Tunaomlaumu Tundu Lissu hebu basi tuvae viatu vyake

Tunaomlaumu Tundu Lissu hebu basi tuvae viatu vyake

sasa anavoongea ivo mwisho wa yote atapata nini,au akiongea ivo ndo anajiskia amani,just stupideness
Yeye anaongea hivyo ili liwe somo kwa wenye mamlaka kuwa uwajibikaji ndo msingi wa kazi.
Hizo kauli kuna wengine zinawachoma. Kwa maana wanaona kabisa hawajatenda haki kwa Tundu Lissu.
 
Hivi mmemwona tu Tundu Lisu peke yake ndio anahaki za binadamu je wale wenyekiti wa ccm, mapolisi na raia waliokuwa wakiuawa Kibiti na magaidi sijui wa wapi mbona hamkushupaza shingo hivi na kupaza sauti au Tundu lisu ndio binadamu peke ake
 
Mungu mkubwa. Malipo ni hapa hapa. Waljyemdhamiria afe hakufa na bado anadunda. Yule aliyeagiza kupigwa risasi kwa TL, kesha R.I.P!
Lakini hata Wewe utakufa siku moja nae tundu lisu atakufa hakuna atakaeishi milele dunia hii usifurahie vifo wenzio
 
Back
Top Bottom