Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Al-Kahf 18:56Hizi hadithi za Wakristo na Waislamu huwa zinanichekesha sana! 😁😁
Yani walivyo wapumbavu ndio maana wanaingizwa mkenge eti wasile hadi wafe waweze kuonana na yule kijana myahudi kutokea pande za Nazareti
Hebu tafsiri uandike ueleweke kiarabu ni lugha tu Kama kisukuma, haina umaridida wowote ..Mungu Hana lugha. SawaQuran
Al-Mutaffifin 83:13
إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ ءَايَٰتُنَا قَالَ أَسَٰطِيرُ ٱلْأَوَّلِينَ
Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!
We hujiulizi kwa Nini muarabu katokewa na malaika pangoni na kaanzisha dini kwa kuua watu na kuteka nchi afu imekufikia wewe kwa kuzaliwa na kukuzwa katika hiyo dini halafu ndo unasema ni ya ukweli. Leo hii Zumaridi mnamuita kichaa, story zake zinatofauti gani na zenu..au kisa zenu Zina farasi anae paaAl-Kahf 18:56
وَمَا نُرْسِلُ ٱلْمُرْسَلِينَ إِلَّا مُبَشِّرِينَ وَمُنذِرِينَۚ وَيُجَٰدِلُ ٱلَّذِينَ كَفَرُوا۟ بِٱلْبَٰطِلِ لِيُدْحِضُوا۟ بِهِ ٱلْحَقَّۖ وَٱتَّخَذُوٓا۟ ءَايَٰتِى وَمَآ أُنذِرُوا۟ هُزُوًا
Na hatuwatumi Mitume ila wawe wabashiri na waonyaji. Na walio kufuru wanabishana kwa uwongo, ili kwa uwongo huo waivunje kweli. Na wanazifanya Ishara zangu na yale waliyo onywa kuwa ni mzaha.
Mkuu wewe ni atheist!?Hebu tafsiri uandike ueleweke kiarabu ni lugha tu Kama kisukuma, haina umaridida wowote ..Mungu Hana lugha. Sawa
Mkuu lakini mbali na hizo unazoziita hekaya si unaamini Mungu yupo?Hebu tafsiri uandike ueleweke kiarabu ni lugha tu Kama kisukuma, haina umaridida wowote ..Mungu Hana lugha. Sawa
Naamini Ila sina ushahidi.. Ila Kama yupo sio wa kwenye hizi hekaya.Mkuu lakini mbali na hizo unazoziita hekaya si unaamini Mungu yupo?
I'm a deist, naamini Katika creator who doesn't Interfere in his Creation. So hizi revelation sijui kila mtu anakuja na zake ni hekayaMkuu wewe ni atheist!?
Wewe una dini yako (kuabudu matamanio ya nafsi yako) na mimi nina dini yangu (uislam). Tusubiri mwisho tutakuja kuona nani alikuwa kwenye njia ya haki.I'm a deist, naamini Katika creator who doesn't Interfere in his Creation. So hizi revelation sijui kila mtu anakuja na zake ni hekaya
Mi nimesema tuFicha upumbavu wako, bila XXX we ungezaliwa hewani?
Wote tukifa tutaoza...hahaha hata Kama Islam ni dini kweli Kama mnavyoitangaza una uhakika gani wewe utaenda mbinguni. Kila mtu anafikiri ataenda mbinguni motoni ataenda nani sasa. Hebu acha propaganda ishi maisha ni mafupi...ukiwa na mawazo ya maisha ya baadae ndo utakosa hamu ya kuishi vizuri. Lyf is limited ishi kujifunza. Kuenjoy na kusaidia jamii ikombolewe kutoka kwenye ujinga na umaskini.Wewe una dini yako (kuabudu matamanio ya nafsi yako) na mimi nina dini yangu (uislam). Tusubiri mwisho tutakuja kuona nani alikuwa kwenye njia ya haki.
Maisha ya duniani ni mafupi mno...hatuna hata miaka zaidi ya 60 ya kuishi katika ulimwengu huu.
Story za kufunga kama hazipo hayaKuna sehemu exekiel wanasema mwanamke alikuwa analala na wanaume wenye viungo na kumwaga Kama punda na farasi.
Unayo elimu yeyeto kuhusu ulimwengu unaonekana na usioonekana?Wote tukifa tutaoza...hahaha hata Kama Islam ni dini kweli Kama mnavyoitangaza una uhakika gani wewe utaenda mbinguni. Kila mtu anafikiri ataenda mbinguni motoni ataenda nani sasa. Hebu acha propaganda ishi maisha ni mafupi...ukiwa na mawazo ya maisha ya baadae ndo utakosa hamu ya kuishi vizuri. Lyf is limited ishi kujifunza. Kuenjoy na kusaidia jamii ikombolewe kutoka kwenye ujinga na umaskini.
I'm a deist, naamini Katika creator who doesn't Interfere in his Creation. So hizi revelation sijui kila mtu anakuja na zake ni hekaya
Amri zake unazijua wewe....Kuna dini 1000000 duniani miungu 568743 amri zipo 57743588 tofauti...kila mtu anakuja na lake anasema la Mungu ye ashuke atuambie amri zake aache kutumia umbeya Kama njia ya kuwasiliana na watuSoma kisa cha Nuhu utaelewa. Wote walikataa kutii maagizo ya Mungu thus akawaona hawana faida akawauwa kwa maji, kama ambavyo anakuja kuwaua kizazi hiki cha SAsa kwa kukataa kutii amri zake.
Hahaha Mungu yupi, na ana uwezo upi. Unanitengeneza na hamu ya mapenzi nikiitumia unaniunguza..nisipo Sali Mara 5 kuangalia waarabu ndo unaniunguza...hizi sheria Ni za binadamu sio za Mungu.Mungu si dikteta amekupa chaguzi wwe ndo unaamua uende mbinguni au jehanamu
Wote hatumwoni na hatumhisi na hatumjui na hatujui sheria zakeW
Who is creator
Hao viumbe ni wakufikirika tu. Hamna viumbe kama hivo.Wakristo wengi wanaamini Biblia Ni maandiko takatifu na ndo yanawapa mwongozo watu katika maisha yenye maadili. Lakini mbona Biblia yenyewe Ina maandiko yasio na maadili na pia Mungu wa kwenye Biblia amekuwa ni mwenye mateso na kuonea watu bila sababu za msingi. Ni kweli Mungu yupo hivi au hizi zilikuwa story tu za mababu katika kutishia watu amani. Hebu tuone sehemu zifuatazo.
Kalaani binadamu na uumbaji wote kwa tendo la watu wawili(Mwanzo 3:16-23)
Kaua kwa mafuriko wajawazito, watoto wasio na hatia na wanyama(Mwanzo 7:20-23)
Kawapa magonjwa na mvua za mawe wamisri kisa farao kakataa kuwaachia wayahudi baada ya Mungu mwenyewe kuufanya moyo wake uwe mgumu(Kutoka 9:8-11,25)
Aliamuru waisraeli waue wanaume, wanawake wasio bikra na watoto wote wa mataifa Saba na waibe arhi Yao(kumbukumbu la torati 7:1-2)
Alimuua mtoto wa Daudi kisa alizini na Bathsheba (2 Samuel 12:13-18)
Alitaka mateso na kuuwawa kwa mtoto wake(Warumi 3:24-25)
Ameapa kuwatesa wasioamini kristo katika moto wa milele(Ufunuo 21:8)
Pia ameamuru kuuliwa mtu mwenye makosa ya kufanya kazi siku ya sabato(Kutoka 31:15), kumtukana mzazi(walawi 20:9), kuabudu miungu mingine(kumbukumbu la torati 17:2-5), kuwa mchawi(kutoka 22:18), Ushoga (Walawi 20:13), kutokuwa bikra siku ya ndoa(kumbukumbu la torati) 22:20-21
Hitimisho: Ukitoa sodom na gomora na story ya Nuhu. Mungu ameua watu 2,038,344 na Shetani ameua watu 10 tu. Tena hao kumi ni watoto wa Ayubu ambae Mungu alibet na shetani so Mungu alimuamuru shetani awaue. Shetani hajawahi danganya Wala kuiba Biblia nzima. So Nani yupo sawa Mungu au Shetani.
Mkuu umeongelea gharikaMimi sipo katika imani ya ukristo ila nimeona swali lako nikaona nichangie...Kwanini Mungu hana maadili?
Kuwekewa maadili ni jambo linaloonesha kuwa upo chini ya sheria fulani ulizoamrishiwa kutoka katika mamlaka iliyo juu zaidi inaweza kuwa mzazi, serikali, ofisi au hata Mungu.
Miongoni mwa sifa za Mungu ni kuwa yeye ndiye wa mwanzo na wa mwisho, ni mmoja hana mshirika katika utawala wake, ni mkuu na yeye ndiye mfalme na ndiye mshindi.
Mungu ndiye Mkuu kwa maana yake hakuna yeyote kumzidi yeye. Muweza wa kila kitu lakini licha ya hayo bado Mungu amejihukumia mwenyewe kuwa Rehema na huruma yake izidi hasira na ghadhabu zake. Ndio leo hii unaona licha ya viumbe kufanya kila aina ya uovu hapa ardhini bado Mungu anatupa chakula, maji, hewa n.k...anawapa mali watu waovu kabisa ambao laiti kama wewe ungekuwa umepewa hayo mamlaka basi usingewapa watu hao hata tone moja la maji kutokana na ubaya wanaoufanya. Mungu anawapa mpaka wale wanaomkana.
Mungu ndiye mfalme hakuna wa kumpangia, anaamua mambo kutokana na hekima na busara zake ambazo wewe mwanadamu huna uwezo wa kuzielewa hata kidogo.
Mfano anaweza kukupa mtoto kisha akamfisha angali mchanga,kikawaida wewe mwanadamu huwezi elewa hekima zake Mungu ila kumbe huyo mtoto aliyemchukua angali mchanga pengine angekuwa chanzo cha wewe kufedheheka hapa duniani na hata kujuta kwanini ulimzaa...mfano labda huyo mtoto angekua na kuja kuwa Shoga.!!
Mungu kwa elimu na hekima zake anaamua kumfisha angali mchanga then anakupa mtoto mwingine mwema atakae kuja kukufaa baadae. Hakuna ajuae haya isipokuwa Mungu mwenyewe. So Mungu hapangiwi wala haulizwi wala hawekewi uzio wa kutenda (maadili).
Hao watu unaosema walikuwa ni wajawazito,watoto n.k waliogharikishwa wakati wa Nuh. Unajua kuwa Mtume Nuh alitumia zaidi ya miaka 950 kuwaita waelekee katika njia ya Mungu ila waliishia kumdhihaki na kumkufuru Mungu ila Mungu aliwavumilia miaka yote hiyo, mwisho akamwambia Nuh kuwa hata afanye jitihada gani kuwaita hawawezi kuitikia na kuamini na hawatazaa isipokuwa wale ambao nao watarithi ukaidi wa baba zao,hvyo Mungu mwisho akaamua kuteketeza na kuangamiza kizazi chote cha wasioamini.