Tunatwanga maji kwenye kinu. Rais Samia anamaliza pesa za walipa kodi kwa safari zisizo na tija

Tunatwanga maji kwenye kinu. Rais Samia anamaliza pesa za walipa kodi kwa safari zisizo na tija

Mgaagaa na upwa hali wali mkavu ndg yangu. We kakae ndani utahadithia wajukuu kosa ulifanya enzi ukiwa na nguvu
 
Haingii akilini kwa kila jambo Rais anasafiri ovyo ovyo tu kama vile yeye sio mkuu wa nchi.

Inaleta picha kuwa kumbe anapenda sana kupigiwa mizinga na kuwekewa parade za kijeshi na kuona ufahari.

Mkuu wa nchi ana heshima zake na sio kuwa kila event ashuhudie.

Ndio maana tuna Mabalozi na ofisi zetu za ubalozi zinakuwa na waambata wa kila sekta ikitigemea na mahusiano ya taifa husika.

Mifano ya ziara za ovyo kabisa ambazo zimegharimu pesa za walipa kodi ni Dubai, USA na hii ya Oman.

Kwa mwendo huu zaidi ya bil 60 zitakuwa zinatumika kila miezi mitatu kwa ziara za ajabu ajabu. Pesa ambazo zingejenga Hospitali za kutosha na kununua vifaa tiba.
ccm mbele kwa mbele tangu lini wakamjali mwanachi?
 
not how often she is travelling, but we are calculating how much is she earning on these routes..... spending tsh 5 and earning tsh 100, doesnt cost....

i
Mwambie amewahi ona wapi Rais Samia kafanya ziara ya hasara? Kama sio mkopo nafuu basi ni connection za biashara, wawekezaji na Utalii..

Rais SSH endelea kuzunguka kadiri uwezavyo kutafuta pesa,matunda tunayaona unafanya Yale yaliyowashinda waliotangulia kwa Kasi sana.
 
Anacho kifanya SAMIA hakina tofauti na alicho kifanya Magufuli, huwezi maliza miradi yote katika Nchi kwa miaka 5 au 10-Nchi haijengwi kwa miaka 5 Bali ni continuous huwezi ingiza Nchi katika madeni makubwa kisa unataka kumaliza miradi yote huo ni uzwazwa wa watu wasiojitambua
Nani kasema Rais Samia anataka kumaliza miradi yote kwa miaka e?

Ingekuwa hivyo asingeongeza bajeti ya kilimo,maji, afya,ajira mpya,madaraja ya watumishi,salaries nk..

Kwanza mh.Samia hafanyi masuala nje ya mpango wa bajeti,anatafuta pesa kwa kadiri iwezekanavyo Ili miradi isikose pesa na iishe kwa mujibu wa ratiba..
 
Hizi kelele zinapigwa kwa sababu hizi

1) Ni Mzanzibari
2) Ni Muislam
3) Ni Jinsia Yake
Ndio maana zinapuuzwa,kwanza watu kibao tuu wanamshukiru mh.Rais..sijawahi ona mahojiano yeyeote ambayo yanamuongelea vibaya mh.Rais unless uwe sukuma gang na Chadomo ambao Wana chuki binafsi ambazo hakuna kitu zitabadili..
 
Kwenda katika mkutano kujadili athari za gesi ya ukaa ni sawa na maskini mwenye baiskeli kwenda kwenye kikao cha kujadili changamoto wanazopitia wanaomiliki magari[emoji3] Kwanza watakuona hauna akili maana nchini mwako bado una shida kibao za msingi kuanzia elimu,afya n.k
 
Unasumbuliwa na ushamba,ulimbukeni na ujinga kichwani mwako.Na wewe kapigiwe mizinga kama inakuuma.

Rais Samia sio kiazi kama wewe na yule marehemu wenu na hajawahi fanya ziara ya hasara 👇
Haya mambo yalikuwa yanafanywa pale Magogoni wakati wa JPM.

Sasa hivi mnatumia pesa mingi sana.
 
Anacho kifanya SAMIA hakina tofauti na alicho kifanya Magufuli, huwezi maliza miradi yote katika Nchi kwa miaka 5 au 10-Nchi haijengwi kwa miaka 5 Bali ni continuous huwezi ingiza Nchi katika madeni makubwa kisa unataka kumaliza miradi yote huo ni uzwazwa wa watu wasiojitambua
hizo hela zenyewe zinaenda kwenye miradi gani labda??? maana kama miradi imesimama tu
 
Mambo ya kusaini mikataba.
Sasa hivi mnaenda kusaini huko ughaibuni na misusuru kibao.

Mnatufirisi wanachi, mnatuwekea mitozo afu nyie mnaenda kula bata.
Ni kawaida ya maskini wa akili na mali kutojiatambua..

Endelea kulalamika tuone kama utakuwa tajiri
 
Alivyorudi kwa mara nyingine USA akapokelewa na makam had anaondoka hajapata nafasi ya kuonana na Biden
Siku nyingine akienda atapewa apokelewe na balozi wa nyumba 10 maana haiwezekani hata wewe kila siku uwe mgeni kwenye majumba ya watu kama vile huna kazi za kufanya mwanzo utalishwa kuku ila baada ya muda utalishwa matembele
 
Rais wetu mpendwa leo yupo jeddah kwa ajili ya ibada ya Umrah.
 
Back
Top Bottom