Car4Sale Tunauza Magari aina mbalimbali

Car4Sale Tunauza Magari aina mbalimbali

Ganji kubwa mno kiongozi milioni 6 na ww unaweka mpk milioni 7.




KAZI ni kipimo cha UTU
 
DCJ inaonesha gari imeingia Tanzania mwaka 2014.

Hivyo Imetumika miaka 10 bongo.

Depreciation cost ya miaka 10 ni kubwa. Punguza bei mkuu
 
Habarini Wana jf nawataarifu kua leo brevis ipo sokoni wahi uje kuchukua usije ukachelewa ukaikosa kwa 4.5 million tu.Ipo kimara Karibu uikague uichukue kwa bei ya kutupa
1000173921.jpg
1000173927.jpg
1000173925.jpg
1000173924.jpg
1000173926.jpg
1000173926.jpg
1000173922.jpg
1000173920.jpg
 
Mambo yanakwenda kasi sana, hizi za mkononi kuna kipondi zilifika tsh 4,000,000 na bado watu walizisusa...jamaa'angu mmoja alipewa offer ya 2m akataka kupigana.

Leo inauzwa 13.8m, sio poa!
 
Back
Top Bottom