SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

Status
Not open for further replies.
Home thieter music system zipo kama zipo bei gani
Ndio zipo , kuna SONY, LG, panasonic ,samsung na kadhalika. Wewe unapendelea brand gani? Na una panga kutumia budget kiasi gani??? Karibu mkuu
 
Majiko ya Umeme ya kisasa. Hayatumii umeme mwingi, yanatumia umeme kidogo sana. Bei yake ni 85,000. Karibuni sana
30c25d6f4b5dfca89eaf83d610de431e.jpg
8cc3c3a27be54e4e7b4d9a6b46326261.jpg

Jiko la gesi la Nipotec nitapata?
 
Habari mkuu hujanijibu swali langu nahitaji home theatre system nzuri sana yenye kutumia Bluetooth watts kubwa
 
Wenzako wanaofanya matangazo kama haya wanaweka na bei kabisa maana wanajiamini ubora wa bidhaa zao pamoja na convising price. Kitendo cha kuweka namba za simu ili tukuulize hakina afya kabisa kinaondoa kutokujiamini kwako na bidhaa unazotangaza halafuuu!!! unatuwekea instagramu kwani sisi ni Mangekimambi?
[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Kuwekesha ni Kwamba unakuja dukani halafu unachagua kitu ambacho unataka halafu unalipia kidogo kidogo ukimaliza unachukua.. hii ni lazima mtu uje dukani ili tufanye agreement au labda kama ww ni mteja wa mbali ambaye tumeshawahi kufanya biashara.

Kuna wadau kama wawili hvi wa JF walikuja tukafanya hii biashara (ya kuwekesha) wiki mbili zilizopita, naawaomba waje watoe mrejesho Tafadhali
Niko mbali,ila nataka tufanye biashara.
Nataka jiko la umeme linalotumia umeme kidogo,
 
Nipe sifa za haya majiko mkuu
- Yanatumia Umeme Kidogo sana
- Yanadumu,
- bei yake nafuu
- unachagua kiasi cha moto unachotaka na ni rahisi ku control
- hayashiki kutu
- yanadumu kwa muda mrefu
- ni rahisi kuhamishika na kusafishika
 
- Yanatumia Umeme Kidogo sana
- Yanadumu,
- bei yake nafuu
- unachagua kiasi cha moto unachotaka na ni rahisi ku control
- hayashiki kutu
- yanadumu kwa muda mrefu
- ni rahisi kuhamishika na kusafishika
Vyema braza, sasa hiyo kidogo sana ni ipi?
Naomba namba yako basi nikucheki wakati ukifika.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom