Car4Sale Tunauza Magari ya kila aina, tupo Dar es salaam

Car4Sale Tunauza Magari ya kila aina, tupo Dar es salaam

Kama 1999 ulikuwa hujaanza shule,let's assume umeanza chekechea 2000,alafu ukamaliza la Saba 2007 (Bado hujabarehe), ukabarehe ukiwa form 2 mwaka 2009 (which is unlikely ubarehe na kumpa mimba Binti mwaka huo)

Mtoto wako naye likely kabarehe Ana Miaka 14,ndivo kusema naye kampa Binti mimba mwezi January mwaka huu🤣 ,na wewe Uhuru unataka kuzidi
🤣🤣🤣😁😁😁mwambie asubirie akue ndipo ajadili magari😂
 
mwenye uzi mm nna kibanda changu cha biashara nakiuza naomba nikipost kwenye uzi wako kama hautojal
 
habari wanajamvi nauza banda langu lipo kigamboni ila linahamishika na halina tatizo lolote bei nimeshusha kwa sasa nauliuza 370,000 tu namba yangu 0653110660
 

Attachments

  • 20220502_130213.jpg
    20220502_130213.jpg
    120.8 KB · Views: 33
  • 20211113_121116.jpg
    20211113_121116.jpg
    106.7 KB · Views: 29
  • 20211113_121021.jpg
    20211113_121021.jpg
    91.3 KB · Views: 29
Kama hiyo gari ni namba D basi mama yangu ni bikra
Hii maana yake nini? Hivi laiti mama yako angekuwepo humu JF angefurahia hicho ulichokiandika...?
.
Nimesikitishwa sana na ulichokiandika, bado natafakari huu ni UTOTO ama KUKURUPUKA...Sipati majibu.
.
[emoji35]
 
Back
Top Bottom