Tunaomiliki usafiri na kukerwa na ambao tunawabeba lakini hawabebeki

Tunaomiliki usafiri na kukerwa na ambao tunawabeba lakini hawabebeki

Umenikumbusha, hii ni sawa na mwanamke ale pesa zakooooo ale weeeee halafu unadai malipo. Then unaamua kumwaga. Su kuachana naye.

Naishi yumba yenye umeme na maji nashukuru Mungu. Jirani anaumeme hana maji na maji yanatoka kwa kalenda mwezi mara moja.

Maji yanapotoka watu ni kujaza, matanki, ndoo, majaba, masafuria, vikomne na vijiko.

Kwa wale wajuzi wa ma bilii ya maji huja full nondo.

Jirani angu nilimwambia achote tuu...simlipishi hata mia wkt mwingine anatoa kama kumi au elf tano.. siikatai

Kila maji yatokapo maona huruma...qnachota na vyombo vyake si vya kitoto. Full Ndoo,madumu na majaba nk.

Nakosa roho ya kunung'unika. Naikosa Kabisa. Sina usafiri naomba nije nimiliki, ila natamanynijifunze roho mbaya hasa kwenye vyombo vya moto kwa sabab ya risky nyingi.

Nahisi unaweza kubeba nyoka
Umesema fact kak , kuna watu walitoa lift lakn mwisho wa siku wamelipa gharama ya msaada

Ili kikubwa nikijiongez TUU
 
hapo jamaa umemcalculatia gharama za usafiri ambazo angetumia kwa mwezi mzima kama hatumii usafir wa bure ukaona anasave kiasi gani kwa mwezi afu ukajiangalia na wewe kwa mwezi unatumia cost kiasi gani kwenye usafiri wako hapo ndoroho ya kwanini ilipoibuka.......
 
hapo jamaa umemcalculatia gharama za usafiri ambazo angetumia kwa mwezi mzima kama hatumii usafir wa bure ukaona anasave kiasi gani kwa mwezi afu ukajiangalia na wewe kwa mwezi unatumia cost kiasi gani kwenye usafiri wako hapo ndoroho ya kwanini ilipoibuka.......
Akaona kumbe jamaa anafaidi😂😂
 
Kweli hii pikpik ninayo miaka 8 sasa najua lazm ninunue ingine
Matatizo ya kununua vitu usivyoweza kuvimudu ndo haya hapo unakuta umeshkishwa brevis na pikpik mbov mbovu sahiv unaanza kulalamikia watu hawakuchangii kutengeneza kwani gari ni yake au yako?
Kwanza pikpik inayofanyiwa service zaidi ya Tsh 60k hiyo imeshaisha muda wake wa matumizi huna pikipiki hapo uza hiyo ngarangara laa sivyo utawanunia Hadi wanaokuangalia ukipita njiani
 
Sure [emoji817] ila ni bora MTU akawa anaeleweka kuw na msaidie mshikaj kwa [emoji817]% kutokan na A B C

Kumbuka ata mimi pia nawez kuwa naptia mengi pia , mimi kimsingi ndio na Majukum makubw kulko yeye labda mengine ya ndan sana
Ukiamua kumsaidia mtu fanya kwa moyo, Msahada ukija na malalamiko si msahada.
 
Ilitakiwa akupe nauli kila siku ya kwenda na kurudi au hata nusu yake kama kwenda kazin ni 5000 akupe 4000 au yote iweje atake lift kila siku bure eboo hakuna vya bure bana kama vipi usimpe lift
Kwend kurud n sio chin ya 10,000/- ni mwendo wa pkpk
.
 
NILICHO ONANHAPA BADO WA TANZANIA WENGI WANAISHI KWENYE FIKRA FULANI KAMA
KUPENDA KUSAIDIW BILA KUJIONGEZ
/UKIBEBWA BEBEKA

-KWAMBA UKIMPA LIFT UNAPUNGIKIWA NINI
NAZAN WENGINE HATUELEW MAANA PRIVATE ,CLASSES VIP VVP HATUELEWI MAANA YAKE AU FAIDA ZAKE

-UMEONA WAPI MTU ANAEPEW LIFT KILA SIKU YA KAZINI NA STAFF MWENZAKE AMBAE HAJIONGEZ (LEVEL SAW YA MAISHA).

.ILA NAZN WENGI WANAOZANI NA ULIMBUKE WA GARI HAPAN KWAKUW 80% SAFAR ZA KAZI NATUMIA PIKPK NA GARI TANGU 2014 NILIANZ KUMILIK JAPO KWA KUACHIA ACHIA.
Brother, em labda niwe upande wako, ila pia nikushauri baadae.
Yea,
Ni kweli, lift ni mara moja kama sio mara moja moja, kama ni kila siku inabidi ajiongeze. Kuna vitu ambavyo hata ukipita kule Quora unaona wanaandika, ikitokea mtu amekununulia Leo wewe kitu, wakati mwingine ikiwezekana nunua.
Labda cha kufanya kaa nae, funguka kama ni muungwana ataelewa, kama sio hafai tena hata kubebwa maana atakuwa ni mtu ambae hakumbuki fadhila.
Kubeba mtu kwenye pikipiki anaweza haribu zile foot rest, alipokalia panaharibika pole pole, ila pia kifizikia mzigo (load) imeongezeka hivyo nguvu (energy) kubwa zaidi itahitajika katika kutembeza chombo na hizo 60-90 kg zake. Hata akitupa 2k baada ya miezi mi3 ingetosha kabisa kurekebisha chombo yetu. Aache uchawa, achangie.
 
Blessed
siku za mwisho Upendo utapungua... Kwani ukienda mwenyewe amafuta nayo yanatumika kidogo? binadamu tuna roho mbaya sana yaani upo radhi gari ukae mwenyewe hadi kazini kuliko kumpa mwenzio lift na munaelekea njia moja? Mimi nipo handeni kuna eneo napita kuna shida sana ya usafiri nikikutana na mtu yeyote huwa nampa lift hadi mjini Bure na wala hainiumizi maana kupanda gari yangu sio kwamba atakunywa hayo mafuta yeye ama ataiharibu
 
Mkuu kweli umesoma vzr na matumiz ya pkpk sio chin ya miaka 7 na nilikuw naend popote pale na pkpk
Tatizo lako unamiliki vitu usivyo na uwezo navyo... Kumpa mtu lift ndio unakuja kumsema huku... Amekulazimisha uwe lazima unambeba..?
 
mwamba anaserereka na usafiri wa mwenzie kisela sana afu ukute anachosave nae anahonga kwa videmu vyake tena anawavimbia kwamba we dereva wake unamleta na kumrudisha kwake kila siku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji753] binadamu sio poA
 
Back
Top Bottom