Tunapopoteza Matajiri 5 ndani ya wiki 1

Tunapopoteza Matajiri 5 ndani ya wiki 1

Hela hatuna na corona itunyanyase aah wapi wwe!!
alafu corona haipendi mtu aliyepigika mwenye akili ya kujiuwa uwa.....ina tabia ya kumkimbia

Mkuu mtaani kwetu radius 800m leo misiba 2.

Ndani ya Wiki 2 zilizopita kulikuwa na 3,4, 8.

Hawa ni kina yakhe. Kina yakhe wengi wanadondoka. Tuwe habari vipi worth of people's comments?
 
Mbona serikali inahimiza watu kuvaa barakoa na kwenda kupata chanjo. Acha kuisingizia serikali Mkuu!

Serikali imetutelekezea janga:

1. Serikali inalitambua angalizo kwenye mada.

2. Serikali inatambua tofauti ya kuhimiza barakoa kutumika na kusimamia barakoa kutumika.

Serikali awamu ile na hii haziwezi kukwepa lawama kwenye mwendelezo wa vifo hivi na ugonjwa huu.
 
Huyo jamaa ni mjinga achana nae!
Lenyewe liko busy kuelezea misiba ya majirani zake mita 800 sijui miwili sijui 10 nami namwambia kitu hikohiko kwamba si pekee hata sisi ipo mpk tunaikimbia ila yeye hajaona tatizo ila ya wengine inawahusu nn. Mku*ndu kweli. Kujitia ujuaji tu. Kafa na covid kafa na covid as if ana death certificate. Vivulana vingine[emoji706][emoji706]
 
Lenyewe liko busy kuelezea misiba ya majirani zake mita 800 sijui miwili sijui 10 nami namwambia kitu hikohiko kwamba si pekee hata sisi ipo mpk tunaikimbia ila yeye hajaona tatizo ila ya wengine inawahusu nn. Mku*ndu kweli. Kujitia ujuaji tu. Kafa na covid kafa na covid as if ana death certificate. Vivulana vingine[emoji706][emoji706]
IMG_20210721_112817_344.jpg
 
Ndani ya siku 7 vibopa hawa wa ukweli hatuko nao:

1. Hamoud Mohammed Sumry (aliyekuwa na mabasi ya Sumry)
2. Tonil Somaiya (Shivacom)
3. John Lamba (mwenye Traventine Hotel Dar es Salaam)
4. Mathias Manga (mwenye Gold Crest Hotel)
5. Mzee Asas (Mwenyekiti ASAS group)

Kina yakhe wangapi wameondoka kimya kimya?

Serikali iko kimya kipaumbele chake kusimamisha uchumi.

Mikusanyiko ya watu bila tahadhari iko pale pale.

Angalizo: Chanjo ya Corona si dawa ya kutibu Corona wala nyenzo pekee ya dhahabu itakayotuepusha na gonjwa hili.
Unasema serikali iko kimya, ?

Kwani ulitaka serikali ipige kelele??
 
Unasema serikali iko kimya, ?

Kwani ulitaka serikali ipige kelele??

Iwajibike kwa dhamana tunayoipa nasi kuwajibika kuilipa kodi.

Hicho ni kiswahili ni mkuu. Nacho si haba. Ni bahari.
 
Kuna Clip inatembea kuna Jamaa alikuwa kwenye summit ya covid19 yupo kwenye podium kama akastuck hivi akaanza kama kutaka kudondoka ,ikasikika sauti ya gwajima anasema mkalize chini mkalize chini ,inasemekana jamaa amevuta.
Wacha bwana 😳 nimeiona mchana huu
 
Kwa kweli elimu. Unamsaidia vipi mwanao homework kwa staili hii? Utaishia kuambiwa na mtoto "mbona ticha anasema hayupo wewe unasema ayupo.

Achilia mbali homework. Anaweza kuwa nini huyo cha kutuambia kuhusiana na maisha yetu, Corona, chanjo au hata na tahadhari kujilinda na ugonjwa huu?
 
Back
Top Bottom