Usisahau na kusalimia Uncle wakeUsipende kulalama kwa kila kitu, safari kama hii ya Oman,kwanza ni mualiko akiwa kule anagharimiwa kila kitu, kwakuwa vile vile kwenye ziara hizi anaunganisha na ajenda yake ya kufungua nchi kibiashara, anaambatana na ujumbe ambao kwa asilimia kubwa ni sekta binafsi ambao huwaalika ila wajigharamie wenyewe.sasa katika diplomasia ya uchumi ndio umuhimu wa safari husika unapoongezeka. so acha kazi iendelee katika kuifungua nchi.
Kama wewe ulivyokuwa chawa wa magufuli akila pesa zetu na nuru wa TPAUchawa ukikutoka kichwani utakuwa na uwezo wa kuangalia mambo kwa upana!
Kwani Obama alipotembelea tz hawakuwa na balozi? Kwa taarifa tu ni kwamba, ziara yoyote inayofanywa na tops wa nchi kwenye nchi zina balozi, ujue huyo balozi ndiye aliyeratibu mipango yote. Pia km ilivyo kwa mawaziri na wateule wengine, lazima walinde interest na wa-aim kumpandisha kisiasa aliyewateua, na ndio maana hata jiwe alizindua mpaka viwanda vya cherehani ilihali kuna Dc, Rc, Nw na W ambao wangeweza kufanya. Bro usiumie kichwa kuhusu hizi mambo, utapata presha bure, kwa mwanasiasa kupitisha siku kadhaa bila coverage ya tv, radio,magazeti na mitandao mingine ni ngumu hata ungekuwa wewe.Unaelewa nini misingi ya kuwa na ofisi za kibalozi?
Msituzuge kwa kualikwa wakati anakwenda na kusaini mikataba isiyowekwa wazi.Usipende kulalama kwa kila kitu, safari kama hii ya Oman,kwanza ni mualiko akiwa kule anagharimiwa kila kitu, kwakuwa vile vile kwenye ziara hizi anaunganisha na ajenda yake ya kufungua nchi kibiashara, anaambatana na ujumbe ambao kwa asilimia kubwa ni sekta binafsi ambao huwaalika ila wajigharamie wenyewe.sasa katika diplomasia ya uchumi ndio umuhimu wa safari husika unapoongezeka. so acha kazi iendelee katika kuifungua nchi.
Eksipoja? Nimecheka sanaAcha roho mbaya,unhekua mkuu wa nchi usingesafiri?
Nijibu hapo Kwanza,eksipoja utaipataje?
Ujiulize ile miradi ya SGR, JNHEP, Busisi na Ujenzi wa Dodoma Jiji ambavyo vimeanzishwa na JPM bila mpangilio vingeendelea kujengwa kutoka vyanzo gani vya fedha? Kumbuka amekufa hakuna ambacho kilifika 40%. Samia anapokopa anasema. DIKTETA alikuwa anasema ni fedha za ndaniHaingii akilini kwa kila jambo Rais anasafiri ovyo ovyo tu kama vile yeye sio mkuu wa nchi.
Inaleta picha kuwa kumbe anapenda sana kupigiwa mizinga na kuwekewa parade za kijeshi na kuona ufahari.
Mkuu wa nchi ana heshima zake na sio kuwa kila event ashuhudie.
Ndio maana tuna Mabalozi na ofisi zetu za ubalozi zinakuwa na waambata wa kila sekta ikitigemea na mahusiano ya taifa husika.
Mifano ya ziara za ovyo kabisa ambazo zimegharimu pesa za walipa kodi ni Dubai, USA na hii ya Oman.
Kwa mwendo huu zaidi ya bil 60 zitakuwa zinatumika kila miezi mitatu kwa ziara za ajabu ajabu. Pesa ambazo zingejenga Hospitali za kutosha na kununua vifaa tiba.
Sababu ya Magufuli kutosafiri nje siyo kubana matumizi bali ni kutokana kwamba alikuwa na defilbrator (kibetri), ambacho kilikuwa kimechakaa. Haishauriwi kusafiri masafa ukiwa na na kibetriAkili za kimasini au za kijpm. Kumbuka jpm ni lugha tu iliyokuwa inampa shida lakini naye alitamani
Kwani Obama alipotembelea tz hawakuwa na balozi? Kwa taarifa tu ni kwamba, ziara yoyote inayofanywa na tops wa nchi kwenye nchi zina balozi, ujue huyo balozi ndiye aliyeratibu mipango yote. Pia km ilivyo kwa mawaziri na wateule wengine, lazima walinde interest na wa-aim kumpandisha kisiasa aliyewateua, na ndio maana hata jiwe alizindua mpaka viwanda vya cherehani ilihali kuna Dc, Rc, Nw na W ambao wangeweza kufanya. Bro usiumie kichwa kuhusu hizi mambo, utapata presha bure, kwa mwanasiasa kupitisha siku kadhaa bila coverage ya tv, radio,magazeti na mitandao mingine ni ngumu hata ungekuwa wewe.
Raisi wa nchi lazima Asafiri. Siyo kutangatanga jifunze kujibu hoja. Isipayuke.Haingii akilini kwa kila jambo Rais anasafiri ovyo ovyo tu kama vile yeye sio mkuu wa nchi.
Inaleta picha kuwa kumbe anapenda sana kupigiwa mizinga na kuwekewa parade za kijeshi na kuona ufahari.
Mkuu wa nchi ana heshima zake na sio kuwa kila event ashuhudie.
Ndio maana tuna Mabalozi na ofisi zetu za ubalozi zinakuwa na waambata wa kila sekta ikitigemea na mahusiano ya taifa husika.
Mifano ya ziara za ovyo kabisa ambazo zimegharimu pesa za walipa kodi ni Dubai, USA na hii ya Oman.
Kwa mwendo huu zaidi ya bil 60 zitakuwa zinatumika kila miezi mitatu kwa ziara za ajabu ajabu. Pesa ambazo zingejenga Hospitali za kutosha na kununua vifaa tiba.
Aiseeeh, hivi kangala ni nini mkuu?[emoji23]Kumbe hoja hii inajadiliwa na wadau wa kilaji cha kienyeji, busara inanituma nikae kimya niwapishe wadau muhimu wa kangala muendelee na mjadala.
Kama wewe ulivyokuwa chawa wa magufuli akila pesa zetu na nuru wa TPA
Pesa gani labda inayoonekana?? Maisha yapanda kila siku tozo zisizo na kichwa wala miguuu... Maza anakwama sanaa apunguze safariiMkuu hata angejifungia humu nchini hiyo pesa usingeiona!??
Mwenda alikuwa anajificha chato...pesa uliiona wapi!??
Reply ya gay utaijua tuna wewe safiri ndenda chato
Kazi ya kupora wanyama inaanza rasmi ,chawa wahed weweUnasumbuliwa na ushamba,ulimbukeni na ujinga kichwani mwako.Na wewe kapigiwe mizinga kama inakuuma.
Rais Samia sio kiazi kama wewe na yule marehemu wenu na hajawahi fanya ziara ya hasara [emoji116]
Huyo bwana wako magufuli alikuwa hasafiri mbona kasi yake ya maendeleo ilikuwa ndogo ukifananisha na kasi rais samiaHaingii akilini kwa kila jambo Rais anasafiri ovyo ovyo tu kama vile yeye sio mkuu wa nchi.
Inaleta picha kuwa kumbe anapenda sana kupigiwa mizinga na kuwekewa parade za kijeshi na kuona ufahari.
Mkuu wa nchi ana heshima zake na sio kuwa kila event ashuhudie.
Ndio maana tuna Mabalozi na ofisi zetu za ubalozi zinakuwa na waambata wa kila sekta ikitigemea na mahusiano ya taifa husika.
Mifano ya ziara za ovyo kabisa ambazo zimegharimu pesa za walipa kodi ni Dubai, USA na hii ya Oman.
Kwa mwendo huu zaidi ya bil 60 zitakuwa zinatumika kila miezi mitatu kwa ziara za ajabu ajabu. Pesa ambazo zingejenga Hospitali za kutosha na kununua vifaa tiba.
Kabla ya wanyama tutaanza na wewe pimbi Ili tukufyeke mazima nguruwe mkubwa.Kazi ya kupora wanyama inaanza rasmi ,chawa wahed wewe
Hao takataka ndio maana mimi nawajibu shit za kutosha,hao usijisumbue kuwajibu kistaarabu Wana chuki binafsi na SSH sio kwamba hawajui kwamba anafanya vizuri...Huyo bwana wako magufuli alikuwa hasafiri mbona kasi yake ya maendeleo ilikuwa ndogo ukifananisha na kasi rais samia