Gari iko sumbawanga kule atauza Ila sio DsmHahahah hio gari labda kwa 1.5M tena hio tunakubariki tu. Gari haina thamani hio!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari iko sumbawanga kule atauza Ila sio DsmHahahah hio gari labda kwa 1.5M tena hio tunakubariki tu. Gari haina thamani hio!
Ww ndiyo baba queen?Basi linauzwa
Zhongtong Caeser
Siti 2by2(60)
Engine scania 94_310
Gearbox scania gia 8
Front axle scania
Halina tatizo lolote, linafanyakazi
Bei tzsh 50 mil
Mawasiliano 0676599805
Whatsap 0759399805
View attachment 2359265View attachment 2359266View attachment 2359267View attachment 2359268View attachment 2359269View attachment 2359270View attachment 2359272View attachment 2359273View attachment 2359274View attachment 2359275View attachment 2359276
ndugu ulipata Io j80?Inahitajika 1993 TOYOTA
Land Cruiser VX LIMITED kwanzia namba B,
4x4
iwe katika hali nzuri isiwe na tatizo
Ofa ni Tzsh 10,000,000/=
Tuma picha 0759399805
call 0765062114View attachment 1412778
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli lakini si kwa LC XV 80s, tunazo ofisini kwetu kama 2 na ni za 1992, zinapiga kazi ya field asikwambie mtu na hazina dalili yoyote ya kufa kesho au kesho kutwa. cha msingi apate ambayo iko kwenye good condition10m tzs inakaa kidogo lakini gari ya zamani utasumbuka sana
Bongo iko gari cheap natafuta gari ya millioni 3Ni kweli lakini si kwa LC XV 80s, tunazo ofisini kwetu kama 2 na ni za 1992, zinapiga kazi ya field asikwambie mtu na hazina dalili yoyote ya kufa kesho au kesho kutwa. cha msingi apate ambayo iko kwenye good condition