DOKEZO Tunaomba Msaada: Tumedhulumiwa na LE MARAHEB RESTAURANT & more mishahara yetu na kubambikiwa kesi ya jinai na mwajiri wetu mwarabu

DOKEZO Tunaomba Msaada: Tumedhulumiwa na LE MARAHEB RESTAURANT & more mishahara yetu na kubambikiwa kesi ya jinai na mwajiri wetu mwarabu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mmemchelewesha sana, pale pale aliposema hawalipi na hamna cha kumfanya basi mngemtandika makofi mkaishia zenu. Si hamna mkataba na hakuna sehemu mnajulikana nyie ni wafanyakazi? Kama vile daftari la kusaini in & out kazini!
 
Kosa ni kutorekodi matukio hayo.

Mngerekodi kila tukio na matusi yake hayo dhidi ya ninyi.

Pili mlikosea kwenda Mamlaka Moja tu.

Mngekwenda Immigration na ushahidi wenu huo kwamba kwamba huyu mwamba kadha wa kadha.

Huku pia mkiwahi kuripoti polisi.

Mngeona kama hatua zisingechukuliwa

Ila kwa Sasa ni kupoteza muda tu na zitabakia tuhuma

Angekuwa deported within 72 hours na kuwa prohibited immigrant

Na pesa zenu mngelipwa

Walivyo na njaa?

Tulishawahi ku report tukio la Jamaa mmoja mwarabu alikuwa Anafanya kazi zisizo halali na kunyanyasa wafanyakazi
Jamaa wakafika wakaongea ongea wakala 500,000
Maisha yakaendelea

Polisi nao hata ukiwapa 100,000 kesi inawekwa upside down[emoji706]
 
Mnaweza kumwandikia mkuu wa wilaya na kumweleza kuvunjwa kwa haki zenu na namna anavyoendesha mgahawa ili muweze kupewa haki zenu

Mnaweza kumwandikia waziri au naibu wa ajira namna huyo mtu anavyowatesa na kuwanyima haki zenu

Pia kama issue ipo CMA kazeni msiogope

Mwisho mnaweza kwenda kumfungulia kesi na yeye na matusi aliyowatukana kama mnaushahidi mfundisheni adabu
Waende kwenye social media.
 
Mpka sasa huu uzi nmeusomaz nmeona masononeko na maumiv ya watanzania wengi kuhusu huu unyanyasaji.
More than 100 comments, but nafkiri its high time kuongeza nguvu. Sisi tulioko JF wote hatuez kuandamana pale nje lakn tuna nguvu kubwa ya mtandao. Kama tungeweza kwenda kueka uchungu wetu hapo kwenye comments za huo mgahawa ingekua rahisi dunia nzima kuona huo ufedhuli.
Rather than being angry hapa, hebu twende kwa pamoja tukaanzishe tifu huko kwenye page yao ili kumsupport mwenzetu na pia kuifungua macho dunia kuhusu hii injustice
Page yao ya insta wame mute sehemu ya comment
 
oya petrol lita kumi ni 35000 kiberiti cha gas ni 500 gazeti used ni 300
fika eneo la tukio mwaga petrol chap chap washa gazeti lako panda boda kabisa alaf rusha gazeti lichome kufuata mstari wa mafuta mpka eneo la jengo ww sepa ikiwezekana hiyo boda kunja plate namba mkifika mbali inyooshe .
CCTV camera zitachukua tukio, halafu kesi ya kuchoma jengo hukumu yake Kama kesi ya kulawiti, kifungo Cha maisha
 
Poleni sana wewe na wenzako kwa mlichotendewa hii tabia imekuwa sugu sana ya wageni kuwanyanyasa wenyeji yote hii inatokana na serikali yetu kuwakumbatia awa wadudu dawa ni moja tu nahamanin kwa nguvu tuliyonayo sisi wana JF ili jambo tukiamua kulivaria njuga awa wadudu wanarudishwa kwao na nyie kupata stahiki zenu tuma picha za iyo restaurant na majina ya awa wadudu tuwanyooshe yani watu wametoka kwao uko kuna vita hakukaliki wamekuja kwetu tumewapokea alafu waje watunyanyase apa apa kwetu ...Guys we need to do something now.

Sehemu kibao wanapoajiri hao wageni hawatoi mikataba na hata ukireport unaambiwa endelea na kazi tutazungumza nao[emoji706]
 
Mbwa hao wanawanyanyasa kwenye nchi yenu? Hebu chukueni chochote hata nyayo mkawaloge wawe machizi.
 
"Ni kamuuliza "what did u call me?
emoji34.png
You call me a thief, mutha f*cker do u know who tha f*ck i am? Does this look like 18 century that u can call a black man a thief? You think am playing out here you sleeve b*tch ass muthaf*cker. This is Fucking Tanzania, am the f*cking son of this land and you are nothing but a biggot faggot Ahole racist c*nt you moron. F*ck you white racist mutha f*cker. You think am your average Uncle Tom, amo beat that silly dumbazz stupid self of yours if you utter just a word on me you sick f*ck. You think am playing here. Whatchu got on, c'mon, play your balls am all ready show me watchu got with your racist skunk smelling ass.... F*ck you motha f*cker .... f*ck you....."




😄😄😄 Ila umenichekesha Sana mzee.
Nimependa Ulivomfunza adabu😂
Hiyo kesi yenu ya CMA madai yenu kwenye ile fomu ya kufungulia nadai ya migogoro ya kazi mliyaweka vizuri?

Mliachishwa kazi tarehe ngapi na nyinyi mlifungua mgogoro CMA tarehe ngapi? maana unfair termination mgogoro unatakiwa kufunguliwa ndani ya siku 30 toka mgogoro ulipojitokeza.

Kwenye Fomu ya maombi mliomba stahiki zipi? Kazini mmekaa kwa muda gani? malipo mlikuwa mnalipwaje, cash au benki? Mna vitambulisho vya kazi?

Hapo CMA kama mambo yenu kwenye fomu yamekaa vizuri stahiki zenu mnaweza kuzipata. Haki Inaweza kuchelewa kwa vile mahakamani mambo huchukua muda, but kama ni haki yenu mtaipata tu.

USHAURI:
Kwa kesi zote mbili,Hiyo rufaa ya jinai na Labour case tafuteni wakili awasimamie, Laymen mnaweza msijue namna ya kupangilia kesi yenu vyema na mkaiharibu kwa kushindwa kusema mambo ya msingi.

Hasa hiyo kesi yenu ya CMA kama hamuwezi kuweka wakili basi mtafuteni wakili awe anawashauri kila mkienda mahakamani mkaseme nini na kila hatua mfanye nini..!

Ningejua cha kushauri zaidi endapo kama nongeona namna mlivyoweka madai yenu kwenye fomu ya CMA.
CMA tunae Wakili ila Jinai tulijitetea wenyewe, natafuta fomu yetu ya CMA nikifanikiwa kupata nitakutumia PM.
 
AcHa nilale hakikisha unaleta mrejesho wa kesi hii hapahapa jf utueleze umesadikaje na ss tulioko nyuma ya kyebord tukitafakar jins ya kuvamia mgahawa na kuuzambaritisha kwa comment tu bila kumwaga damu ya muyemeni

Ikumbukwe kuwa yemeni Ni kwa wajomba wa mama sa100

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sawa Mkuu nitakua nawaletea Mrejesho hapa mpaka mwisho wa kesi utakavyo kua
 
Km mnajua ndo tabia Yake kwann Huwa hamrekodi?.
Ila ningekua mi ningemfurahisha hata nisingeenda huko polisi na angefunga shenz sn
Wanakuwa wanatumia manguvu ya Giza,(miungu Yao) ndo maana we ana nyodo
Tulikua tunakatazwa kutumia simu kazini na mara nyingi simu zetu zilikua zinakusanywa mpaka mda wa kuondoka ndio unarudishiwa simu yako. Hata Mabegi yetu tunaacha nje kwa mlinzi huruhusiwi kuingia nayo
 
Mimi siyo mwanasheria! Wasiwasi wangu kama hawana mkataba uliondikwa na kusainiwa pande zote (Mwajiri na Mwajiriwa),swala likifika mahakamani watashinda kesi na kupata sitahili zao?
Au ni kesi ya kuleta fujo na matusi?
 
Back
Top Bottom