za leo ndugu..mbaba nahis cjachelewa nitaunga msafara hiyo cku ya jpili but b4 i will call you
za leo ndugu..sawa mkuu,nitakucheck.
hvyo vya madale bado vipo mkuu??
Dear Members wa hapa Jamvini. Binafsi nilifanikiwa kwenda kuchek viwanja hivyo (Madale na Bunju Mpakani). Tha place is good and flat and watu wanajenga. Mimi nilifanikiwa kupata sehemu ya hiyo ardhi upande wa madale. The place has been surveyed for residential purpose, so ipo clear and hapana utapeli as nimehakikisha mpk ardhi.
Karibuni bandugu kwa ujirani mwema. Binafi ninayo mpk ramani ya sehemu husika- madale.
Ata mimi nilitaka kusema hivyo hivyo.haaa mkubwa tumekuja mm naendelea na ujenzi
muhusika kapotelea wap sijui
Wapendwahvyo vya madale bado vipo mkuu??