Plot4Sale Tunauza Viwanja na Mashamba sehemu mbalimbali

Plot4Sale Tunauza Viwanja na Mashamba sehemu mbalimbali

Polepole ayanunua kwa chenji ya manunuzi wasanii na wabunge

Tafuta wateja nakupeleka kupima mwenyewe kila mkoa utaotaka na vipo mijini kabisa hivo ukitaka kujenga supermarket ni wewe
 
Nje ya mada

Naomba gharama za kupima kiwanja Dodoma Makutupora
 
Toa mchanganuo wa huo ulipaji wa miezi 9!
Halafu hivyo viwanja mlivipataje then ndio mnauza...?

1.
Unalipa nusu bei,
Tunasign document wewe na wanasheria wako pamoja na sisi, tunaanza kushughulikia hati,

Inayobaki, igawe kwa io miezi 9, utakua unalipa mpaka utakapomaliza, unapata na hati yako

2.
Kuhusu sisi tumevipataje viwanja,

Kuna miradi wenye maeneo wanatuletea ofisi, tuwauzie, so tunaingia nao mkataba alafu tunafata taratibu zote za upimaji na uthibitishaji kutoka wizara ya ardhi, hivyo tunaanza kuuza

Pia kuna miradi tunainunua kutoka kwa wenye maeneo moja kwa moja, na kufata taratibu zote na kuanza kuiuza sisi kama sisi

0688753191
 
1.
Unalipa nusu bei,
Tunasign document wewe na wanasheria wako pamoja na sisi, tunaanza kushughulikia hati,

Inayobaki, igawe kwa io miezi 9, utakua unalipa mpaka utakapomaliza, unapata na hati yako

2.
Kuhusu sisi tumevipataje viwanja,

Kuna miradi wenye maeneo wanatuletea ofisi, tuwauzie, so tunaingia nao mkataba alafu tunafata taratibu zote za upimaji na uthibitishaji kutoka wizara ya ardhi, hivyo tunaanza kuuza

Pia kuna miradi tunainunua kutoka kwa wenye maeneo moja kwa moja, na kufata taratibu zote na kuanza kuiuza sisi kama sisi

0688753191

Ahsante kwa maelezo! Huenda tukafanya biashara, mawasiliano nayahifadhi!
 
1.
Unalipa nusu bei,
Tunasign document wewe na wanasheria wako pamoja na sisi, tunaanza kushughulikia hati,

Inayobaki, igawe kwa io miezi 9, utakua unalipa mpaka utakapomaliza, unapata na hati yako

2.
Kuhusu sisi tumevipataje viwanja,

Kuna miradi wenye maeneo wanatuletea ofisi, tuwauzie, so tunaingia nao mkataba alafu tunafata taratibu zote za upimaji na uthibitishaji kutoka wizara ya ardhi, hivyo tunaanza kuuza

Pia kuna miradi tunainunua kutoka kwa wenye maeneo moja kwa moja, na kufata taratibu zote na kuanza kuiuza sisi kama sisi

0688753191
Uwazi ni mzuri sana
 
Property Investors (PIC) inautangazia umma juu ya uuzaji wa viwanja vilivyopo ndani ya miradi yake maeneo ya #MADALE
VIWANJA VIMEPIMWA [emoji736]

Location: Madale Mivumoni
( karibu na shule ya Atlas )
Distance: 1.5 km to main road
Size: 500+ sqm ( 20 * 25)
Price: 30,000 kwa sqm
Malipo mpaka kwa miezi 6

Kwa maelezo zaidi
0688753191

#madale #propertyinvestor #pic #viwanjabeinafuu #viwanjagulio #buyplots #milikikiwanja #milikikiwanjadar #madalemivumoni
IMG_0082.jpg

IMG_0071.jpg
 
Sema Bunju Mbali sana from City Center
Mbali kama wafanya kazi mjini, ila karibu kwetu tunaojitafutia Boko, Tegeta, Salasala, Africana, Kunduchi, Uninio, Mbezi Beach, Goba na Kawe...
Wakianzisha Satelite towns labda mawazo ya wajengaji yatabadilika, maana vile vitengo muhimu serikalini na kibiashara vitakuwa karibu na raia...
 
Property Investors (PIC) inautangazia umma juu ya uuzaji wa viwanja vilivyopo ndani ya miradi yake maeneo ya #MADALE
VIWANJA VIMEPIMWA [emoji736]

Location: Madale Mivumoni
( karibu na shule ya Atlas )
Distance: 1.5 km to main road
Size: 500+ sqm ( 20 * 25)
Price: 30,000 kwa sqm
Malipo mpaka kwa miezi 6

Kwa maelezo zaidi
0688753191

#madale #propertyinvestor #pic #viwanjabeinafuu #viwanjagulio #buyplots #milikikiwanja #milikikiwanjadar #madalemivumoniView attachment 1641499
View attachment 1641500
Mkuu Nala Dodoma ni Km ngapi toka Main road?
 
[emoji682]viwanja - kigamboni [emoji682]
Property Investors (PIC) inautangazia umma juu ya uuzaji wa viwanja vilivyopo ndani ya miradi yake maeneo ya #kigamboni
Viwanja vyote VIMEPIMWA [emoji736]
Miundombinu yote imefika (umeme,maji)[emoji736]

Viwanja vinaanzia 3.6mil tu

ENEO: Amani gomvu (kigamboni)
(Karibu na city collage - chuo cha afya)
Dakika 5 tu kutoka barabara ya lami

UMBALI: 600mita kutoka barabara ya lami(stendi)

UKUBWA: 300 sqm na kuendelea

BEI: 12,000/= kwa sqm (cash)
au
BEI: 15,000/= kwa sqm ( malipo ya kitaratibu)
Lipa kidogo kidogo mpaka kwa miezi 9

Kwa maelezo zaidi
0688753191

#mwembemdogokigamboni #propertyinvestor #pic #viwanjabeinafuu ##buyplots #milikikiwanja #kigambonimpya
IMG_0604.jpg

IMG_0609.jpg

IMG_0595.jpg
 
Mkuu hicho cha kuanzia milion 3 nalaki 6 kinakuwaje? Sisi wengine hatuna uzoefu waviwanja wala hatujui kiwanda kinatakiwa kiwe ngapi kwangap
 
Mkuu hicho cha kuanzia milion 3 nalaki 6 kinakuwaje? Sisi wengine hatuna uzoefu waviwanja wala hatujui kiwanda kinatakiwa kiwe ngapi kwangap

kiwanja mara nyingi vinakua ni 20 kwa 20 yaani 400sqm, ila ivyo vinaanzia 300sqm, ambayo bei yake ni 3.6mil, sasa ukitaka icho cha 400 au hata 600. unazidisha na bei 12,000 kwa sqm moja, unapata bei kamili

mfano:
300sqm = 3.6mil
400sqm = 4.8mil
600sqm = 7.8mil
na kuendelea kutokana na mapenzi ya ukubwa wa kiwanja ukitakacho

kwa maelezo zaidi
0688753191
 
kiwanja mara nyingi vinakua ni 20 kwa 20 yaani 400sqm, ila ivyo vinaanzia 300sqm, ambayo bei yake ni 3.6mil, sasa ukitaka icho cha 400 au hata 600. unazidisha na bei 12,000 kwa sqm moja, unapata bei kamili

mfano:
300sqm = 3.6mil
400sqm = 4.8mil
600sqm = 7.8mil
na kuendelea kutokana na mapenzi ya ukubwa wa kiwanja ukitakacho

kwa maelezo zaidi
0688753191
Umbali gani kutoka ferry?
 
Back
Top Bottom