Tunapoichukulia poa Ebola hata kuiita majina yasiyojulikana ni hatari

Tunapoichukulia poa Ebola hata kuiita majina yasiyojulikana ni hatari

Nipo hapa Tangu mwaka 2009 hii ni I'd nyingine wewe ni Nani kunifukuza Humu

Huna akili, you are cheap wasted sperm bao lako baba yako angemwaga chooni mtu wa hovyo Sana wewe

FpKL8ABWcAANyqU.jpeg
 
Nipo hapa Tangu mwaka 2009 hii ni I'd nyingine wewe ni Nani kunifukuza Humu

Huna akili, you are cheap wasted sperm bao lako baba yako angemwaga chooni mtu wa hovyo Sana wewe
Nitakushughulikia hata ukija na ID nyingine.

Napenda sana kushughulika na makanjanja ya mitandaoni yenye AJENDA FICHE.

Na mimi nikuhakikishie tu kwamba nitakufuatilia humu masaa 24 kama BUNDI.

Silalagi.
 
Hao aliwatambua ulimwengu:

View attachment 2562510

Huyo hayuko peke yake. Yuko na wenzake.
Mpuuzi toka Jana ananifuata fuata daktari uchwara daktari uchwara utafkiri nmewahi mtibu kwanza sijawahi saidia mtu msaada wa kiafya Humu Nawajua watanzania mtu akinifuata dm one thing namwambia wewe nenda hospitali sifanyi history taking na diagnosis mtandaoni mimi

He is arrogant and stupid Hana hata skills za ku argue very cheap
 
Ndio mim sina sababu siko field na sio part medical scientific team
Wewe una majibu gani kama hujui hata classification ya animals and plant usinlaumu mim jilaumu wewe kwa kukariru uko shuleni

Haya nisiyoyajua wewe umeyajulia wapi? Kwani wewe ni shetani, malaika au Mungu?
 
Nitakushughulikia hata ukija na ID nyingine.

Napenda sana kushughulika na makanjanja ya mitandaoni yenye AJENDA FICHE.

Na mimi nikuhakikishie tu kwamba nitakufuatilia humu masaa 24 kama BUNDI.

Silalagi.
Nmekublock nadhani hii ni comment ya mwisho kukujibu sishindi mitandaoni kama wewe na kazi nyingi za kufanya

Endelea kukaa kusubiria comments zangu Kila Nkija mtandaoni kuzijibu na ninakuhakikishia sintokujibu hata moja hata iwe irritating vipi sintokujibu

Sababu Huna akili
 
Mpuuzi toka Jana ananifuata fuata daktari uchwara daktari uchwara utafkiri nmewahi mtibu kwanza sijawahi saidia mtu msaada wa kiafya Humu Nawajua watanzania mtu akinifuata dm one thing namwambia wewe nenda hospitali sifanyi history taking na diagnosis mtandaoni mimi

He is arrogant and stupid Hana hata skills za ku argue very cheap

Wajinga huwa haturuhusu wawe issue wala kukutoa kwenye hoja. Akizidi Kuna button ya ignore binafsi sijawahi kujilaumu kuitumia kama ikibidi.
 
Endelea kukaa kusubiria comments zangu Kila Nkija mtandaoni kuzijibu na ninakuhakikishia sintokujibu hata moja hata iwe irritating vipi sintokujibu

Sababu Huna akili
Kazi yangu ni kushughulika na makanjanja ya mitandaoni kama brazaj

Nimejiajiri kwenye hii kazi, na ninaifurahia sana.

Rest assured, nitakufuata kila utakapokwenda.

Na usiponijibu ndio vizuri sana, lakini mimi nitaendelea kujibu kila upotofu unaouandika humu. Nitakujibu usiku na mchana kwa faida ya wengine.
 
Wajinga huwa haturuhusu wawe issue wala kukutoa kwenye hoja. Akizidi Kuna button ya ignore binafsi sijawahi kujilaumu kuitumia kama ikibidi.
Ni mpuuzi sijui hata nlmkosea wapi he keeps following me everywhere nmemblock now sioni chochote anachoniandikia
 
Anachanganya ebola wana present Sawa na Marburg ingawa ebola ni more virulence

Cha muhimu mpe Elimu aelewe ndicho nlichofanya

Serikali haina sababu ya kuficha aisee kwamba Ile ni ebola no haina hio sababu kabisa

Especially Serikali hii ya sasa
Mim na kutokuipenda science kale katopic ka-classification form two nakukumbuka sana
Marbug na ebola wako class moja ila wanatofautiana ni kama kwenye lentivirus kuna HIV, Bovine immunodeficiency virus na wengineo
 
Mim na kutokuipenda science kale katopic ka-classification form two nakukumbuka sana
Marbug na ebola wako class moja ila wanatofautiana ni kama kwenye lentivirus kuna HIV, Bovine immunodeficiency virus na wengineo
Absolutely
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Serikali iko na kazi kiukweli hadi nimemuhurumia maza sio kwa bumunda hilo kah
Watu wanapingana na ripoti za waziri wa afya.
Ni vema watuletee sasa uchunguzi wao waliowapima hao wagonjwa,
Maana serikali iliyopima wagonjwa inatuambia hivi,ila Kuna watu wanasema hivi,tena kwa maneno matupu bila kuonyesha ni namna gani waliwapima hao wagonjwa.
 
Wajinga huwa haturuhusu wawe issue wala kukutoa kwenye hoja. Akizidi Kuna button ya ignore binafsi sijawahi kujilaumu kuitumia kama ikibidi.
Na ukitaka ujue huyo jamaa ni mshamba comment zake ni kwamba anampinga mleta Mada na mimi hivyo hivyo nampinga mleta maada
Kwa fact za shule zaidi ili aelewe ( meaning mimi na huyo bichwa tupo one side
Lakini angalia alivyofika kwenye comment yangu akaanza kutukana z😂😂😂 yuko Sawa kweli
 
Watu wanapingana na ripoti za waziri wa afya.
Ni vema watuletee sasa uchunguzi wao waliowapima hao wagonjwa,
Maana serikali iliyopima wagonjwa inatuambia hivi,ila Kuna watu wanasema hivi,tena kwa maneno matupu bila kuonyesha ni namna gani waliwapima hao wagonjwa.
Wanakosea Sana Serikali haina sababu ya kuficha aisee no need for what Sasa
 
Kazi yangu ni kushughulika na makanjanja ya mitandaoni kama brazaj

Nimejiajiri kwenye hii kazi, na ninaifurahia sana.

Rest assured, nitakufuata kila utakapokwenda.

Na usiponijibu ndio vizuri sana, lakini mimi nitaendelea kujibu kila upotofu unaouandika humu. Nitakujibu usiku na mchana kwa faida ya wengine.

Kazi zetu sisi ni kutenga mchele na Pumba:

1. Huu ugonjwa ni logical kudhani umetokea Uganda. Kweli?
2. Huu ugonjwa una dalili zile zile kama walioutokomeza Uganda majuzi. Kweli?
3. Ugonjwa uliotokomezwa majuzi Uganda karibu na kagera ulikuwa ni ebola. Kweli?

Hapo ndipo tunapoachana njia panda.
 
Kumbeekumbwa gonjwa hatari lenye kuuwa hadi 90% ya wahanga.

Sisi kwa tunachoita kuondoa taharuki tumependelea kuliita Marburg badala ya jina lake linalofahamika uswahilini, yaani Ebola.

View attachment 2562190

"Kwamba tumependa kutoliita koleo kwa jina lake."

Maajabu ya Mussa.

Tangu lini uswahilini neno Marburg likafahamika? Kwani gonjwa hili lilipokuwa Congo, Uganda, Guinea, Gabon, Sierra Leone au Liberia tuliwahi liita Marburg?

Katika kinachoitwa kuepuka taharuki gonjwa halipewi umuhimu wala coverage yoyote ya maana kwenye media zetu. Kwetu Simba au Yanga kwenda robo fainali ni habari kubwa, Lakini si gonjwa hili.

Maisha yanaendelea kama vile kila kitu ni sawa.

Ya nini kutoambiana ukweli wote tukajipanga kukabiliana nalo ana kwa ana kama nchi?

Kwenye tahadhali zilizotolewa na wizara katika namna za kujikinga, kutogusana nayo imo. Inawezekana namna gani kwenye maisha yetu ya kawaida watu kutokugusana masokoni, magulioni, mashuleni, makanisani, misikitini, kwenye mabasi au kwenye madala dala?

Ebola si ya maji tiririka, barakoa, michaichai, matango pori wala upigaji nyungu.

Walioyasikia ya kwetu wameshtuka kuliko sisi wakati sisi tukichukulia poa. Dhidi ya gonjwa hili dunia tayari inatunyanyapaa.

Angalia Rwanda, The New Times - Rwanda on Marburg alert after Tanzania outbreak

Angalia mabeberu, BBC News - Ebola-like Marburg virus kills five people in Tanzania

Coverage zao ni makini na kamilifu (extensive and focussed). Kwetu wenge la awamu ile na njama za mabeberu bado lingalipo.

Kwanini watu wasiambiwe ukweli wote kukiwa kungali mapema? Ya nini kujidanganya?

Magonjwa haya si vita (vya kiuchumi). Ebola si corona ambayo kuuwa kwake kulikuwa hadi 2%. Hiyo hata ikihusianisha uzee na uwepo wa magonjwa mengine pia.

Kwa hakika kwenye ugonjwa huu tusipoamka mapema, usanii wetu uliozoeleka utatuumbua.
Kumbe magufulism bado inalitafuna taifa
 
Back
Top Bottom