Three Bedroom apartment fully furnished with a clean and inspired look.
Layout — a living room with a dining area and a kitchen, three bedrooms one with bathroom, the other two with a shared bathroom. Interested to buy this apartment? Give your offer by sending a message on whatsapp (+255) 755312233

















 
Nyumba ina muonekano wa kuvutia.

Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja kinajitoshereza ( Masta bedroom) , subule, jiko la kisasa na mahala pa kula.
Ni nyumba imara inayoweza kumudu mazingira kwa muda mrefu pasipo kufanyiwa marekebisho yasiyo na ulazima wowote

Hii ni nyumba imejengwa kwa malighafi bora, mafundi na wasimamizi bora!Wahi nyumba hii sasa.

Inauzwa na furniture zake. Ipo katika jengo lenye lift na genereta. Panga siku na muda wa kuja kuiona.

Mawasiliano +255755312233











 
Nyumba au apartment iliyopo kwenye jengo la gorofa mkuu alafu iyo bei ni serious au ipo in term of usd ?? [emoji2091][emoji2091]
 
Available on Lease / Rent Fully Furnished Independent Ground Floor Flat with 2 Bedrooms, 2 Bathrooms, 1 Dining Hall, Fully Loaded Kitchen and 2 Bathrooms
The Premises are ready to move in.
Interested to rent this home? Please schedule a day and time for viewing be calling or whatsapp +255755312233

















 
Wanatakiwa kupanga wazungu tu? Ndio maana hata bei umeweka kwa USD! Ila bei ndogo sana kaka, ongeza.
 
Nimependa tu English yako. But bei naona imepoa mno kuna shida gani hapo?
 
Bei Tshs 414,000,000. Maelewano yapo.

Apartment ina muonekano wa kuvutia. Ukiwa katika hii Apartment unatazama Bahari ya Hindi.

Ina vyumba vitatu vya kulala vyote ni self contained ( Master bedrooms) , subule, jiko la kisasa na mahala pa kula.
Ni nyumba imara inayoweza kumudu mazingira kwa muda mrefu pasipo kufanyiwa marekebisho yasiyo na ulazima wowote

Hii ni Apartment imejengwa kwa malighafi bora, mafundi na wasimamizi bora!Wahi Apartment hii sasa.

Ito floor ya 3, service charge tshs 345,000 kea mwezi.

Inauzwa na furniture zake. Ipo katika jengo lenye lift na genereta. Panga siku na muda wa kuja kuiona.

Mawasiliano +255755312233

 
Nadhani service charges ni gharama kama za mlinzi,mtu wa kusafisha mazingira ya nje,genereta maji etc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…