Ntambirweki again
JF-Expert Member
- Feb 25, 2022
- 213
- 191
Mgaagaa na upwa hali wali mkavu ndg yangu. We kakae ndani utahadithia wajukuu kosa ulifanya enzi ukiwa na nguvu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ccm mbele kwa mbele tangu lini wakamjali mwanachi?Haingii akilini kwa kila jambo Rais anasafiri ovyo ovyo tu kama vile yeye sio mkuu wa nchi.
Inaleta picha kuwa kumbe anapenda sana kupigiwa mizinga na kuwekewa parade za kijeshi na kuona ufahari.
Mkuu wa nchi ana heshima zake na sio kuwa kila event ashuhudie.
Ndio maana tuna Mabalozi na ofisi zetu za ubalozi zinakuwa na waambata wa kila sekta ikitigemea na mahusiano ya taifa husika.
Mifano ya ziara za ovyo kabisa ambazo zimegharimu pesa za walipa kodi ni Dubai, USA na hii ya Oman.
Kwa mwendo huu zaidi ya bil 60 zitakuwa zinatumika kila miezi mitatu kwa ziara za ajabu ajabu. Pesa ambazo zingejenga Hospitali za kutosha na kununua vifaa tiba.
Maza akoKumbe na wewe mjinga!!!!
Wanataka kuuza wa kwetu waisheHivi wale mbega wa zanzibar nao wanapelekwa ughaibuni?cha kwenu ndio cha kuuza sio cha kwetu ova
Wanataka kuuza wa kwetu waisheHivi wale mbega wa zanzibar nao wanapelekwa ughaibuni?cha kwenu ndio cha kuuza sio cha kwetu ova
Mwambie amewahi ona wapi Rais Samia kafanya ziara ya hasara? Kama sio mkopo nafuu basi ni connection za biashara, wawekezaji na Utalii..not how often she is travelling, but we are calculating how much is she earning on these routes..... spending tsh 5 and earning tsh 100, doesnt cost....
i
Nani kasema Rais Samia anataka kumaliza miradi yote kwa miaka e?Anacho kifanya SAMIA hakina tofauti na alicho kifanya Magufuli, huwezi maliza miradi yote katika Nchi kwa miaka 5 au 10-Nchi haijengwi kwa miaka 5 Bali ni continuous huwezi ingiza Nchi katika madeni makubwa kisa unataka kumaliza miradi yote huo ni uzwazwa wa watu wasiojitambua
Ndio maana zinapuuzwa,kwanza watu kibao tuu wanamshukiru mh.Rais..sijawahi ona mahojiano yeyeote ambayo yanamuongelea vibaya mh.Rais unless uwe sukuma gang na Chadomo ambao Wana chuki binafsi ambazo hakuna kitu zitabadili..Hizi kelele zinapigwa kwa sababu hizi
1) Ni Mzanzibari
2) Ni Muislam
3) Ni Jinsia Yake
Umeolewa binti au bado kigori!Achen Mama asafiri,..hili ndo chaguo la mungu sio yule
Jinsia [emoji777] Jinsi [emoji736]Hizi kelele zinapigwa kwa sababu hizi
1) Ni Mzanzibari
2) Ni Muislam
3) Ni Jinsia Yake
Haya mambo yalikuwa yanafanywa pale Magogoni wakati wa JPM.Unasumbuliwa na ushamba,ulimbukeni na ujinga kichwani mwako.Na wewe kapigiwe mizinga kama inakuuma.
Rais Samia sio kiazi kama wewe na yule marehemu wenu na hajawahi fanya ziara ya hasara 👇
Mambo gani? Pesa zipi mingi?Haya mambo yalikuwa yanafanywa pale Magogoni wakati wa JPM.
Sasa hivi mnatumia pesa mingi sana.
hizo hela zenyewe zinaenda kwenye miradi gani labda??? maana kama miradi imesimama tuAnacho kifanya SAMIA hakina tofauti na alicho kifanya Magufuli, huwezi maliza miradi yote katika Nchi kwa miaka 5 au 10-Nchi haijengwi kwa miaka 5 Bali ni continuous huwezi ingiza Nchi katika madeni makubwa kisa unataka kumaliza miradi yote huo ni uzwazwa wa watu wasiojitambua
Mambo ya kusaini mikataba.Mambo gani? Pesa zipi mingi?
Ni kawaida ya maskini wa akili na mali kutojiatambua..Mambo ya kusaini mikataba.
Sasa hivi mnaenda kusaini huko ughaibuni na misusuru kibao.
Mnatufirisi wanachi, mnatuwekea mitozo afu nyie mnaenda kula bata.