Tunaomiliki usafiri na kukerwa na ambao tunawabeba lakini hawabebeki

Tunaomiliki usafiri na kukerwa na ambao tunawabeba lakini hawabebeki

Habari wadau, poleni kwa namna mambo yalivyo sasa maisha magumu na agenda za kipuuzi ambazo shetani anataka kuingiza katika maisha ya binadamu sisi

Hapa naendelea wakati tunaishi na kujarbu kutatua changamoto zetu za maisha kama kujenga na kumiliki usafiri ambao utatoa point A kwenda point B sis ambayo tumeish maisha ya mjin tulishazoea maisha haya kwamba jiran yenu ana milik pkpk au Gari asubuhi anawasha anasepa hakuna cha lift wala nn .

Sasa upande huu wa mikon shida ipo kwa watu ambao tunafanya nao kazi eneo moja. Nimekutana na mshikaj rika saw na mimi na wote tukiwa wagen katik kituo tulichoamia sambamba tunaishi maeneo ya karbu kimakaz ila ofis zipo mbali mimi na usafiri both Gari na pikpk ila nkitak kwend job namchek twend au namkuta njian namchukua huyo job (go and return ) Tatzo moja lipo hapa jamaa huwa ajiongez siku alipe na siku isilipe na akilpa ata toa 2000 kama ni pkpk na kama gari 3,000/- hapo ni mwendo wa KM 32+ gari 1.8L na njia sio ya Rami , kilichonikela zaid wik2 nyuma nimetoka tengeneza Piki almost tshs 200,000/- baada ya block na center cluch kufa lakn yeye alitoa 10,000/- na akaidai dah ,

Mbaya zaid haitoi siku zote na akitoa anatoa kidogo sana na kikiharibika ni mimi

Mimi kama binadamu natak nimtue tuu kwa amani zote maan nishaona Watanzania hawezi hisani mimi nimewez kutumia vyombo vyangu vya usafr zaid ya miaka 5 sasa bila ushirka wowote mnawez kuchangia mawazo au changamoto kama hizi
Kuna mtu anakushikia bundukii kumpa lift??
 
Tumia lugha unayoimudu
[emoji23][emoji23][emoji23]et elements [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habari wadau, poleni kwa namna mambo yalivyo sasa maisha magumu na agenda za kipuuzi ambazo shetani anataka kuingiza katika maisha ya binadamu sisi

Hapa naendelea wakati tunaishi na kujarbu kutatua changamoto zetu za maisha kama kujenga na kumiliki usafiri ambao utatoa point A kwenda point B sis ambayo tumeish maisha ya mjin tulishazoea maisha haya kwamba jiran yenu ana milik pkpk au Gari asubuhi anawasha anasepa hakuna cha lift wala nn .

Sasa upande huu wa mikon shida ipo kwa watu ambao tunafanya nao kazi eneo moja. Nimekutana na mshikaj rika saw na mimi na wote tukiwa wagen katik kituo tulichoamia sambamba tunaishi maeneo ya karbu kimakaz ila ofis zipo mbali mimi na usafiri both Gari na pikpk ila nkitak kwend job namchek twend au namkuta njian namchukua huyo job (go and return ) Tatzo moja lipo hapa jamaa huwa ajiongez siku alipe na siku isilipe na akilpa ata toa 2000 kama ni pkpk na kama gari 3,000/- hapo ni mwendo wa KM 32+ gari 1.8L na njia sio ya Rami , kilichonikela zaid wik2 nyuma nimetoka tengeneza Piki almost tshs 200,000/- baada ya block na center cluch kufa lakn yeye alitoa 10,000/- na akaidai dah ,

Mbaya zaid haitoi siku zote na akitoa anatoa kidogo sana na kikiharibika ni mimi

Mimi kama binadamu natak nimtue tuu kwa amani zote maan nishaona Watanzania hawezi hisani mimi nimewez kutumia vyombo vyangu vya usafr zaid ya miaka 5 sasa bila ushirka wowote mnawez kuchangia mawazo au changamoto kama hizi
Acha roho mbaya.
 
Mbona rahisi tu.

Mwambie achangie gharama za mafuta na umwambie kiasi akupe kwa wiki,kama hataki unaachana naye.
 
Huu uandishi unafanyia kazi wapi?
Habari wadau, poleni kwa namna mambo yalivyo sasa maisha magumu na agenda za kipuuzi ambazo shetani anataka kuingiza katika maisha ya binadamu sisi

Hapa naendelea wakati tunaishi na kujarbu kutatua changamoto zetu za maisha kama kujenga na kumiliki usafiri ambao utatoa point A kwenda point B sis ambayo tumeish maisha ya mjin tulishazoea maisha haya kwamba jiran yenu ana milik pkpk au Gari asubuhi anawasha anasepa hakuna cha lift wala nn .

Sasa upande huu wa mikon shida ipo kwa watu ambao tunafanya nao kazi eneo moja. Nimekutana na mshikaj rika saw na mimi na wote tukiwa wagen katik kituo tulichoamia sambamba tunaishi maeneo ya karbu kimakaz ila ofis zipo mbali mimi na usafiri both Gari na pikpk ila nkitak kwend job namchek twend au namkuta njian namchukua huyo job (go and return ) Tatzo moja lipo hapa jamaa huwa ajiongez siku alipe na siku isilipe na akilpa ata toa 2000 kama ni pkpk na kama gari 3,000/- hapo ni mwendo wa KM 32+ gari 1.8L na njia sio ya Rami , kilichonikela zaid wik2 nyuma nimetoka tengeneza Piki almost tshs 200,000/- baada ya block na center cluch kufa lakn yeye alitoa 10,000/- na akaidai dah ,

Mbaya zaid haitoi siku zote na akitoa anatoa kidogo sana na kikiharibika ni mimi

Mimi kama binadamu natak nimtue tuu kwa amani zote maan nishaona Watanzania hawezi hisani mimi nimewez kutumia vyombo vyangu vya usafr zaid ya miaka 5 sasa bila ushirka wowote mnawez kuchangia mawazo au changamoto kama hizi
 
Sisi ni binadamu na wote tunafanya kaz moja kila siku nimptie kum-beba na kurudsha had njia ya kwao atakama msaada inabd ujiongeze kias
Nadhani, humpi msaada kwa moyo wa msaada bali unaona kama anatakiwa kulipiq msaada.
Anyway, kwanini ukereke na mali ni zako, kuwa clear kwake kuwa huwezi kumpa tena lift, then atakachowaza ni juu yake.
 
Gari yangu ya kwanza nilinunua 2012 nikiwa na 21 years nikiwa chuo, aisee nilipata wenge kama miezi 4 ila nikazoea, namshukuru Mungu kuanzia hapo naonaga gari kama kitu Cha kawaida sana, mleta mada utakua umenunua gari hivi karibu I[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu sijabase kwenye Gari ni base kwenye running cost

Kila siku u-bebe mtu bure mnafanya kaz moja yaan umeona wap msaada kama huo yaan upew lift kila siku ya kwend kazin

Nmekwambia katk maeneo mengine ya kazi nimejiendesha peke angu kwa more than 5-7 years bila ushirik na mtu kwakuw nilikuw ninapotekea sina staff
 
Mkuu sijabase kwenye Gari ni base kwenye running cost

Kila siku u-bebe mtu bure mnafanya kaz moja yaan umeona wap msaada kama huo yaan upew lift kila siku ya kwend kazin

Nmekwambia katk maeneo mengine ya kazi nimejiendesha peke angu kwa more than 5-7 years bila ushirik na mtu kwakuw nilikuw ninapotekea sina staff
Umelazimishwa kumbeba? Haya usipombeba gari itatumia mafuta kidogo au?? Kuna mada sio za kuleta huku!
 
NILICHO ONANHAPA BADO WA TANZANIA WENGI WANAISHI KWENYE FIKRA FULANI KAMA
KUPENDA KUSAIDIW BILA KUJIONGEZ
/UKIBEBWA BEBEKA

-KWAMBA UKIMPA LIFT UNAPUNGIKIWA NINI
NAZAN WENGINE HATUELEW MAANA PRIVATE ,CLASSES VIP VVP HATUELEWI MAANA YAKE AU FAIDA ZAKE

-UMEONA WAPI MTU ANAEPEW LIFT KILA SIKU YA KAZINI NA STAFF MWENZAKE AMBAE HAJIONGEZ (LEVEL SAW YA MAISHA).

.ILA NAZN WENGI WANAOZANI NA ULIMBUKE WA GARI HAPAN KWAKUW 80% SAFAR ZA KAZI NATUMIA PIKPK NA GARI TANGU 2014 NILIANZ KUMILIK JAPO KWA KUACHIA ACHIA.
 
Back
Top Bottom