Tunaomiliki usafiri na kukerwa na ambao tunawabeba lakini hawabebeki

Tunaomiliki usafiri na kukerwa na ambao tunawabeba lakini hawabebeki

Usikute ni mwalimu [emoji3]
Huyu atakuwa bwana Shamba; kumbuka wamepewa pikipiki juzi juzi ( zile boxer zilizonunuliwa M 11 wakati ni 2.7M) mwalimu angekaa kazini kwake; na kama ni mwalimu basi hiyo shule aliopo wamepigwa kweli kweli
 
[emoji1787][emoji28][emoji28][emoji3526]

Huyu atakuwa bwana Shamba; kumbuka wamepewa pikipiki juzi juzi ( zile boxer zilizonunuliwa M 11 wakati ni 2.7M) mwalimu angekaa kazini kwake; na kama ni mwalimu basi hiyo shule aliopo wamepigwa kweli kweli
 
Ndio watu kama nyie ninao wajadili hapo, ushawahi kukamatwa na traffic ukiwa uliyempa lift hajafunga mkanda au kuvaa helements or any accident

You buy free for cost
Helement ni nini mkuu?
 
Naomba ni kuulize swali.
Hivi usipo mpakia mtu yoyote kwenye gari lako au pikipiki huwa unatumia mafuta kidogo? Au hivyo vyombo vyako huwa havialibiki? Hivi wakati unanunua hivyo vitu ulikuwa unajua kuna mtu wa kukusaidia kutengeneza?
Hii ndo point.
 
Kwani alikusaidia kununua hapo naona ni ishu ya ubinafsi.
We mbebe au mteme. Uenda nae anaona kama we ndo unashida ya kupewa kampani, kwani ukimuacha hawezi fika ofisini?
 
Habari wadau, poleni kwa namna mambo yalivyo sasa maisha magumu na agenda za kipuuzi ambazo shetani anataka kuingiza katika maisha ya binadamu sisi.

Hapa naendelea wakati tunaishi na kujarbu kutatua changamoto zetu za maisha kama kujenga na kumiliki usafiri ambao utatoa point A kwenda point B sisi ambao tumeishi maisha ya mjini tulishazoea maisha haya kwamba jirani yenu ana miliki pikipiki au Gari asubuhi anawasha anasepa hakuna cha lift wala nini

Sasa upande huu wa mikoani shida ipo kwa watu ambao tunafanya nao kazi eneo moja. Nimekutana na mshikaji rika sawa na mimi na wote tukiwa wageni katika kituo tulichohamia sambamba tunaishi maeneo ya karibu kimakaiz ila ofisi zipo mbali. Mimi nina usafiri both Gari na pikipiki ila nikitaka kwenda job namchek twende au namkuta njiani namchukua huyo job (go and return ).

Tatizo moja lipo hapa jamaa huwa hajiongezi, siku alipe na siku isilipe na akilipa hatatoa 2000 kama ni pikipiki na kama gari 3,000/- hapo ni mwendo wa KM 32+ gari 1.8L na njia sio ya lami. Kilichonikera zaidi wiki 2 nyuma nimetoka kutengeneza pikipiki kwa almost tshs 200,000/- baada ya block na center cluch kufa lakini yeye alitoa 10,000/- na akaidai dah!

Mbaya zaid haitoi siku zote na akitoa anatoa kidogo sana na kikiharibika ni mimi.

Mimi kama binadamu nataka nimtue tuu kwa amani zote maana nishaona Watanzania hawezi hisani, mimi nimeweza kutumia vyombo vyangu vya usafiri zaid ya miaka 5 sasa bila ushirika wowote.

Mnaweza kuchangia mawazo au changamoto kama hizi.
Bado hujakuwa,. acha ulimbukeni kijana!
Wengine sisi tunaona fahari kuwapa wengine msaada, bila kutegemea malipo yoyote!
Binafsi sijawahi kuona nongwa kumpa mtu lifti, hata kama ni umbali wa km50 Kila siku, kikiharibika kitu sijawahi fikiria hata siku Moja ninaempa lifti anisaidie!

Pia niliokuwa nawapa lifti Kwa sasa tunapigiana honi, maisha yanaendelea!
Hao pia nao zipo siku ambazo wananipa lifti Kwa siyo Kila siku usafiri unaweza kutumika!
 
Kumsaidia tu jamaa lift umeanza masimamango angekuwa ni mwanamke unambeba ungekuwa unampa na hela kwa kumbeba
Umenikumbusha, hii ni sawa na mwanamke ale pesa zakooooo ale weeeee halafu unadai malipo. Then unaamua kumwaga. Su kuachana naye.

Naishi yumba yenye umeme na maji nashukuru Mungu. Jirani anaumeme hana maji na maji yanatoka kwa kalenda mwezi mara moja.

Maji yanapotoka watu ni kujaza, matanki, ndoo, majaba, masafuria, vikomne na vijiko.

Kwa wale wajuzi wa ma bilii ya maji huja full nondo.

Jirani angu nilimwambia achote tuu...simlipishi hata mia wkt mwingine anatoa kama kumi au elf tano.. siikatai

Kila maji yatokapo maona huruma...qnachota na vyombo vyake si vya kitoto. Full Ndoo,madumu na majaba nk.

Nakosa roho ya kunung'unika. Naikosa Kabisa. Sina usafiri naomba nije nimiliki, ila natamanynijifunze roho mbaya hasa kwenye vyombo vya moto kwa sabab ya risky nyingi.

Nahisi unaweza kubeba nyoka
 
Bado hujakuwa,. acha ulimbukeni kijana!
Wengine sisi tunaona fahari kuwapa wengine msaada, bila kutegemea malipo yoyote!
Binafsi sijawahi kuona nongwa kumpa mtu lifti, hata kama ni umbali wa km50 Kila siku, kikiharibika kitu sijawahi fikiria hata siku Moja ninaempa lifti anisaidie!

Pia niliokuwa nawapa lifti Kwa sasa tunapigiana honi, maisha yanaendelea!
Hao pia nao zipo siku ambazo wananipa lifti Kwa siyo Kila siku usafiri unaweza kutumika!
Umeongea kiutu uzima Mno..ukomavu unao Mkuu salute..


Tatizo aliloleta mleta hoja..lina nikumba sana ofsini. Sipendi kuomba lift. Huwa nafanya kiwatoroka wenye magari ingawa siku mona moja najipekecha kuwa nao.

Sasa kuna mdada mmoja wakati wote naona kama kwamba anawatoroka wadau asiombwe lift. Huwa nasononeka sana kiwaoma wenye usafiri wanapata tabu.

Jamaa mmj ana gari dogodog jamii ya .....sivioni sana siku hizi. Ndio kigari kidogo kabisa kabla ya kujaa ist na vits. Nimekasahau jina. Jamaa alikuwa anaonekana kabisa anakacha lkn baadae wadau wakadai anamuwahigi mkewe akampick muda wa kirejea majumbani.

Nirudi hapa, unamuona kabjsa mtu anawakwepa wadau nanwadau wenyewe hawaachi kugandamana kusubiri lift..mm nimeshindwa na huwa wananikuta njiani najitetea kupunguza mafuta au kunyoosha miguu.
 
Matatizo ya kununua vitu usivyoweza kuvimudu ndo haya hapo unakuta umeshkishwa brevis na pikpik mbov mbovu sahiv unaanza kulalamikia watu hawakuchangii kutengeneza kwani gari ni yake au yako?
Kwanza pikpik inayofanyiwa service zaidi ya Tsh 60k hiyo imeshaisha muda wake wa matumizi huna pikipiki hapo uza hiyo ngarangara laa sivyo utawanunia Hadi wanaokuangalia ukipita njiani
 
Ilitakiwa akupe nauli kila siku ya kwenda na kurudi au hata nusu yake kama kwenda kazin ni 5000 akupe 4000 au yote iweje atake lift kila siku bure eboo hakuna vya bure bana kama vipi usimpe lift
 
siku za mwisho Upendo utapungua... Kwani ukienda mwenyewe amafuta nayo yanatumika kidogo? binadamu tuna roho mbaya sana yaani upo radhi gari ukae mwenyewe hadi kazini kuliko kumpa mwenzio lift na munaelekea njia moja? Mimi nipo handeni kuna eneo napita kuna shida sana ya usafiri nikikutana na mtu yeyote huwa nampa lift hadi mjini Bure na wala hainiumizi maana kupanda gari yangu sio kwamba atakunywa hayo mafuta yeye ama ataiharibu
 
Tatizo lako unamiliki vitu usivyo na uwezo navyo... Kumpa mtu lift ndio unakuja kumsema huku... Amekulazimisha uwe lazima unambeba..?
 
[emoji28][emoji21][emoji21] sisi watumish wa drs la saba na vyetiii



Kuna watu wana muda na mambo madogo madogo
Usikute eti na huyu ni , tumishi was serikali[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hatuwez fanana lakn hv ndivyo nilivyo
Bado hujakuwa,. acha ulimbukeni kijana!
Wengine sisi tunaona fahari kuwapa wengine msaada, bila kutegemea malipo yoyote!
Binafsi sijawahi kuona nongwa kumpa mtu lifti, hata kama ni umbali wa km50 Kila siku, kikiharibika kitu sijawahi fikiria hata siku Moja ninaempa lifti anisaidie!

Pia niliokuwa nawapa lifti Kwa sasa tunapigiana honi, maisha yanaendelea!
Hao pia nao zipo siku ambazo wananipa lifti Kwa siyo Kila siku usafiri unaweza kutumika!
 
Back
Top Bottom