Tunapokuwa na taifa ambalo mkuu wa nchi anakaa kimya pale raia wake wanapouliwa kinyume cha sheria hilli Tataizo kubwa. Kwanini yupo kimya?

Mkuu, kwa kweli pointi kali kinyama!!!! Ila mpaka saa hivi bado natafakari hili neno 'mhalifu' limekukosea nini.
Maanake ulivyoipiga kimoko cha 'mharifu' nilienda kwanza kuwasha fegi yaishe, ile narudi tu hivi...nikaona mbona umeandika 'mhalifu' mara ya pili vizuri? Sa si ndio nikapata munkari wa kusoma, mpaka hapo nilipopigwa kizinga cha 'mahalifu'.
 
Kweli Taifa la Tanzania iina hayawani sio watu unaenda kumkamata mtu nyumbani kwake eti mhalifu halafu unamuua hiyo ndiyo dawa ya uhalifu? Omba kila kitu ila usiombe nchi iwe na wajinga ni shida. Mdogo mdogo tunaingia katika Police State ulizeni waliopitia hayo huko nyuma Uganda na DRC wawaambie itafika wakati kuua mtu itakuwa kawaida mhalifu au sio mhalifu ni mtego wa panya kuingia waliomo na wasiomo mark my words,
 
Nchi iko katika auto pilot siku ikiamka itatoa tamko kwa Sasa bado tunashughulika na maji ya kuoshea maiti.
 
Ukiachana na hilo mpaka sasa hatujawahi sikia kauli inayohitimisha utata kuhusiana na mambo yanayogusa maisha ya wananchi kama bei za vyakula,tozo,bei za mafuta, ukosefu wa ajira kwa vijana n.k.

Wananchi hatuelewi ukimya huu una maana gani.
 
Wakati wananchi wanauawa hatukuwasikia mkifungua
 
Tumekusikia MAMA TANZANIA !!!
Kumbuka Mbele ya MUHALIFU huna haki ya kuishi !!
 
Kila mtu ana haki ya kuishi kweli ila sio kuishi kihalifu kwa kuhatarisha haki ya kuishi kwa raia wenzie.

Mtu ana uhuru wa kuongea ila sio aongee upuuzi unaokera wengine kama ambavyo umehara hapa.
 
Wakati wananchi wanauawa hatukuwasikia mkifungua mikundu yenu.Ngoja wakuingizie uume matakoni mwako mbele ya familia yako wakukate na masikio uanze kuvaa headphone.Ndio utajua muhalifu ni wa kuuua tu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Mbona viongozi waramba asali na wanaokula kwa urefu wa kamba na wauza madawa ya kulevya wanaachwa?
 
Huyu mama naona kama hajali kwa sababu anaona kuua ni jambo la kawaida, Kwa hapo huyo Samia Suluhu amekosea. Haoni aibu, sasa nimeamini huyu rais ni mzigo mkubwa sana kwa nchi hii.
 
Wakati wao wanaua hukuikumbuka sheria ndugu? Acha polisi nao wavunje sheria ili ujue umuhimu na athari za kuishi kwa kufuata sheria na kuzivunja. Ukisikia dawa ya moto ni moto huwa maana ndio hii.
 
Alijikuta yuko madarakani tu ila kiatu kinampwaya. Huoni anavyoweza kupanga safari za nje ya nchi akiongozana na muuaji mkuu wa awamu ya tano Makonda!
 
Usalama wa Taifa wamesahau kumjulisha.
 
Hao machalii hatar sana mkuu kama unakaa huko mkoani tambua hapa dar watu wamekosa amani kabia...wejeruhi watu na kuwapa vilema vya Maisha hata kifo ...kaaa kijanja ukiua kwa upanga nawe utauliwa

Kama una ndugu zako wahuni waambie waache kabisa watakuja kufa shenzi kabisa!!
 
Ukianza wizi na ukibaka wananchi tunakutia mawe na unakufag

Ukipanda cheo kuwa jambaz au panya mapolisi watakutia risasi na utakufa.

Waharifu wa namna hiyo ni kuwaua tu, tena kwa mateso.

Wengine achen uhalifu
 
Yule dogo mnaodai wanajinyonga vituo vya polisi wamewakosea nini?
 
Shukuru polisi wanaua kwa risasi, raia wangechoka hasira zikawajaa wangekufa kifo kigumu. Upanya haulipi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…