Kwa mara nyingine, tunabadilisha matumizi ya mashamba kuwa plot za kujenga.
tulikuwa na shamba bunju Mingoi, Madale kwa kawawa..Na sasa tumeamua kutoa hivi viwanja "Potential area""
Kwa wanao fahamu Madale hapa ni barabarani kabisa, ukitokea center ya filamingo barabara inayotoka Wazo Hill" maarufu kama Njia panda ya Nguzo, nyuma ya Kituo Kipya cha Police (Mita kama mia3 tu!
Tunavyo viwanja vya 23 X 24,) ( 22 X 23,) (21 X 22. NK.( Bei ni kuanzia milioni 13 mpaka 11M kulingana na ukubwa wa kiwanja na uelekeo kilichopo.
Unashauriwa kutembelea maeneo haya kabla ya kujadili bei(Maana unaweza ukakuta tunavitoa kwa bei ya chini kabisa isiyohitaji punguzo..( Experience ina nionyesha hivyo..Kuna mtu juzi aliniambia kwanini unaviuza bei ya kutupa)
Kwa wanaohitaji, tuwasiliane kwa +255 762 466 293 & +255 784 355 775 - Mr MBUNGI