Tunapotaka kutumia nguvu kubwa Kupindua Meza kwa Kaizer Chiefs FC je, tunaoenda kukutana nao Semi Finals tutawaweza?

Tunapotaka kutumia nguvu kubwa Kupindua Meza kwa Kaizer Chiefs FC je, tunaoenda kukutana nao Semi Finals tutawaweza?

Mchezo wa mpira ni saikolojia, alimradi tu muwe na timu bora inayoweza kucheza na kupata matokeo!
Matokeo ilopata Simba hatua ya makundi sio ya kubahatisha kwanini hatua ya robo fainali tushindwe? Ofcoz we can!

Mkuu, tafadhali! Hiyo "We can" iondoe haraka, aise utaibika tarehe 3 mzee.. ..


🇦🇷🇦🇷🇦🇷🔥🔥
 
Back
Top Bottom