Tunaposema Diamond ni mnyonyaji muwe mnaelewa. Inasemekana kipindi cha Bartender kimepigwa ''stop''

Yani umeenda kukopy mawazo na maelezo ya mtu katika mada ukaja paste hapa mpe credit mkuu sio vzr ufanyavyo


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mi uwa natoa Credit hila hii nimetoa kwenye interview ya muhuusika, na Baghdad mwenyewe nimemtaja katajwa sana hapo kwenye mada..

Kwamba Sky sports wakiwai kupost habari ya Pepe waliyoitoa kwenye page yake, BT sports Wakija kuipost baadae unataka wampe sky sports Credit?
 
Kuiga iga sana. Inakera, kwani hamko wabunifu?

Kwa nini cha kiswahili kisiwe na jina tangulizi la kiswahili?

Kwanini WASAFI Fm Msije na mipango yenu, viwango vyenu na utamaduni wenu?

Watangazaji wote mliowachukua hawana jipya, zaidi ya kubadili mawimbi ya sauti zao (kutoka frequency ya awali mpaka ya sasa).

Pikeni watu wenu, waje na vitu vipya nasi tuzungumze kuhusu wasafi.

Mnakera kwa kukumbatia uzamani.

Hivi hata mna menejimenti ya watu makini kweli? (Makini: sifa na ujuzi).

Tunawapenda, ila boresheni huduma zenh kuanzia namna mnadahili wafanyakazi, maslahi yao, na ubunifu wako katika kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bartender ni kipindi ambacho hata marekani kipo?

Hati miliki kwenye kuiga?
Mimi huwa na shangaa sana. Hizi idea 99% tunatoa kwenye mtandao na Dstv leo mtu anakuja analia lia... So diamond anaweza kuamua kubadili jina la kipindi akaliita the pub..... Wewe utamzinguaje hapo.... Na ukileta za kuleta si anaenda na yeye kusema idea ameitafuta dstv.

So mambo mengine ni kumalizana kiutu uzima na sio kishari na stress

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti sink la choo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka hapa.... umecopy thread moja twitter ukaileta hapa au tuilete kama unabisha?

we mwenyewe mwizi wa idea, yaani unashupalia ya wenzako wakati you are doing the same thing, jinga kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...KING KIBA PIA WALIMUIBIA VIPINDI VYAKE KWENYE KIBA TV SEMA TU AKAAMUA AZIME MITAMBO AKAIFANYA IWE INAPATIKANA KWAKE TU AKAINDOA KABISA DSTV


DOMO AJIFUNZE KWA KIBA .KIBA HAPENDAGI SHOW OFF
 
Write your reply...KING KIBA PIA WALIMUIBIA VIPINDI VYAKE KWENYE KIBA TV SEMA TU AKAAMUA AZIME MITAMBO AKAIFANYA IWE INAPATIKANA KWAKE TU AKAINDOA KABISA DSTV


DOMO AJIFUNZE KWA KIBA .KIBA HAPENDAGI SHOW OFF
 
watu wanasema wasafi wanacopy na kupaste na waache kuchukua watangazaji wa vituo vinginevyo,
huo ni wivu tu na dalili ya kushindwa kushindana na wasafi kununua watangazaji

Hivi wao hao clouds walitengeneza hao watangazaji wao,watangazaji Kama
# Musa Hussein, mamy baby, Kennedy the remedy,adam mchovu,George Bantu,millard ayo,mina ally,dj sinyorita,dj muba, kina Jeff Lea,fredwaa,
list ni ndefu sana Je hao si wote wamenunuliwa au hamuoni kule ni wasafi tu?
 
E-fm walionunuliwa
Gerard hando,maestro,jabir,gea habibu wa uhondo, Musa kipanya,oscar Oscar, ssebo,mtiga abdallah,jonijoo,dokii,Tunu,seba wa lala by,

sasa sioni Kama kuna redio iliyotengeneza hapo wote hao wengi wanatengenezwa sehemu zingine redio ndogo ndogo za mikoani.

E-fm wamewatengeneza kingwendu na Steve Nyerere basi.
 
Robidinyo,

Domo ni mwizi na kila mwenye akili timamu analiona hilo.

Kaiba na anaendeleakuiba nyimbo za watu.

Anakopi na kupaste kuanzia kweny Nyimbo, watangazaji mpaka vipindi vya media.

Aisee wazee shule MUhimuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

We shule yako imekusaidia nn!! mwenzio ana copy na ku paste na ana pesa mlima...
 
Ambangile Ni yupi huyo unayemzungumzia?
 

Kumtaja mtu kwenye mada sio kumpa credit aya maanishi umekopy umu jamii forum ni vyema ungeandika kua umekopy kutoka kwa mtu ukitaka nkuletee uzi hapa zaidi ya aya hakuna maneno yako apo ata moja mkuu zaidi ya kupaste tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Weka clip ya iyo interview acha porojo na maneno ya kusadikika ukishindwa fanya ivyo izo ni porojo na uongo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…