tufarijiane

Daaah!❤️🙏🙏
 
Hahaha hawa watakuwa wamechoka kwa sababu hawapati mgegedo kila leo. De libolo ukiwa unalipata kila leo mbona hutataka kufa ukikumbuka ile raha ya kukojozwa
Nifanyaje sasa,mfano saivi usingiz umenipaa
 
Nifanyaje sasa,mfano saivi usingiz umenipaa
Premiun answer.

Acha ufeminist, udume jike kujifanya ngangari amua kua mwanamke waza kama mwanamke kubali majukumu ya mwanamke achana na ujinga wenu wa 50/50 hakika hapo hata mwanaume wako atavutiwa na wewe. (You will be femine and attractive) na pia utaenjoy mahusiano na tendo litakua tamu kwako na kwa mwenza wako na hakika "hautachoka maisha" unachoka kwasababu unaishi kinyume na asili yako.

Mwanamke hauakuumbwa kua lijuaji juaji, libishi ngangari hizi hupunguza utamu wa mwanamke na binafsi sitaki hata kua karibu na mafeminist na siwezi hata kudindisha kwa limwanamke lijuaji hata livue nguo mbele yangu.

To make it short be a submissive woman. Upate mume imagine mwanamke mpaka usiku huu uko mamitandaoni unatafuta company kwasababu wanaume in real life kwa ground wamekususa, kwanini usichoke sasa, na kuchukia maisha

Mwanamke yapasa kua mnyenyekevu, mtulivu, mwenye adabu, mcha Mungu na mkarimu. Hakika mwanamke mwenye sifa tajwa ataishi kwa kupendwa, kulindwa na kuhudumiwa kwa upendo mkubwa na mwanaume wake.
 
Wanaume kibao love conect wanatafuta wenza unakuwaje single
Na hata hao "wanaume wengi" HAKUNA HATA MMOJA anaeweza kuvumilia mwanamke mjuaji kama to yeye cariha Rebeca 83 Miss Natafuta etc viumbe wa phylum hii haichukui dakika kumkinai mwanaume (najua unalifahamu hilo mkuu)

Ujuaji mwingi, ufeminism umewajaingia mpaka kwenye mifupa, viburi na jeuri mbaya hata akienda love connect atapata wanaume wanaotamani kumtomb.a na kusepa hakuna mwanaume wa kuinvest upendo kwa mafeminist hell no.

Au labda huko love connect akutane na mwanaume asiyemjua ila hata ikiwa hivyo hawatadumu maana mwanamke jeuri na mjuaji hawezi kujicontrol ataonyesha makucha hata week haitapita na mwanaume "timamu" atapiga chini.
 

weee embu niache, ebo!
 
Kuna nn Kwan mbona sikuelewi? 😳Yaan nakuonyesha kwamba sikuelewi tangu post Yako ya mwanzo lakin umeng'ang'ana nami.Soma vizuri mkuu,sijaandika kuwa natafuta mume,tafadhali usizidi nivuruga tafadhali,tafadhali
 
😳🙏
 
Nomwchoka zaidi baada ya kuishi duniani nikijua mama yangu ndo basi tena sitamuona.
Nimeamua kuishi bila kujali chochote zaidi ya ahueni ya Leo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…