Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo ushughulikiweReply ya gay utaijua tu
Sukuma Gang at WorkHaingii akilini kwa kila jambo Rais anasafiri ovyo ovyo tu kama vile yeye sio mkuu wa nchi.
Inaleta picha kuwa kumbe anapenda sana kupigiwa mizinga na kuwekewa parade za kijeshi na kuona ufahari.
Mkuu wa nchi ana heshima zake na sio kuwa kila event ashuhudie.
Ndio maana tuna Mabalozi na ofisi zetu za ubalozi zinakuwa na waambata wa kila sekta ikitigemea na mahusiano ya taifa husika.
Mifano ya ziara za ovyo kabisa ambazo zimegharimu pesa za walipa kodi ni Dubai, USA na hii ya Oman.
Kwa mwendo huu zaidi ya bil 60 zitakuwa zinatumika kila miezi mitatu kwa ziara za ajabu ajabu. Pesa ambazo zingejenga Hospitali za kutosha na kununua vifaa tiba.
Watasema huna religious tolerance.Haingii akilini kwa kila jambo Rais anasafiri ovyo ovyo tu kama vile yeye sio mkuu wa nchi.
Inaleta picha kuwa kumbe anapenda sana kupigiwa mizinga na kuwekewa parade za kijeshi na kuona ufahari.
Mkuu wa nchi ana heshima zake na sio kuwa kila event ashuhudie.
Ndio maana tuna Mabalozi na ofisi zetu za ubalozi zinakuwa na waambata wa kila sekta ikitigemea na mahusiano ya taifa husika.
Mifano ya ziara za ovyo kabisa ambazo zimegharimu pesa za walipa kodi ni Dubai, USA na hii ya Oman.
Kwa mwendo huu zaidi ya bil 60 zitakuwa zinatumika kila miezi mitatu kwa ziara za ajabu ajabu. Pesa ambazo zingejenga Hospitali za kutosha na kununua vifaa tiba.
Watu salio lose ndio hua wanaalikwa, embu jaribuni kumualika Joe Biden, au vradmir Putin aje kutembea ngorongoro uone atakuja liniUsipende kulalama kwa kila kitu, safari kama hii ya Oman,kwanza ni mualiko akiwa kule anagharimiwa kila kitu, kwakuwa vile vile kwenye ziara hizi anaunganisha na ajenda yake ya kufungua nchi kibiashara, anaambatana na ujumbe ambao kwa asilimia kubwa ni sekta binafsi ambao huwaalika ila wajigharamie wenyewe.sasa katika diplomasia ya uchumi ndio umuhimu wa safari husika unapoongezeka. so acha kazi iendelee katika kuifungua nchi.
Kangala kama kangalaHaingii akilini kwa kila jambo Rais anasafiri ovyo ovyo tu kama vile yeye sio mkuu wa nchi.
Inaleta picha kuwa kumbe anapenda sana kupigiwa mizinga na kuwekewa parade za kijeshi na kuona ufahari.
Mkuu wa nchi ana heshima zake na sio kuwa kila event ashuhudie.
Ndio maana tuna Mabalozi na ofisi zetu za ubalozi zinakuwa na waambata wa kila sekta ikitigemea na mahusiano ya taifa husika.
Mifano ya ziara za ovyo kabisa ambazo zimegharimu pesa za walipa kodi ni Dubai, USA na hii ya Oman.
Kwa mwendo huu zaidi ya bil 60 zitakuwa zinatumika kila miezi mitatu kwa ziara za ajabu ajabu. Pesa ambazo zingejenga Hospitali za kutosha na kununua vifaa tiba.
Haya mawazo unatoa kwa kudhania kwako au kwa fact??,kwa taarifa yako Rais akipata mwaliko safari yake inagharamia yeye mwenyewe na sio Serikali ya Nchi husika vilevile,Wafanyabiashara wanaongozana na Rais nao hulipiwa na Serikali.Usipende kulalama kwa kila kitu, safari kama hii ya Oman,kwanza ni mualiko akiwa kule anagharimiwa kila kitu, kwakuwa vile vile kwenye ziara hizi anaunganisha na ajenda yake ya kufungua nchi kibiashara, anaambatana na ujumbe ambao kwa asilimia kubwa ni sekta binafsi ambao huwaalika ila wajigharamie wenyewe.sasa katika diplomasia ya uchumi ndio umuhimu wa safari husika unapoongezeka. so acha kazi iendelee katika kuifungua nchi.
Unatetea tu kwa sababu upo gizani laiti ungejua hizo safari zinazovyo gharaimu utekelezaji wa shughuli za Serikali za kila siku-haupo jikoni ndio maana huoni impact za hizo safari.Ufanisi katika uongozi hautofautiani katika ngazi zote, yaani kuanzia ile ya kifamilia mpaka ya kitaifa. Kiongozi ni lazima awe mbele kuonyesha njia ili watu wengine wamfuate
Kiongozi hawezi kujifungia tu na kukwepa kukutana na viongozi wengine ama watu wengine muhimu. Kukutana na watu wengine ni sehemu muhimu ya kujifunza zaidi mambo ya uongozi, kuchochea ufahamu wa mambo mapya na hata kuweza kujifanyia tathmini binafsi kama uongozi wako ni wenye tija.
Rais SSH aachwe afanye lile analoamini ni jema kwa taifa lake analoliongoza. Hafanyi kosa lolole lile kwa kuwa maamuzi yake kama kiongozi wa taasisi ya urais yana baraka zote za kikatiba.
Ficha ujinga wako.Haingii akilini kwa kila jambo Rais anasafiri ovyo ovyo tu kama vile yeye sio mkuu wa nchi.
Inaleta picha kuwa kumbe anapenda sana kupigiwa mizinga na kuwekewa parade za kijeshi na kuona ufahari.
Mkuu wa nchi ana heshima zake na sio kuwa kila event ashuhudie.
Ndio maana tuna Mabalozi na ofisi zetu za ubalozi zinakuwa na waambata wa kila sekta ikitigemea na mahusiano ya taifa husika.
Mifano ya ziara za ovyo kabisa ambazo zimegharimu pesa za walipa kodi ni Dubai, USA na hii ya Oman.
Kwa mwendo huu zaidi ya bil 60 zitakuwa zinatumika kila miezi mitatu kwa ziara za ajabu ajabu. Pesa ambazo zingejenga Hospitali za kutosha na kununua vifaa tiba.
Anacho kifanya SAMIA hakina tofauti na alicho kifanya Magufuli, huwezi maliza miradi yote katika Nchi kwa miaka 5 au 10-Nchi haijengwi kwa miaka 5 Bali ni continuous huwezi ingiza Nchi katika madeni makubwa kisa unataka kumaliza miradi yote huo ni uzwazwa wa watu wasiojitambuaUjiulize ile miradi ya SGR, JNHEP, Busisi na Ujenzi wa Dodoma Jiji ambavyo vimeanzishwa na JPM bila mpangilio vingeendelea kujengwa kutoka vyanzo gani vya fedha? Kumbuka amekufa hakuna ambacho kilifika 40%. Samia anapokopa anasema. DIKTETA alikuwa anasema ni fedha za ndani
Kumbe na wewe mjinga!!!!Kwani hawezi kuona kwenye tv au kusikia? kule kuna mabalozi kazi yao nini?
Ilisikika mbuzi moja ikisemaHuyo bwana wako magufuli alikuwa hasafiri mbona kasi yake ya maendeleo ilikuwa ndogo ukifananisha na kasi rais samia
Mbona dikteta uchwara hakusafiri?Acha roho mbaya,unhekua mkuu wa nchi usingesafiri?
Nijibu hapo Kwanza,eksipoja utaipataje?