Tunatwanga maji kwenye kinu. Rais Samia anamaliza pesa za walipa kodi kwa safari zisizo na tija

Usisahau na kusalimia Uncle wake

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Unaelewa nini misingi ya kuwa na ofisi za kibalozi?
Kwani Obama alipotembelea tz hawakuwa na balozi? Kwa taarifa tu ni kwamba, ziara yoyote inayofanywa na tops wa nchi kwenye nchi zina balozi, ujue huyo balozi ndiye aliyeratibu mipango yote. Pia km ilivyo kwa mawaziri na wateule wengine, lazima walinde interest na wa-aim kumpandisha kisiasa aliyewateua, na ndio maana hata jiwe alizindua mpaka viwanda vya cherehani ilihali kuna Dc, Rc, Nw na W ambao wangeweza kufanya. Bro usiumie kichwa kuhusu hizi mambo, utapata presha bure, kwa mwanasiasa kupitisha siku kadhaa bila coverage ya tv, radio,magazeti na mitandao mingine ni ngumu hata ungekuwa wewe.
 
Msituzuge kwa kualikwa wakati anakwenda na kusaini mikataba isiyowekwa wazi.

Kama angealikwa na kisha kurudi bila kusaini mikataba ovyo.
Nani angehangaika na mialiko yake?

Sisi tunapaaza sauti kwa sababu mikataba kama hiyo tulikwishayaona madhara yake makubwa.
 
Ujiulize ile miradi ya SGR, JNHEP, Busisi na Ujenzi wa Dodoma Jiji ambavyo vimeanzishwa na JPM bila mpangilio vingeendelea kujengwa kutoka vyanzo gani vya fedha? Kumbuka amekufa hakuna ambacho kilifika 40%. Samia anapokopa anasema. DIKTETA alikuwa anasema ni fedha za ndani
 
Akili za kimasini au za kijpm. Kumbuka jpm ni lugha tu iliyokuwa inampa shida lakini naye alitamani
Sababu ya Magufuli kutosafiri nje siyo kubana matumizi bali ni kutokana kwamba alikuwa na defilbrator (kibetri), ambacho kilikuwa kimechakaa. Haishauriwi kusafiri masafa ukiwa na na kibetri
 

Hivi unajua Hangaya kasafiri mara ngapi tangu awe Rais wetu wa kambo? Safari zake nyingi hata sio state visits; ndiyo maana nchi zingine anaishia tu kukutana na watu ambao sio wa level yake.

Huyo anapenda tu kuzurura na kuwabebesha walipakodi wa nchi yake mzigo usiokuwa wa lazima!
 
Raisi wa nchi lazima Asafiri. Siyo kutangatanga jifunze kujibu hoja. Isipayuke.
 
Kumbe hoja hii inajadiliwa na wadau wa kilaji cha kienyeji, busara inanituma nikae kimya niwapishe wadau muhimu wa kangala muendelee na mjadala.
Aiseeeh, hivi kangala ni nini mkuu?[emoji23]
 
Anafungua mipaka kwani shida ipo wapi?
 
Chama cha mpira yumo
Waandishi sherehe yumo
Wasanii kina suguu yumo
Netboli yumo.
Riadha yumo
Vilema yumo
Kufungua machinjio yumo.
Bakari akitaka kula mbususu yumo.
Hatuelewi tunaongozwa na nani.
Ni tabu hii
 
Mkuu hata angejifungia humu nchini hiyo pesa usingeiona!??

Mwenda alikuwa anajificha chato...pesa uliiona wapi!??
 
Mkuu hata angejifungia humu nchini hiyo pesa usingeiona!??

Mwenda alikuwa anajificha chato...pesa uliiona wapi!??
Pesa gani labda inayoonekana?? Maisha yapanda kila siku tozo zisizo na kichwa wala miguuu... Maza anakwama sanaa apunguze safarii
 
Huyo bwana wako magufuli alikuwa hasafiri mbona kasi yake ya maendeleo ilikuwa ndogo ukifananisha na kasi rais samia
 
Huyo bwana wako magufuli alikuwa hasafiri mbona kasi yake ya maendeleo ilikuwa ndogo ukifananisha na kasi rais samia
Hao takataka ndio maana mimi nawajibu shit za kutosha,hao usijisumbue kuwajibu kistaarabu Wana chuki binafsi na SSH sio kwamba hawajui kwamba anafanya vizuri...

Saizi kawaaibisha ndani ya mwaka mmja wamepagawa wakiona kila kitu kinaenda kuanzia miradi mipya na aliyoacha Mwendazake kwa hiyo hawaelewi aliwezaje..

Usipoyeze mda na hizo mbwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…