Tunatwanga maji kwenye kinu. Rais Samia anamaliza pesa za walipa kodi kwa safari zisizo na tija

Tunatwanga maji kwenye kinu. Rais Samia anamaliza pesa za walipa kodi kwa safari zisizo na tija

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Haingii akilini kwa kila jambo Rais anasafiri ovyo ovyo tu kama vile yeye sio mkuu wa nchi.

Inaleta picha kuwa kumbe anapenda sana kupigiwa mizinga na kuwekewa parade za kijeshi na kuona ufahari.

Mkuu wa nchi ana heshima zake na sio kuwa kila event ashuhudie.

Ndio maana tuna Mabalozi na ofisi zetu za ubalozi zinakuwa na waambata wa kila sekta ikitigemea na mahusiano ya taifa husika.

Mifano ya ziara za ovyo kabisa ambazo zimegharimu pesa za walipa kodi ni Dubai, USA na hii ya Oman.

Kwa mwendo huu zaidi ya bil 60 zitakuwa zinatumika kila miezi mitatu kwa ziara za ajabu ajabu. Pesa ambazo zingejenga Hospitali za kutosha na kununua vifaa tiba.
 
Haingii akilini kwa kila jambo rais anasafiri hovyo hovyo tu kama vile yeye sio mkuu wa nchi.

Inaleta picha kuwa kumbe anapenda sana kupigiwa mizinga na kuwekewa parade za kijeshi na kuona ufahari.

Mkuu wa nchi anaheshima zake na sio kuwa kila event ashuhudie.

Ndio maana tuna mabalozi na ofisi zetu za ubalozi zinakuwa na waambata wa kila sekta ikitigemea na mahusiano ya taifa husika.

Mifano ya ziara za hovyo kabisa ambazo zimegharimu pesa za walipa kodi ni Dubai, Usa na hii ya Oman.

Kwa mwendo huu zaidi ya bil 60 zitakuwa zinatumika kila miezi mitatu kwa ziara za ajabu ajabu. Pesa ambazo zingejenga Hospital za kutosha na kununua vifaa tiba.
Usipende kulalama kwa kila kitu, safari kama hii ya Oman,kwanza ni mualiko akiwa kule anagharimiwa kila kitu, kwakuwa vile vile kwenye ziara hizi anaunganisha na ajenda yake ya kufungua nchi kibiashara, anaambatana na ujumbe ambao kwa asilimia kubwa ni sekta binafsi ambao huwaalika ila wajigharamie wenyewe.sasa katika diplomasia ya uchumi ndio umuhimu wa safari husika unapoongezeka. so acha kazi iendelee katika kuifungua nchi.
 
Haingii akilini kwa kila jambo rais anasafiri hovyo hovyo tu kama vile yeye sio mkuu wa nchi.

Inaleta picha kuwa kumbe anapenda sana kupigiwa mizinga na kuwekewa parade za kijeshi na kuona ufahari.

Mkuu wa nchi anaheshima zake na sio kuwa kila event ashuhudie.

Ndio maana tuna mabalozi na ofisi zetu za ubalozi zinakuwa na waambata wa kila sekta ikitigemea na mahusiano ya taifa husika.

Mifano ya ziara za hovyo kabisa ambazo zimegharimu pesa za walipa kodi ni Dubai, Usa na hii ya Oman.

Kwa mwendo huu zaidi ya bil 60 zitakuwa zinatumika kila miezi mitatu kwa ziara za ajabu ajabu. Pesa ambazo zingejenga Hospital za kutosha na kununua vifaa tiba.
Ntaendelea kukupa bad words wewe ni Kyum***
 
Haingii akilini kwa kila jambo rais anasafiri hovyo hovyo tu kama vile yeye sio mkuu wa nchi.

Inaleta picha kuwa kumbe anapenda sana kupigiwa mizinga na kuwekewa parade za kijeshi na kuona ufahari.

Mkuu wa nchi anaheshima zake na sio kuwa kila event ashuhudie.

Ndio maana tuna mabalozi na ofisi zetu za ubalozi zinakuwa na waambata wa kila sekta ikitigemea na mahusiano ya taifa husika.

Mifano ya ziara za hovyo kabisa ambazo zimegharimu pesa za walipa kodi ni Dubai, Usa na hii ya Oman.

Kwa mwendo huu zaidi ya bil 60 zitakuwa zinatumika kila miezi mitatu kwa ziara za ajabu ajabu. Pesa ambazo zingejenga Hospital za kutosha na kununua vifaa tiba.
Unasumbuliwa na ushamba,ulimbukeni na ujinga kichwani mwako.Na wewe kapigiwe mizinga kama inakuuma.

Rais Samia sio kiazi kama wewe na yule marehemu wenu na hajawahi fanya ziara ya hasara 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220614-122928.png
    Screenshot_20220614-122928.png
    149.7 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220614-121554.png
    Screenshot_20220614-121554.png
    199.8 KB · Views: 4
Haingii akilini kwa kila jambo rais anasafiri hovyo hovyo tu kama vile yeye sio mkuu wa nchi.

Inaleta picha kuwa kumbe anapenda sana kupigiwa mizinga na kuwekewa parade za kijeshi na kuona ufahari.

Mkuu wa nchi anaheshima zake na sio kuwa kila event ashuhudie.

Ndio maana tuna mabalozi na ofisi zetu za ubalozi zinakuwa na waambata wa kila sekta ikitigemea na mahusiano ya taifa husika.

Mifano ya ziara za hovyo kabisa ambazo zimegharimu pesa za walipa kodi ni Dubai, Usa na hii ya Oman.

Kwa mwendo huu zaidi ya bil 60 zitakuwa zinatumika kila miezi mitatu kwa ziara za ajabu ajabu. Pesa ambazo zingejenga Hospital za kutosha na kununua vifaa tiba.
Ufanisi katika uongozi hautofautiani katika ngazi zote, yaani kuanzia ile ya kifamilia mpaka ya kitaifa. Kiongozi ni lazima awe mbele kuonyesha njia ili watu wengine wamfuate

Kiongozi hawezi kujifungia tu na kukwepa kukutana na viongozi wengine ama watu wengine muhimu. Kukutana na watu wengine ni sehemu muhimu ya kujifunza zaidi mambo ya uongozi, kuchochea ufahamu wa mambo mapya na hata kuweza kujifanyia tathmini binafsi kama uongozi wako ni wenye tija.

Rais SSH aachwe afanye lile analoamini ni jema kwa taifa lake analoliongoza. Hafanyi kosa lolole lile kwa kuwa maamuzi yake kama kiongozi wa taasisi ya urais yana baraka zote za kikatiba.
 
Haingii akilini kwa kila jambo rais anasafiri hovyo hovyo tu kama vile yeye sio mkuu wa nchi.

Inaleta picha kuwa kumbe anapenda sana kupigiwa mizinga na kuwekewa parade za kijeshi na kuona ufahari.

Mkuu wa nchi anaheshima zake na sio kuwa kila event ashuhudie.

Ndio maana tuna mabalozi na ofisi zetu za ubalozi zinakuwa na waambata wa kila sekta ikitigemea na mahusiano ya taifa husika.

Mifano ya ziara za hovyo kabisa ambazo zimegharimu pesa za walipa kodi ni Dubai, Usa na hii ya Oman.

Kwa mwendo huu zaidi ya bil 60 zitakuwa zinatumika kila miezi mitatu kwa ziara za ajabu ajabu. Pesa ambazo zingejenga Hospital za kutosha na kununua vifaa tiba.
Hakika umenena
 
Ufanisi katika uongozi hautofautiani katika ngazi zote, yaani kuanzia ile ya kifamilia mpaka ya kitaifa. Kiongozi ni lazima awe mbele kuonyesha njia ili watu wengine wamfuate

Kiongozi hawezi kujifungia tu na kukwepa kukutana na viongozi wengine ama watu wengine muhimu. Kukutana na watu wengine ni sehemu muhimu ya kujifunza zaidi mambo ya uongozi, kuchochea ufahamu wa mambo mapya na hata kuweza kujifanyia tathmini binafsi kama uongozi wako ni wenye tija.

Rais SSH aachwe afanye lile analoamini ni jema kwa taifa lake analoliongoza. Hafanyi kosa lolole lile kwa kuwa maamuzi yake kama kiongozi wa taasisi ya urais yana baraka zote za kikatiba.
Kwani hawezi kuona kwenye tv au kusikia? kule kuna mabalozi kazi yao nini?
 
Sioni unachotetea hapa. Hiyo frequency ya kusafiri siyo ya mkuu wa nchi.

Hii akili ya kufikiria kwamba bila yeye mambo ya nchi hayawezi kwenda ni foolish indispensability!
Sidhani kama una mamlaka ya kumpangia rais oa kusafiri. Wapi anaenda na anaende kufanya nini thats out of you control.

However ni ku quote
"Hii akili ya kufikiria kwamba bila yeye mambo ya nchi hayawezi kwenda ni foolish"

Ofcourse yes "hii akili" ilitengenezwa na ccm toka awamu za nyuma. Halijaanza na samia.. lilianza na marais wengine. Do you want to fix that? Chama chenyewe kianze kunchange policy za kuwazoesha marais kupata hiyo kitu
 
Kama viongozi wenye umri mkubwa kama vile Biden & Papa Fransis wanafanya ziara nyingi za nje. Je! Inashindikana vipi kwa Rais wetu kufanya hivyo!?

Kabla ya kuanza kutoa lawama, umeshafanya uchunguzi kuhusu idadi ya ziara zinazofanywa na marais wengine wa Afrika!? Chukulia tu mfano wa Uhuru Kenyatta na Paul Kagame, ebu tafuta ukweli kuhusu wastani wa idadi ya ziara walizokwisha kuzifanya nje ya nchi zao kwa mwaka.
 
Sikumbuki ni lini amewahi kumaliza hata wiki moja akiwa ofsini kwake, ni lazima asafiri either ndani au nje. Yani hata kama hakuna sababu atatafuta tu kasafari hata ka kwenda kwenye harusi 😂.

Kufanikisha hizo safari za mwaka mzima bila kupumzika ni lazima kulihitajika fedha zaidi, ndiomaana tulikuja na swala la Tozo.
 
Usipende kulalama kwa kila kitu, safari kama hii ya Oman,kwanza ni mualiko akiwa kule anagharimiwa kila kitu, kwakuwa vile vile kwenye ziara hizi anaunganisha na ajenda yake ya kufungua nchi kibiashara, anaambatana na ujumbe ambao kwa asilimia kubwa ni sekta binafsi ambao huwaalika ila wajigharamie wenyewe.sasa katika diplomasia ya uchumi ndio umuhimu wa safari husika unapoongezeka. so acha kazi iendelee katika kuifungua nchi.
Punguza bangi,kwa hiyo kule kaenda kwa gharama za walipa Kodi wa Oman??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Haingii akilini kwa kila jambo rais anasafiri hovyo hovyo tu kama vile yeye sio mkuu wa nchi.

Inaleta picha kuwa kumbe anapenda sana kupigiwa mizinga na kuwekewa parade za kijeshi na kuona ufahari.

Mkuu wa nchi anaheshima zake na sio kuwa kila event ashuhudie.

Ndio maana tuna mabalozi na ofisi zetu za ubalozi zinakuwa na waambata wa kila sekta ikitigemea na mahusiano ya taifa husika.

Mifano ya ziara za hovyo kabisa ambazo zimegharimu pesa za walipa kodi ni Dubai, Usa na hii ya Oman.

Kwa mwendo huu zaidi ya bil 60 zitakuwa zinatumika kila miezi mitatu kwa ziara za ajabu ajabu. Pesa ambazo zingejenga Hospital za kutosha na kununua vifaa tiba.
Akili za kimasini au za kijpm. Kumbuka jpm ni lugha tu iliyokuwa inampa shida lakini naye alitamani
 
Kama viongozi wenye umri mkubwa kama vile Biden & Papa Fransis wanafanya ziara nyingi za nje. Je! Inashindikana vipi kwa Rais wetu kufanya hivyo!?

Kabla ya kuanza kutoa lawama, umeshafanya uchunguzi kuhusu idadi ya ziara zinazofanywa na marais wengine wa Afrika!? Chukulia tu mfano wa Uhuru Kenyatta na Paul Kagame, ebu tafuta ukweli kuhusu wastani wa idadi ya ziara walizokwisha kuzifanya nje ya nchi zao kwa mwaka.
Biden amefanya ziara ngapi nje ya USA mwaka huu? Samia ameenda nchi ngapi tangu January?
Bajeti ya kusafiri na watu wake kila anapotoka ni kiasi gani?
Hizi safari zina tija kwa taifa, au ni muendelezo wa kuuza nchi kwa watu weupe?
 
Back
Top Bottom