Tunaposikia ya Makamba na Zitto kutaka kubinafsisha TANESCO, tukumbuke yaliyofanyika TTCL

Tunaposikia ya Makamba na Zitto kutaka kubinafsisha TANESCO, tukumbuke yaliyofanyika TTCL

Dunia ndio inapoelekea uko,huoni ushindani uliopo kwenye mitandao ya simu,je wewe hapo ulipo unaweza kuwa na mtandao na wa Ttcl,ngoja serikali wafungue milango kwa makampuni binafsi uwone kitakachotokea kama hao Tanesco watakuwepo
Tanesco itaendelea kuwepo mzee running cost ya mitandao ya Simu ni Rahisi sana sio tanesco mzee ambapo asset kama transformer ni ghali, Mnara mmoja unaweza kuserve wateja wengi sana gharama ya simcard je si simple sana je leo mwekezaji atakubali Kujenga miundombinu hapo hapo Ulipie 27k hahahaha
 
Nafahamu linauziwa.
Kampuni ya kufua umeme ya IPTL ni mfano mzuri.

Songas pia ni mfano mwingine. Ila sio kila taasisi au shirika la uma ni la kubinafsisha.

Umetolea mifano ya mabank, ukatoa mfano wa kampuni ya bia.

Nikikuwekea vitu hivi Umeme,Sigara,Pombe, Na uchague bank ya kuhifadhi pesa zako bila shaka chenye thamani zaidi ni umeme hapo.

Umeme ni nguzo muhimu ya kiuchumi kwa taifa, inatakiwa iwe stable siku zote kuiruhusu ubinafsishaji ni kuruhusu mlipuko wa bei za ajabu ajabu za bidhaa, huduma na maisha kwa ujumla.

Narudia maboresho mazuri yanahitajika lakini sio ubinafsishaji.
Kuhusu bei kutakuwepo na ewura yake ya kucontrol bei...kwa kifupi changamoto zote mnazoziainisha hpa zinatatulika ninachoona kwenu ni uknown fear
 
Acha roho hii ya kipumbavu namna hii

Weka sheria,zisimamie kwa roho moja,ndio kazi yako

Then privatize kila kitu kwa watu binafsi wawe wa ndani au wa nje,privatize!

Wewe simamia sheria kama FBI au CIA

Ndio kazi yako,mengine ya biashara waachie watu binafsi

Na hii roho ya kipumbavu ya kupenda vitu vya bure au vilivyopoozwa kwa kodi za serikali ni upumbavu na umasikini mwingine wa kujidanganya

Kila kitu unalipiwa ndio maana unatawaliwa kidikteta na kua treated kama hayawani na serikali maana huna utu na sense of kujitegemea na ku-think and do for yourself...Kila kitu unategemea huruma ya wanasiasa serikalini,na wananchi wote mnakua treated kama watoto msiojua lolote
Hapo umeonyesha jazba tu hakuna hoja ya maana.
 
Ni kawaida ya kila jamii kuwa na mtu anayesukumiwa mambo ya hovyo hovyo kuyasema au kuyafanya.Januari alikuwa akibeba boksi Amerika wakati Netgroup solution ya Afrika kusini ilipochukuwa TANESCO. Tatizo la mtu kama Januari ni la kielimu. Huwezi hata kujua ana digrii au diploma ya kitu gani. Huyo Zitto, yeye ni mpiga dili. Hapo wapo akina riziwani, na familia ya kikwete, tayari wamejiandaa kupiga dili, Zitto anaunga mkono.
Hakika... Mimi sijawahi kujua Taaluma ya Ndg. February....
 
Tanesco itaendelea kuwepo mzee running cost ya mitandao ya Simu ni Rahisi sana sio tanesco mzee ambapo asset kama transformer ni ghali, Mnara mmoja unaweza kuserve wateja wengi sana gharama ya simcard je si simple sana je leo mwekezaji atakubali Kujenga miundombinu hapo hapo Ulipie 27k hahahaha
Wewe uko Dunia ya wapi?!!..Hii 27000 bado gharama sana!!....Tukipata mshindani au kubinafsisha bei itapungua maradufu!!..Tuna vyanzo vingi vya nishati ya Umeme!!
 
Wakati Magufuli anaonyesha kiburi cha madaraka kwa kuhujumu upinzani mlikuwa mnachekelea kuwa ccm imeimarika.

Leo wamebaki CCM wenyewe na hawataki kukosolewa, matokeo yake chain ya wapigaji inaanza kurudi ndio mnalialia.

Acha hao wahuni warudi kwenye ulaji, na wauze kila kitu kwa bei ya kutupa ili siku nyingine mjue balance of power maana yake ni nini.

Akina Januari na wahuni wenzenu uzeni hiyo TANESCO bei ya kutupwa ili mliokuwa mnafurahia siasa na chaguzi za kishenzi mjifunze.
Na wewe kwa siku hizi umekuwa usiye maana
 
Wazalishaji wakiwa wengi automatically umeme utashuka bei sababu ya ushindani...ni km ilivyo saiv kwenye mitandao ya simu

Mnapotolea mfano wa mitandao ya simu napata mkanganyiko akilini!

Mitandao hiyo mnayoisema ndio hii inayotupa mabando kwa bei ya juu na kuruhusu matozo ya kila rangi kwenye miamala yetu ama ni ipi?!

Mitandao ya simu ambayo mpaka leo imefanya kupata wireless technology imekua kma starehe na ufahari wa Mali?
 
Tanesco itaendelea kuwepo mzee running cost ya mitandao ya Simu ni Rahisi sana sio tanesco mzee ambapo asset kama transformer ni ghali, Mnara mmoja unaweza kuserve wateja wengi sana gharama ya simcard je si simple sana je leo mwekezaji atakubali Kujenga miundombinu hapo hapo Ulipie 27k hahahaha
Sekta binafsi imejenga na kuendesha miundo mbinu na uzalishaji wa umeme dunia nzima, kwanini unafikiri kwa TZ haiwezekani? na serikali badala ya kutoa pesa kwa TANESCO kila siku inaweza kutoa ruzuku kwa wananchi moja kwa moja mfano hiyo 27K tunajua sio bei halisi, hapo serikali inaweza kusaidia ili mwekezaji alipwe market price...ninapoishi market ya umeme yote ni private sector 100% na sijawahi kuona umeme umekatika for the last 20 years na umeme ni bei rahisi sana
 
Dunia ndio inapoelekea uko,huoni ushindani uliopo kwenye mitandao ya simu,je wewe hapo ulipo unaweza kuwa na mtandao na wa Ttcl,ngoja serikali wafungue milango kwa makampuni binafsi uwone kitakachotokea kama hao Tanesco watakuwepo
Je Ushidani unaamisha Ubinafsishaji ?
Je kwahio unataka vyanzo vya Nishati HEP (Kidato, Nyerere n.k. ) tuviuze au ? Kwanini hao so called wawekezaji wasije na vyao vicompete na Tanesco...

Gesi je tuendelee kuwapa au ibaki kuwa mali ya jamii kwa manufaa ya jamii ? Kumbuka Private entities ni Profits at all Costs lakini State Owned mara nyingi ni service oriented (Community Welfare)

Am all for Free Market and what not..., lakini sio watu watumie mali na assests za jamii kwa kujifanya wao ndio waendeshaji wazuri sana..., watengeneze na kuanzisha zao alafu waziendeshe
 
Je Ushidani unaamisha Ubinafsishaji ?
Je kwahio unataka vyanzo vya Nishati HEP (Kidato, Nyerere n.k. ) tuviuze au ? Kwanini hao so called wawekezaji wasije na vyao vicompete na Tanesco...

Gesi je tuendelee kuwapa au ibaki kuwa mali ya jamii kwa manufaa ya jamii ? Kumbuka Private entities ni Profits at all Costs lakini State Owned mara nyingi ni service oriented (Community Welfare)

Am all for Free Market and what not..., lakini sio watu watumie mali na assests za jamii kwa kujifanya wao ndio waendeshaji wazuri sana..., watengeneze na kuanzisha zao alafu waziendeshe
Tatizo kwa sheria za Tanzania sekta binafsi hairuhusiwi ni TANESCO tuu yenye monopoly 100%, unaweza kuzalisha umeme na kuwauzia TANESCO lakini sio wananchi na wanakupangia bei, if you are for free market..thats not free market
 
Hivi kwanini tusiruhusu mashirika huru ya umeme kuanzishwa ili kuondokana na tatizo la umeme nchini?
maana kiukweli TANESCO ni wamezidiwa ile mbaya.
Wazo zuri kabisa.

Lakini nami naomba nikuulize jambo moja.

Hivi kwa nini Tanesco na mashirika mengine ya uma hayawezi kufanya kazi vizuri ili wananchi wafaidike na matokeo ya kazi zao?

Mkuu naomba ueleze hapa sababu unazozijua wewe ambazo zinafanya haya mashirika yasifanikiwe, kiasi kwamba uone kuwa ni muhimu "turuhusu mashirika huru ya umeme" (sijui una maana gani na "mashirika huru"?
 
Haya mawazo ya kubinafsisha Taneco ni bonge ya dili majuto baadae wa walipa Bili za umeme bei itakua inapanda kuliko petroli na sukari
 
Je Ushidani unaamisha Ubinafsishaji ?
Je kwahio unataka vyanzo vya Nishati HEP (Kidato, Nyerere n.k. ) tuviuze au ? Kwanini hao so called wawekezaji wasije na vyao vicompete na Tanesco...

Gesi je tuendelee kuwapa au ibaki kuwa mali ya jamii kwa manufaa ya jamii ? Kumbuka Private entities ni Profits at all Costs lakini State Owned mara nyingi ni service oriented (Community Welfare)

Am all for Free Market and what not..., lakini sio watu watumie mali na assests za jamii kwa kujifanya wao ndio waendeshaji wazuri sana..., watengeneze na kuanzisha zao alafu waziendeshe
Hiyo Gas na Maji nikuongezee na Upepo bado huwezi kuendesha shirika
 
Haya mawazo ya kubinafsisha Taneco ni bonge ya dili majuto baadae wa walipa Bili za umeme bei itakua inapanda kuliko petroli na sukari
Kama Tanesco wananunua Umeme Kwa watu binafsi unaonaje hapo?!;..Je serikali inauza umeme ghali au sekta binafsi
 
Laki
Tupo hapa kwasababu ya ufukara wa akili na kupambanua mambo!!.. Privatisation ni nzuri na inaleta manufaa sana tumeona nchi nyingi wanafanya hivyo!!..Kama tunanunua Kwa watu binafsi tumeshindwa kuzalisha wenyewe for more than 30 years!!!..Bado Unataka uliue shirika,unajua madeni yake?!!..
Ni awamu ya tatu walifanya matokeo haya kuwa chanya?
Je kwa sasa wamejipanga je?
 
Back
Top Bottom