Tunaowapa Watu Kazi za Kuandika Vibao vya Majina ya Marehemu Wetu vya Makaburini tuweni nao makini

Tunaowapa Watu Kazi za Kuandika Vibao vya Majina ya Marehemu Wetu vya Makaburini tuweni nao makini

Ngoja nikae mbali na huu Uzi hapa kuna msako wa NYANI kuna mtu ataangushiwa jumba bovu ban ya mda mrefu sitaki kua mmoja wapo leo Jumapili Jana Jumamosi Mods walikua kitambaa Sinza wapo bwii wakikuta tu watu wanaleteana vibese hawaulizi ni kubinyeza kitufe tu Cha ban until further notice
 
Shida n kwamba, baada ya kupost thread zako, kinachofata kwenye comments from you ni kujitetea kwiiingi na kujaribu kurusha matusi.
You have this fkd up ego ambayo inakufanya ujione you are soo better kwa sababu ya followers wachache humu, wakat you know humu ni fake ID's, na unaweza kuta hao ni dormant multiple ID za watu wengine. So uko na followers ambao ni in-active.
Kwa mfano hapo juu, LIKUD kakuchallenge, lakini everybody saw umejibu mapigo kwa kukimbilia kuomba rehema kwa mods na kuporomosha matusi. Haya, kasema kama marehem n rafiki yako then post picha yake hapa (msiba ni kitu public), hapo pia haukua na supporting documents.
HIyo yote inatufanya tuamini kua asemayo LIKUD yana ukweli ndani yake.


Just be humble bro, umaarufu wa mtandaoni doesnt pay the bills. Ni aibu mtu mzima kupelekwa puta hadharani.
Rubbish and Nonsensical. Hongera kwa Kumtetea huyo Mumeo.

Wanafiki na Fools kama nyie huwa mnajitokeza pale tu GENTAMYCINE nikijibu Mapigo kwa ninayofanyiwa na ID's nyingi hapa JamiiForums ila ninapochokozwa na Kudhilishwa nao huwa mnanyamaza na Kufurahia.

Kuna Mtu ( Member ) katika huu huu Uzi wangu kwa Makusudi na kwa Kudhamiria Kanitukana Mimi ni Mbwa mbona sikukuona ukijitokeza kwa Nguvu hii ya Kimaandishi na Maelezo marefu Kukemea na Kumkemea? Mnafiki na Juha mkubwa Wewe.

Hata kama GENTAMYCINE nina hao in active Followers wengi ambao Wanakukera kwakuwa Wewe huna hata Mmoja bado ni Ishara tosha kuwa nina Thamani ( Kitu chema ) ndani yangu ambacho dame Fool Wewe huna na kamwe hutokuwa nacho.

Ni mara ngapi GENTAMYCINE huwa nikianzisha hapa Uzi huwa natoa ANGALIZO kuwa kama hunipendi au huvutiwi nami Kiuwasilishaji wangu usifungue Thread yangu na fungua za Wengine unaowapenda na kuwakubali. Je, ni kwanini huyu Mumeo uliyejjtahidi Kumtetea Kipumbavu hapa huwa ananifuatafuata pamoja na Wapumbavu Wenzake kadhaa huku Wenyewe kila mara na kila Siku Wakihubiri Kunichukia hapa JamiiForums? Je, huwa nawaita au nawalazimisha Wafungue Mada ( Threadi ) zangu? Huna Akili na Mnafiki Mmoja Mkubwa Wewe.

Kama Wewe ni Mmoja wa wasimamia Maudhui wa Jamvi hili na umeamua kutumia ID yako hii ya Binafsi na siyo ile ya Kimamlaka Kunijibu GENTAMYCINE basi nikuambie tu kuwa hufai kuwa hapo, uko biased, una Chuki na Wivu nami na kubwa zaidi you're very Stupid.

Nimemaliza.
 
Sijui n kwanini... LAKINI

Hua nahisi bwana popoma alisoma SAUT ile kozi ya uandishi wa habari, na inawezekana alisoma na wale ambao hua anasema n classmates wake e.g zamaradi.

Lakini aliangukia patupu kupata mchongo kama wao but alikua na hamu sana. Thats why hua anapenda kujisifia kuhusu kusema na kina Farrhia na kujidai anajua kupangilia maneno n.k ili kupata umaarufu humu JF maana ndo palipobaki ambako hafahamiki lakini anaweza kujitukuza.

Japo sometimes ana vi points pia.

Ni mtazamo, usijenge chuki
Zamaradi hakumaliza Saut,mwaka 2005, aliomba kusoma kozi ya Masscom,akiwa darasa moja na Popoma, lakini semister ya kwanza tu,Zamaradi aliferi masomo karibu yote,akaamua kuacha chuo nakukimbilia Dsm
 
Ngoja nikae mbali na huu Uzi hapa kuna msako wa NYANI kuna mtu ataangushiwa jumba bovu ban ya mda mrefu sitaki kua mmoja wapo leo Jumapili Jana Jumamosi Mods walikua kitambaa Sinza wapo bwii wakikuta tu watu wanaleteana vibese hawaulizi ni kubinyeza kitufe tu Cha ban until further notice
Kwani ukisema tu kuwa una hamu na utapenda huku ukifurahia GENTAMYCINE apewe BAN utapungukiwa nini Mnafiki na Juha Wewe?

GENTAMYCINE nikiwa nachokozwa Kutwa hapa JamiiForums, nashambuliwa, natukanwa na nadhalilishwa na IDs zile zile huwa hamjitokezi Kukemea au kuwaita Moderators au kuwaombea BAN hao Wapumbavu Wenzenu ila nikijibu tu Mapigo yangu Makali ya Kimashambulizi ndiyo Wanafiki mnajitokeza kuanza Kunilaumu na kuniona ni Mkorofi na Mkosaji.

Kwa taarifa yako tu najua hizo IDs zote zinazonikubali haya ni za Kimkakati ili zinishambulie Kutwa hapa JamiiForums na ziwe zinaharibu Flow ya Mada zangu mbalimbali ili Nihamaki kisha nikijibizana nao nipigwe BAN na hii ID inayochukiwa nao na wanayoionea Wivu kutwa kutokana na Kukubalika na kuwa na Mvuto wa Kipekee hapa Jamvini isiendelee kuwepo.

Nipo tayari kwa hiyo BAN uitakayo Ok?
 
Zamaradi hakumaliza Saut,mwaka 2005, aliomba kusoma kozi ya Masscom,akiwa darasa moja na Popoma, lakini semister ya kwanza tu,Zamaradi aliferi masomo karibu yote,akaamua kuacha chuo nakukimbilia Dsm
Genius kama Wewe umepata wapi muda wa Kumjibu huyo Hypocrite and damn Fool Mkuu?

Cc: Bangida
 
Wala sio mgeni mkuu huyu hata Dar yenyewe hajawahi kufika ndio maana anatumia nguvu nyingi sana kuaminisha watu hapa jf kwamba amewahi kufika dar.

Mkuu hujiulizi?.hapa jf hakunaga member anae tumia fake ID anae weza kutaja mahali anapo ishi. Ila huyu jamaa kila siku kuitaja kawe simply kwa sababu haishi Dar wala hajawahi kufika dar maisha yake yote..


Mbinu anayo tumia kuwaaminisha watu kwamba amewahi kufika kawe ni mbinu ya kitoto kweli.

kwa sababu anapenda sana kusikiliza redio na kwenye redio taarifa nyingi kuhusu maeneo mbalimbali zina ripotiwa, mfano kero n.k.

Sasa yeye anacho kifanya kwa mfano asikie mtu anasema " Naitwa Chesco anaishi hapa Kawe Ukwamani karibu na gereji inaitwa mfano " MOGADISHU GARAGE" kero yangu Mimi ni kuhusu uchafu unao tupwa viwanja cha Tanganyika Packers.."

Yeye atakacho kifanya atatunga story yake halafu kwenye hiyo story yake ata mention hiyo MOGADISHU saloon na dampo la Tanganyika Packers. So kwa wenyeji wa kawe wa hapa jf wakisoma kisa cha huyu mtoa mada wataona ukweli kwa sababu ameyataja maeneo ambayo yanajulikana..

Ndio maana kwenye hiki kisa chake cha mchongo anaongea vitu kama " Sheikh Msafiri anaishi nyuma ya benki ya Crdb iliyopo karibu na let's say kituo cha mafuta cha lets say lake oil. Yani anakuwa ana BABAISHA babaisha.


Hichi kisa anacho kisema inawezekana akawa amesikia habari kwa juu juu eidha mtu anatangaza tangazo la kifo cha Imamu wa msikiti wa Kawe akamtaja na jina so yeye alicho kifanya amechukua jina la Imamu halafu akatengeneza story yake akajichomeka kwenye story ili aonekane na yeye amewahi kufika dar lakini ni uongo. Itakuwa amesikia vibaya hana taarifa sahihi. Ndio maana nimembana hapa apost picha ya Marehemu ameshindwa anabaki kulalamika kwa mods.
Gentamycine kuna kipindi alikua anafanya kazi JF Dar Es Salaam
 
Itakuwa ulisoma tar ya kufa, na ya kuzikwa. Sio kuzaliwa. Kuna muda na mm niliwah kujichanganya hivo hivo kama wewe. Kudhani marehem alikufa kabla hajazaliwa.
 
Gentamycine kuna kipindi alikua anafanya kazi JF Dar Es Salaam
Mimi ni Mshamba, Kwetu ni Bunda Mkoani Mara, ni Mwalimu wa Chekechea, ni Masikini, sina Ajira yoyote ( nipo nipo tu ) na kamwe sijawahi na sitowahi kuishi Dar es Salaam.

Usimkatalie LIKUD tafadhali anayejfanya na anajitahidi Kuwaaminisha Watu kuwa ananijua vilivyo GENTAMYCINE kama ambavyo nawe pia unajitahidi kutaka kuonyesha kuwa unanijjua japo leo umetumia ID yako nyingine.
 
Itakuwa ulisoma tar ya kufa, na ya kuzikwa. Sio kuzaliwa. Kuna muda na mm niliwah kujichanganya hivo hivo kama wewe. Kudhani marehem alikufa kabla hajazaliwa.
Tuliza Akili tafadhali.....

Jina la Marehemu X

Kuzaliwa tarehe 7 July, 2023

Kufa tarehe 6 July, 2023

Acheni kunilazimisha niwe Nawadharau.
 
Sasa hivi mtaalam LIKUD ataendelea kumbana popoma kwenye kona na kumpa za uso nyingi.
Kinachofata kiko wazi, popoma ataanza (ameshaanza) kuporomosha mvua ya matusi ili mods wamuokoe kwa kumpa ban.
Then akishapigwa ban anakuja kimyakimya na ile ID ya MINOCYCLINE hadi watu wasahau kipondo cha leo
Kumbe bwana katukosea wengi hebu bwana LIKUD Utambue huu wajibu wa kutandika huyu bwana ninjukumu la kitaifa
 
Anayekuweka au?

Tafadhali nimempa Taarifa Kamili huyo Basha wako juu ya nani ni Sheikh Mkuu wa Msikiti wa Ukwamani Kawe hivyo mwambie na Yeye ( Basha Wako ) aweke Uhakika wa Taarifa yake.

Idiot.
Jibu maswali acha kulia lia

Uko weak sana ndio maana unatumia mbinu ya matusi kufukuza upinzani, mtu mwenye hoja hawezi kufanya ujinga kama huu wako Mkuu.

Alafu heshima ni kitu cha bure, sawa popoma.
 
Nimeshamthibitishia Basha wako kuhusu nani ni Sheikh Mkuu wa Msikiti wa Ukwamani Kawe hivyo nakuomba mwambie Basha wako uliyemtaja hapa nae athibitishe wake.

Pumbavu na leo nimemuumbua mno.
Mkuu amini unaumwa ugonjwa wa akili.

Tafuta mnasaha akusaidie.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo nime mchekecha kuhusu Sheikh Abdallah Abeid wa Ukwamani, amechange gia angani anasema ooh Sheikh Abdallah Abeid anaumwa sana so kamteua sijui sheikh nani ndio awe kaimu Imamu wa msikiti wa Ukwamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787] uongo wa kitoto kabisa yani hajui anaongea na muislamu anae jua vizuri taratibu za uongozi wa misikiti
We ulishaletaga uzi hapa ukasema ushaachana na uislamu, inakuwaje tena unasema we ni muislam?
 
Rubbish and Nonsensical. Hongera kwa Kumtetea huyo Mumeo.

Wanafiki na Fools kama nyie huwa mnajitokeza pale tu GENTAMYCINE nikijibu Mapigo kwa ninayofanyiwa na ID's nyingi hapa JamiiForums ila ninapochokozwa na Kudhilishwa nao huwa mnanyamaza na Kufurahia.

Kuna Mtu ( Member ) katika huu huu Uzi wangu kwa Makusudi na kwa Kudhamiria Kanitukana Mimi ni Mbwa mbona sikukuona ukijitokeza kwa Nguvu hii ya Kimaandishi na Maelezo marefu Kukemea na Kumkemea? Mnafiki na Juha mkubwa Wewe.

Hata kama GENTAMYCINE nina hao in active Followers wengi ambao Wanakukera kwakuwa Wewe huna hata Mmoja bado ni Ishara tosha kuwa nina Thamani ( Kitu chema ) ndani yangu ambacho dame Fool Wewe huna na kamwe hutokuwa nacho.

Ni mara ngapi GENTAMYCINE huwa nikianzisha hapa Uzi huwa natoa ANGALIZO kuwa kama hunipendi au huvutiwi nami Kiuwasilishaji wangu usifungue Thread yangu na fungua za Wengine unaowapenda na kuwakubali. Je, ni kwanini huyu Mumeo uliyejjtahidi Kumtetea Kipumbavu hapa huwa ananifuatafuata pamoja na Wapumbavu Wenzake kadhaa huku Wenyewe kila mara na kila Siku Wakihubiri Kunichukia hapa JamiiForums? Je, huwa nawaita au nawalazimisha Wafungue Mada ( Threadi ) zangu? Huna Akili na Mnafiki Mmoja Mkubwa Wewe.

Kama Wewe ni Mmoja wa wasimamia Maudhui wa Jamvi hili na umeamua kutumia ID yako hii ya Binafsi na siyo ile ya Kimamlaka Kunijibu GENTAMYCINE basi nikuambie tu kuwa hufai kuwa hapo, uko biased, una Chuki na Wivu nami na kubwa zaidi you're very Stupid.

Nimemaliza.
Blaza, mbona umepanic hivo?🤣🤣🤣🤣🤣
1. About followers, almost kila mtu anao, hata mimi ninao, but JF nzima wewe pekee ndo mtu unaependa kujisifia sana kuhusu followers as if kuna vijisenti vinatolewa kwa kuwa nao. Sometimes hili linafanya niamini umezoea facebook so unahisi hata huku JF ukiwana followers wewe n special. Just know kuwa nao ni kitu cha kawaida sana.
2. Umeitwa mbwa mara moja tu, umewaka kiasi hiki, but wewe kila post ambayo inakupiga spana lazma utukane,. Mwanaume yoyote ambae anabishana jwa matusi badala ya hoja ni yule ambae ni muoga, na pia ni insecure. Tunajua wewe ni andunje (mfupi sana), hayo mengine tutayajua tu.
3. Unajifanya strong lakn nmeona wewe ni muoga sana. Kila mara unajifanya kusema either account ni za mods n.k ili upate cha kusema ukipigwa ban. Just know hakuna anaekuchukia, sanasana huwa unachekesha.

Kama ni kweli uko bunda, be proud, kwan lazma uonekane wa daslamu? Mbona hata sisi hatuishi daslamu but we r fine?
We chukua zako lile lapulapu, kimbia ziwani, sugua mguu na kijiwe chako, osha ndala zako vizuri, ingia oga, toka jipake sabuni, wahi nyumbani ukae uskiluze redio huku ukisubiria chakula.
 
Blaza, mbona umepanic hivo?🤣🤣🤣🤣🤣
1. About followers, almost kila mtu anao, hata mimi ninao, but JF nzima wewe pekee ndo mtu unaependa kujisifia sana kuhusu followers as if kuna vijisenti vinatolewa kwa kuwa nao. Sometimes hili linafanya niamini umezoea facebook so unahisi hata huku JF ukiwana followers wewe n special. Just know kuwa nao ni kitu cha kawaida sana.
2. Umeitwa mbwa mara moja tu, umewaka kiasi hiki, but wewe kila post ambayo inakupiga spana lazma utukane,. Mwanaume yoyote ambae anabishana jwa matusi badala ya hoja ni yule ambae ni muoga, na pia ni insecure. Tunajua wewe ni andunje (mfupi sana), hayo mengine tutayajua tu.
3. Unajifanya strong lakn nmeona wewe ni muoga sana. Kila mara unajifanya kusema either account ni za mods n.k ili upate cha kusema ukipigwa ban. Just know hakuna anaekuchukia, sanasana huwa unachekesha.

Kama ni kweli uko bunda, be proud, kwan lazma uonekane wa daslamu? Mbona hata sisi hatuishi daslamu but we r fine?
We chukua zako lile lapulapu, kimbia ziwani, sugua mguu na kijiwe chako, osha ndala zako vizuri, ingia oga, toka jipake sabuni, wahi nyumbani ukae uskiluze redio huku ukisubiria chakula.
mbona kiuandishi na mtiririko wake hii id yako haina tofauti na ya LIKUD na ya Bongotunacheza? kuna muda kumbe gentamycine akiwa anawadharau, anawashushua na kuwajibuni hovyo huwa yuko sahihi.
 
We ulishaletaga uzi hapa ukasema ushaachana na uislamu, inakuwaje tena unasema we ni muislam?
tokea gentamycine amuumbue jana kuhusu huyo imamu wa huo msikiti kuwa ni sheikh abdallah abedi huku yeye akikurupuka kukataa kuwa si yeye kaamua kumkimbia na kuna watu waliamini kuwa jamaa gentamycine kakosea na kadanganya.
 
Mkuu amini unaumwa ugonjwa wa akili.

Tafuta mnasaha akusaidie.
akija kukujibu usivyotaka tafadhali usianze kumlalamikia au kuomba msaada kwa mods. mnanchokoza wenyewe hivyo msianze kulialia kwa majibu umiza yake.
 
Jibu maswali acha kulia lia

Uko weak sana ndio maana unatumia mbinu ya matusi kufukuza upinzani, mtu mwenye hoja hawezi kufanya ujinga kama huu wako Mkuu.

Alafu heshima ni kitu cha bure, sawa popoma.
kaa tayari kwa jibu lake na najua hutolipenda na litakuumiza. mkiambiwa achaneni nae fanyeni yenu hamsikii.
 
Kumbe bwana katukosea wengi hebu bwana LIKUD Utambue huu wajibu wa kutandika huyu bwana ninjukumu la kitaifa
mbona sasa hivi hujamuita tena mbwa kama ulivyomuita katika moja ya post yako na umeifuta haraka ila yeye gentamycine alishakuwa nayo na kuinukuu kwako?
 
Back
Top Bottom