Tunaomiliki usafiri na kukerwa na ambao tunawabeba lakini hawabebeki

Kuna mtu anakushikia bundukii kumpa lift??
 
Tumia lugha unayoimudu
[emoji23][emoji23][emoji23]et elements [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha roho mbaya.
 
Mbona rahisi tu.

Mwambie achangie gharama za mafuta na umwambie kiasi akupe kwa wiki,kama hataki unaachana naye.
 
Huu uandishi unafanyia kazi wapi?
 
Sisi ni binadamu na wote tunafanya kaz moja kila siku nimptie kum-beba na kurudsha had njia ya kwao atakama msaada inabd ujiongeze kias
Nadhani, humpi msaada kwa moyo wa msaada bali unaona kama anatakiwa kulipiq msaada.
Anyway, kwanini ukereke na mali ni zako, kuwa clear kwake kuwa huwezi kumpa tena lift, then atakachowaza ni juu yake.
 
Mkuu sijabase kwenye Gari ni base kwenye running cost

Kila siku u-bebe mtu bure mnafanya kaz moja yaan umeona wap msaada kama huo yaan upew lift kila siku ya kwend kazin

Nmekwambia katk maeneo mengine ya kazi nimejiendesha peke angu kwa more than 5-7 years bila ushirik na mtu kwakuw nilikuw ninapotekea sina staff
 
Umelazimishwa kumbeba? Haya usipombeba gari itatumia mafuta kidogo au?? Kuna mada sio za kuleta huku!
 
NILICHO ONANHAPA BADO WA TANZANIA WENGI WANAISHI KWENYE FIKRA FULANI KAMA
KUPENDA KUSAIDIW BILA KUJIONGEZ
/UKIBEBWA BEBEKA

-KWAMBA UKIMPA LIFT UNAPUNGIKIWA NINI
NAZAN WENGINE HATUELEW MAANA PRIVATE ,CLASSES VIP VVP HATUELEWI MAANA YAKE AU FAIDA ZAKE

-UMEONA WAPI MTU ANAEPEW LIFT KILA SIKU YA KAZINI NA STAFF MWENZAKE AMBAE HAJIONGEZ (LEVEL SAW YA MAISHA).

.ILA NAZN WENGI WANAOZANI NA ULIMBUKE WA GARI HAPAN KWAKUW 80% SAFAR ZA KAZI NATUMIA PIKPK NA GARI TANGU 2014 NILIANZ KUMILIK JAPO KWA KUACHIA ACHIA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…