Tunatwanga maji kwenye kinu. Rais Samia anamaliza pesa za walipa kodi kwa safari zisizo na tija

Tunatwanga maji kwenye kinu. Rais Samia anamaliza pesa za walipa kodi kwa safari zisizo na tija

Haingii akilini kwa kila jambo Rais anasafiri ovyo ovyo tu kama vile yeye sio mkuu wa nchi.

Inaleta picha kuwa kumbe anapenda sana kupigiwa mizinga na kuwekewa parade za kijeshi na kuona ufahari.

Mkuu wa nchi ana heshima zake na sio kuwa kila event ashuhudie.

Ndio maana tuna Mabalozi na ofisi zetu za ubalozi zinakuwa na waambata wa kila sekta ikitigemea na mahusiano ya taifa husika.

Mifano ya ziara za ovyo kabisa ambazo zimegharimu pesa za walipa kodi ni Dubai, USA na hii ya Oman.

Kwa mwendo huu zaidi ya bil 60 zitakuwa zinatumika kila miezi mitatu kwa ziara za ajabu ajabu. Pesa ambazo zingejenga Hospitali za kutosha na kununua vifaa tiba.

Mkuu hujasikia kuwa pesa ni za rais? Sasa mtu kutumia pesa zake apendavyo ww inakuuma nini?
 
Haingii akilini kwa kila jambo Rais anasafiri ovyo ovyo tu kama vile yeye sio mkuu wa nchi.

Inaleta picha kuwa kumbe anapenda sana kupigiwa mizinga na kuwekewa parade za kijeshi na kuona ufahari.

Mkuu wa nchi ana heshima zake na sio kuwa kila event ashuhudie.

Ndio maana tuna Mabalozi na ofisi zetu za ubalozi zinakuwa na waambata wa kila sekta ikitigemea na mahusiano ya taifa husika.

Mifano ya ziara za ovyo kabisa ambazo zimegharimu pesa za walipa kodi ni Dubai, USA na hii ya Oman.

Kwa mwendo huu zaidi ya bil 60 zitakuwa zinatumika kila miezi mitatu kwa ziara za ajabu ajabu. Pesa ambazo zingejenga Hospitali za kutosha na kununua vifaa tiba.
Tulishakubaliana kuwa raisi akijua kingereza atasafiri vile anavyopenda.
 
Haingii akilini kwa kila jambo Rais anasafiri ovyo ovyo tu kama vile yeye sio mkuu wa nchi.

Inaleta picha kuwa kumbe anapenda sana kupigiwa mizinga na kuwekewa parade za kijeshi na kuona ufahari.

Mkuu wa nchi ana heshima zake na sio kuwa kila event ashuhudie.

Ndio maana tuna Mabalozi na ofisi zetu za ubalozi zinakuwa na waambata wa kila sekta ikitigemea na mahusiano ya taifa husika.

Mifano ya ziara za ovyo kabisa ambazo zimegharimu pesa za walipa kodi ni Dubai, USA na hii ya Oman.

Kwa mwendo huu zaidi ya bil 60 zitakuwa zinatumika kila miezi mitatu kwa ziara za ajabu ajabu. Pesa ambazo zingejenga Hospitali za kutosha na kununua vifaa tiba.
Uliza pesa na miradi inayopatikana kutokana na hizo safari, kabla ya kuamua kulaumu tu. Kuna kitu kinaitwa connections maishani, ni zaidi ya matumizi ya pesa.

Kuna ushawishi pia, ni zaidi ya pesa zinazopatikana na kutumika zikaisha.
 
Nauli wanalipa wadau wa maendeleo
 
Vasco da Gama akifanya uvumbuzi!!

sijui lini Bimkubwa atapumzika ili kufanya monitoring and evaluation ya trips zake!

washauri wa Bimkubwa ni opportunists wanaojali per diem kila kukicha wanamwambia Mama tuchukue "Mwewe za Magu tukatalii" nae anavyopenda safari hapingi huyooooo kiguu na njia!

Washauri wake wanajenga nao wanataka safari tu Bimkubwa siku akishtuka akaenda Hazina kucheki salio watamwambia Bimkubwa pesa yote uliyoleta kwa kufungua nchi umeimaliza wewe mwenyewe kwenye safari zako za uvumbuzi !!

Bimkubwa akitulia kwake atajua kwanini Kenya wametangaza wanataka waasi wa M23 toka Rwanda watimuliwe Congo DR ambako wameteka mji maana wakipata nguvu kubwa watageukia kupora na Tanzania. Mama atume jeshi Congo DR likawatoe kule ili kuilinda Tanzania.

Too much of trips is harmful!!
 
Haingii akilini kwa kila jambo Rais anasafiri ovyo ovyo tu kama vile yeye sio mkuu wa nchi.

Inaleta picha kuwa kumbe anapenda sana kupigiwa mizinga na kuwekewa parade za kijeshi na kuona ufahari.

Mkuu wa nchi ana heshima zake na sio kuwa kila event ashuhudie.

Ndio maana tuna Mabalozi na ofisi zetu za ubalozi zinakuwa na waambata wa kila sekta ikitigemea na mahusiano ya taifa husika.

Mifano ya ziara za ovyo kabisa ambazo zimegharimu pesa za walipa kodi ni Dubai, USA na hii ya Oman.

Kwa mwendo huu zaidi ya bil 60 zitakuwa zinatumika kila miezi mitatu kwa ziara za ajabu ajabu. Pesa ambazo zingejenga Hospitali za kutosha na kununua vifaa tiba.
Viongozi wasio maono wanalitumbukiza taifa shimoni.
 
Anacho kifanya SAMIA hakina tofauti na alicho kifanya Magufuli, huwezi maliza miradi yote katika Nchi kwa miaka 5 au 10-Nchi haijengwi kwa miaka 5 Bali ni continuous huwezi ingiza Nchi katika madeni makubwa kisa unataka kumaliza miradi yote huo ni uzwazwa wa watu wasiojitambua
Sasa Samia anakosea wapi? kama ungekuwa ni wewe ni miradi gani ungeiacha usubiri miaka 10 wakati Mwendazake anakufa ilikuwa 40%? Na je utapataje Return on Investment au kufikia payback period ka maamuzi hayo?
 
Sikumbuki ni lini amewahi kumaliza hata wiki moja akiwa ofsini kwake, ni lazima asafiri either ndani au nje. Yani hata kama hakuna sababu atatafuta tu kasafari hata ka kwenda kwenye harusi [emoji23].

Kufanikisha hizo safari za mwaka mzima bila kupumzika ni lazima kulihitajika fedha zaidi, ndiomaana tulikuja na swala la Tozo.

Rais tangu ameingia madaraka amefanya ziara 16 nje ya nchi ambazo zote zimeleta matokeo chanya kwa nchi yetu.
 
Back
Top Bottom