Mbona hamtaki tuache kaz,mi ningepata wa kunitunza na wanetu aisee,kaz naacha kabisaUnaona Nakadori wanawake by default mko wired kulea huo ndio wito na eneo lenu la umahiri na huko ndio kwenye furaha na amani ya kweli ya mioyo yenu. Huku kujifanya marais ni kujilisha upepo. hampapata amani wala furaha kugombania vyeo huku watoto wenu wakilelewa na mahouse girl.
Nimekuelewa mkuuNice guess kama kaolewa, then ni ndoa ile ya ngi ngi ngi, usinibabaishe, kama kusoma na mimi nimesoma full mitifuano bampa to bampa.
kuna sehemu anasema "kachoka kua kwenye mahusiano" well lets digest that, shall we ?! mwanamke anayependwa na kujaliwa hawezi kuchoka uhusiano, na kwanini hapendi booom !! back to spuare one ujuaji mwingi mixa jeuri. Hakuna mwanaume mkorofi mbele ya mwanamke mnyenyekevu.
Kuna uzi niliandika Elimu na pesa vikiwa kwa mwanamke, heshima hukosa nafasi kwake. (Wanawake wengi wakipata vijiajira huota mapembe)
Elimu na pesa zikiwa kwa mwanamke, heshima haina nafasi
Sure,nawapenda wanangu kuliko kaz,ila kaz ndo inawafanya waleNikurekebishe kidooogo, sio hao waalimu tu, mwanamke yeyote hata awe CEO ila akikosa kupendwa na kuhudumiwa lazima achoke maisha.
Mwanamke kiasili hapati furaha na amani kutokana na cheo, fedha etc. Mwjnamke apaswa kupendwa, kulindwa na kuhudumiwa. Mtoa mada anateswa na upweke ambao ni zao la feminism na maharakati ya 50/50 yanayoharibu hulka na adabu zenu
Wako wanawake wengi maosifini wenye vyeo vya maana ila wanatembea kama mazombie tu, hawana furaha yoyote kama mtoa mada.
Awoman's satisfaction is being loved and admired while a man's satisfaction is being successful, needed and providing sasa wanamaketwa kileo mmelishwa sumu mnadhani mavyeo yatawaga furaha mnakuja kugundua vinginevyo kama mtoa mada.
AiseeHuyu ilifaa awe mama wa nyumbani na hata maelezo yake unaona "anatamani muda wake autumie kulea watoto wake"
Sasa mahaki sawa 50/50 yakamsomba na yeye akalipuka nayo mazima kama walivyomjaza masumu. Alitaka asije "kubabaishwa na mume" cha ajabu hata huyo mume hajampata.
Pole mpnz...Ilishanishinda mwaka wa 2 sasa
"Ticha is down,
Bravo team come to the extraction site,
Over.
Hope teacher of the decadeNajua ni muda wa kaz huu,ila tulikuwa na kaz ya kuhakikiwa Ivo imekwisha mapema sana Leo inategemea na kuwahi kwako(tunahakikiwa Kila Leo[emoji849]).
Sasa ni hivi,Kuna muda unajihisi kuchoka na Kila kitu au kitu Fulani.Kwa mfano Mimi nimechoka na
1.Mapenzi(kuwa kwenye mahusiano)
2.Kuongea na watu kwenye simu kuhusu mapenz (hapa ndo nimechoka kabisaa,yaan sitaki)
3.Kufikiri yaan kichwan kimechoka kuwaza hili na lile at least namna ya kupata hela na kulea watoto napata faraja kuwazia Ivo vitu lakini siyo kumfikiria Fulani sijui,kufikiria sijui nn
4.Nimechoka na kaz yangu(ualimu) kuwahi asubuhi kwenda kuitumikia kaz inayonididimiza kiuchumi,I wish hiyo 11 alfajiri ninapoamka kuoga nioge Kwa biashara yangu nitakayotesekea mpaka usiku lakini inanipatia mafanikio.
5.Nimechoka kuishi pia,mechoka sana kiukweli ni vile nina watoto naogopa nikizima watateseka.
Ee Mwenyez Mungu nisaidie,pekeyangu siwez pasipo msaada wako.[emoji120]
Kama tupo wengi katika hili tufarijiane bas
[emoji23][emoji23]Bravo team B is two minutes away to the extraction point, Over.
Una kikazi cha kukuingizia laki kadhaa kila mwez na bado unasema maisha magumu, ushamfikiria mtu mzima ambaye kuingiza 5000 kwa siku kwake ni mbinde ?Nahisi ugumu wa maisha unachangia pia cute
Exactlly mkuu, unaungana na mimi kua kama ungekua na mwanaume anaeprovide ipasavyo (ambalo ndio jukumu lake) USINGESUMBUKA NA KAZI. Passion yako ingebaki kulea watoto.Sure,nawapenda wanangu kuliko kaz,ila kaz ndo inawafanya wale