Car4Sale Tunauza Magari ya kila aina, tupo Dar es salaam

🤣🤣🤣😁😁😁mwambie asubirie akue ndipo ajadili magari😂
 
mwenye uzi mm nna kibanda changu cha biashara nakiuza naomba nikipost kwenye uzi wako kama hautojal
 
habari wanajamvi nauza banda langu lipo kigamboni ila linahamishika na halina tatizo lolote bei nimeshusha kwa sasa nauliuza 370,000 tu namba yangu 0653110660
 

Attachments

  • 20220502_130213.jpg
    120.8 KB · Views: 33
  • 20211113_121116.jpg
    106.7 KB · Views: 29
  • 20211113_121021.jpg
    91.3 KB · Views: 29
Kama hiyo gari ni namba D basi mama yangu ni bikra
Hii maana yake nini? Hivi laiti mama yako angekuwepo humu JF angefurahia hicho ulichokiandika...?
.
Nimesikitishwa sana na ulichokiandika, bado natafakari huu ni UTOTO ama KUKURUPUKA...Sipati majibu.
.
[emoji35]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…